Rais Samia: Dar kuna Watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu

Rais Samia: Dar kuna Watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu

Jeshi letu la Polisi chini ya IGP Siro limefanya kazi nzuri sana ktk kipindi cha miaka 5 iliyo pita, kila mahala palikuwa shwari. majambazi vibaka wote walisalimu amri mbele ya Jeshi letu.

sasa hii choko choko tena maana yake ni nini?
1. Jeshi letu nalo limekufa? au limepumzika?!! au limebadilika?!! au kuna baadhi wameamua kuhujumu jitihada zao?!!

Tunaomba Jeshi letu la polisi lirudishe heshima yake palepale,, kamwe wasiwaachie majambazi na vibaka wachache watie dosari kazi yao iliyo tukuka.

Dawa ya Mambazi na vibaka inajulikana.
 
Sukuma Gang , mnapata taabu sana, na hamtaki kuamini kuwa Mfalme wenu hatorudi tena!
Wala hakuna anayepata tabu!

Labda aipataye tabu ni wewe na wenzako mlio na maruerue yanayofanana.

Usilazimishe mambo ambayo hayapo.
 
Ni lazimishe mambo kwa lipi, poleni sana, sina masalahi yoyote na Mama kama mlivyokuwa wasukuma . Poleni sana na mjue zama zimebadirika
Wala hakuna anayepata tabu!

Labda aipataye tabu ni wewe na wenzako mlio na maruerue yanayofanana.

Usilazimishe mambo ambayo hayapo.
 
Ni lazimishe mambo kwa lipi, poleni sana, sina masalahi yoyote na Mama kama mlivyokuwa wasukuma . Poleni sana na mjue zama zimebadirika
Sasa mimi nilikuwa na maslahi yepi kwa Magufuli?

Typical akili ya nyumbu. Too simpleminded.

Acha kulazimisha mambo.
 
Swala la usalama wa raia na mali zao ni swala la National security ambalo kiongozi yeyote makini angekuwa ana taarifa sahihi na ameshalifanyia kazi sasa kama taarifa tu anazipata mtandaoni... haya anazungumzia askari ambae hata yeye hamjui ? duh tuendelee kula Mtori nyama zipo chini ila waimba mapambio hamuwezi kuona udhaifu mkubwa uliopo kwa sasa kwa vile nyimbo zinazopigwa na DJ mnazielewa .. badala ya kumwambia Dereva aangalie mbele aache kuwaangalia nyinyi mnamsifia kwa kuweza kuendesha gari huku hatazami barabara soon mtajikuta mpo mtaroni huku watu wamevunjika na wengine kuumia vibaya .

Nani kakwambia mama anaongea asiyoyajua? Wewe mwenyewe umesema ni swala la national security. She's well informed than you think! Mpe heshima yake. Mama ni Kiongozi. Siyo kama yule mbeba maono wa Ndugai na Polepole......
 
Swala la usalama wa raia na mali zao ni swala la National security ambalo kiongozi yeyote makini angekuwa ana taarifa sahihi na ameshalifanyia kazi sasa kama taarifa tu anazipata mtandaoni... haya anazungumzia askari ambae hata yeye hamjui ? duh tuendelee kula Mtori nyama zipo chini ila waimba mapambio hamuwezi kuona udhaifu mkubwa uliopo kwa sasa kwa vile nyimbo zinazopigwa na DJ mnazielewa .. badala ya kumwambia Dereva aangalie mbele aache kuwaangalia nyinyi mnamsifia kwa kuweza kuendesha gari huku hatazami barabara soon mtajikuta mpo mtaroni huku watu wamevunjika na wengine kuumia vibaya .
Duh! Mkuu huu ujumbe mkali huu! Ila sijui kama uliowadhamiria watauelewa!
 
Anafanya kazi nzuri kusoma mitandao anapata first hand information...Mh. Rais yupo exposed she is a good blend of old age and modern generation kwakua all throughout she has been working at different levels with people from almost all walks of life...Kongole kwake kwakua msomaji mzuri wa mitandao ndiyo njia pekee yaku triangulate informationa anazopelekwa
kweli ? mitandao baadhi ( majungu mkakati bin uzushi ) ...ni siasa tuu lkn Rais anapata hbr za UHAKIKA
 
Ndugu yangu, kiingereza siyo mchezo. Angalia ulichoandika sasa, aibu tupu, si ungeandika tu kiswahili!!??
Uungwana ni kumrekebisha anaekosea. Ila kukosoa au kulalamika bila kuweka suluhisho la unachokosoa haileti maana.
 
