Rais Samia: Demokrasia ni kuheshimu Sheria, heshima ya Mtu inakuja kwa kuheshimu Sheria za Nchi, ombi la Zitto kuhusu kesi ya Mbowe lajibiwa

Mbowe ana dharau Sana ..

Haiwezekan amudharau mama yetu kudadeki pigaa ndani miaka 30
 
Hivi Samia ana uwezo wa kumzaa Zitto kweli au madaraka yamemlevya? Naona analitumia sana neno mwanangu kujipa ukubwa!!
Kwanini asimzae?
Mtu wa 60 na mwingine wa 80 kwanini wasizaane, kuna pingamizi gani la kibaiolojia hapo?
 
kwa hiyo unataka kusema maza na chama ni mbali mbali - wanamzunguka tu kama duara.
Chama kama chama kina watu wake wenye hicho chama Mama ni wa kupita tu.sasa jamaa wakaona Mbowe anataka kuwaharibia ulaji ndio wakamtungia hiyo kesi.Ni ulaji tu hamna kesi hapo.
 
Wamezoea kunyeyekewa hawa watu .... wanajiona ni Miungu Watu .... Precedence aliyotuachia Magufuli itatutesa sana kwa muda mrefu. Maza anaitumia kisawasawa kuhakikisha kuwa hawamuondoi kenye kiti mpaka 2030 ..... !!
Ndugu watukana mamba? Bado miezi mitatu tu kufika 17.March.
 
Hapo ni kusubiri huruma ya Mama Samia tu.
Mwanamke halisi hana huruma, ni kiumbe mkatili. Ishi nae kwa akili. Akiamua jambo harudi nyuma. Heshima aliyovunjiwa na Mbowe ni siri yao, na imekula kwa Mbowe.
 
Wale wazungu wanaohudhuria kesi kila siku hawapo pale kwa show tuu, Hangaya kama anataka ashindwe kulipa mishahara nchi nzima na pump za mafuta kuzimwa nchi nzima wamfunge Mbowe, aliambiwa JPM huyo Lisu anarudi na ole wako umguse na mwamba alirudi na uraisi akagombea na hakuna aliyemgusa,hata kile Kibashite kama mnakumbuka kilivyopigwa ban hakuna pua yoyote iliongea na tunajua JPM alivyokuwa na mdomo lakini kimya, usicheze na mabeberu na Mbowe hawatamfunga na wanajua hilo
 
Wenye maamuzi kumsamehe Mbowe ni wenye chama ambao wanaona Mbowe alitaka kuwapokonya ulaji. Samia ataondoka baada ya muda wake kuisha kwahiyo wenye chama wanaangalia mbele zaidi wakiona kumuachia Mbowe italipa watamwachia.Kama hailipi atafungwa.
Mbowe anatesa watu zaidi ya milioni 8 tena wana dola na kila kitu
 
Katiba mpya haikuanza Leo kumbuka.
Kipindi Cha MAGUFULI ndo kulikuwa kipindi kigumu Cha kudai katiba mpya.
Kuna lingine mbowe atakuwa amefanya kwa Samia atuambie.
Kama aliteleza akiri asamehewe
Hamna, Maushungi angeisharopoka. Si wawajua wa Zenji?
 
Mwanamke halisi hana huruma, ni kiumbe mkatili. Ishi nae kwa akili. Akiamua jambo harudi nyuma. Heshima aliyovunjiwa na Mbowe ni siri yao, na imekula kwa Mbowe.
Yatapita kama ya Mwendakwao ylivyopita Maza mwenyewe pressure juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…