“Leo nimesoma mtandaoni, Dar es salaam kuna Watu wanajaribu kupima kina cha maji, viujambazi ujambazi na uporaji vimeanza kuja juu, naomba nitoe meseji wasijaribu kina cha maji, IGP upo hapa, mitandaoni wanamtaja Afande mmoja alikomesha ujambazi, wanasema ‘Mama turudishie’, IGP kaliangalie hilo vizuri”———Rais Samia Suluhu wakati akizungumza na Wazee Dar es salaam leo
Taasisi ya Rais hata mitandao ni chanzo chake cha Taarifa
 
Swala la usalama wa raia na mali zao ni swala la National security ambalo kiongozi yeyote makini angekuwa ana taarifa sahihi na ameshalifanyia kazi sasa kama taarifa tu anazipata mtandaoni... haya anazungumzia askari ambae hata yeye hamjui ? duh tuendelee kula Mtori nyama zipo chini ila waimba mapambio hamuwezi kuona udhaifu mkubwa uliopo kwa sasa kwa vile nyimbo zinazopigwa na DJ mnazielewa .. badala ya kumwambia Dereva aangalie mbele aache kuwaangalia nyinyi mnamsifia kwa kuweza kuendesha gari huku hatazami barabara soon mtajikuta mpo mtaroni mmevunjika na wengine kuumia vibaya .
Kwani nini mitandao maidharau sana ili hali mko bize kutoa maoni yenu humu? Mmesau jinsi ufisadi ulivyoibuliwa kupitia JF na kuidemsha serikali ya JK? Mitandao ndipo pahala sahihi kwa sasa kupata taarifa na Rais yuko sahihi na ni faraja kwetu kwamba anatusoma na kuyachukulia siriazi maoni yetu.
 
Kwani nini mitandao maidharau sana ili hali mko bize kutoa maoni yenu humu? Mmesau jinsi ufisadi ulivyoibuliwa kupitia JF na kuidemsha serikali ya JK? Mitandao ndipo pahala sahihi kwa sasa kupata taarifa na Rais yuko sahihi na ni faraja kwetu kwamba anatusoma na kuyachukulia siriazi maoni yetu.
Mapointless wanatamani hii mitandao izimwe! Huyu Vero mwenyewe ni anti-JF lakini anaitumia kujaza uharo wake humu!
 
Mitandao ndo vyombo vya habari vya ulimwengu wa sasa.na dunia ya sasa ili uweze kupata taarifa za kila mahali kwa haraka ni lazima ujikite kwenye mitandao.Hata vyombo vya ulinzi na usalama ili kupata taarifa mbalimbali zakiuhalifu huwa wanafanya ulinzi shirikishi,sasa kuna ubaya gani wananchi wakiamua kufanya ulinzi shirikishi kupitia mitandao ili mamlaka husika zifanyie kazi.Kama ambavyo wewe umetuletea mada yako kupitia mtandao ndivyo ambavyo mtu yoyote pia anaweza kupata taarifa kupitia mitandao.Huu sio wakati wakubeza mitandao kwasababu ndo sehemu rahisi yakutoa na kupata taarifa kwa haraka zaidi.
 
Kwani nini mitandao maidharau sana ili hali mko bize kutoa maoni yenu humu? Mmesau jinsi ufisadi ulivyoibuliwa kupitia JF na kuidemsha serikali ya JK? Mitandao ndipo pahala sahihi kwa sasa kupata taarifa na Rais yuko sahihi na ni faraja kwetu kwamba anatusoma na kuyachukulia siriazi maoni yetu.
Kuna taarifa zingine za mambo ya usalama wa Raia na Nchi ukinambia anagemea Mitandao ndo ajue bhasi tufukuze Tiss wote wabaki wanamtandao .. taarifa nyingi za mitandaoni si za kweli kwa maana wanaoandika hawana taarifa sahihi au chanzo makini zaidi ya fikra au maoni binafsi, na nying ni majungu tu sasa ukisema aegemee mitandao kupata taarifa mtakua mnachekesha sana .
 
Back
Top Bottom