Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
Siku zote mtu mwenye inferiority complex akiinuliwa upuuzi wake wote hujidhihirisha wazi wazi!Huyu ni dikteta kwa sababu hapo hajafafanua kwa nini demokrasi yeti iwe tofauti na zingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku zote mtu mwenye inferiority complex akiinuliwa upuuzi wake wote hujidhihirisha wazi wazi!Huyu ni dikteta kwa sababu hapo hajafafanua kwa nini demokrasi yeti iwe tofauti na zingine.
Wewe bwana mdogo ni wa kuhurumiwa.Mabavicha lazima yateme ndoano
Na mataga watatagaMabavicha lazima yateme ndoano
Sasa hiyo ndiyo anaiita Mama kuwa demokrasia haiwezi lingana baina ya nchi na nchi??Demokrasia ya bongo chini ya CCM ni ukandamizaji na ubambiakiaji kesi wapinzani. Wizi wa kura na kila aina ya michezo michafu ili mradi tu serikali ya ccm inaki madarakani
Ubunge labdaAmesema atagombea 2025, pambaneni.
Yupo huru mwenzio anaenda kufaidi mahela aliyokupora tangu enzi na enzi alafu wewe unashangilia huku ukoo wako unapukutika kwa umasikini!Hakuna mtu anaumia wewe. Unatumia wewe na wezi wenzio hapo lumumba. Hujawahi fanya lolote lenye Tija kwa taifa hili zaidi ya unafiki!
Mlimshangilia yule punguani wenu kumuita mzalendo wakati alikalia sheria makalioni hulu akisweka watu ndani bila kuwa na ushahidi!
Rugemalila yupo huru!!!!!!
Bora uwe masikini lakini uwe na akili. Kuliko uwe Tajir lakini uwe na akili za kisoda kama wewe . Hujui unasimamia nnYupo huru mwenzio anaenda kufaidi mahela aliyokupora tangu enzi na enzi alafu wewe unashangilia huku ukoo wako unapukutika kwa umasikini!
atapasuka mtu safari hiiMimi nasubiri mtufuano na watarajiwa wengine wa hiyo nafasi.
Kumbe kampeni za urais zimeanzaShikilia hapo hapo mama.
Usilegeze kamba.
Mwisho wa uchaguzi mmoja ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.Kumbe kampeni za urais zimeanza
Kwa hiyo hahitaji kungoja kuteuliwa kwanza ambayo kwa taratibu zao kinyanganyiro kitakuwa 2025 mwanzoniMwisho wa uchaguzi mmoja ndio mwanzo wa uchaguzi mwingine.
utamaduni wa chama utafuatwa.Kwa hiyo hahitaji kungoja kuteuliwa kwanza ambayo kwa taratibu zao kinyanganyiro kitakuwa 2025 mwanzoni
Hili sio swala la kushangilia mkuu...ni aibu..unless upo kwenye payroll ya mzee RugeHakuna mtu anaumia wewe. Unatumia wewe na wezi wenzio hapo lumumba. Hujawahi fanya lolote lenye Tija kwa taifa hili zaidi ya unafiki!
Mlimshangilia yule punguani wenu kumuita mzalendo wakati alikalia sheria makalioni hulu akisweka watu ndani bila kuwa na ushahidi!
Rugemalila yupo huru!!!!!!
Chief nani tena??Amesema atagombea 2025, pambaneni.
Wewe unajiona upo sawa mkuu...kushangilia fisadi kuachiwa huru wakati tozo zinakuzunguka kila kona..mkate umekuwa anasa kwa mtanzania...tunalaaanaMlioaminishwa kwamba yule kichaa aliyekufa kwa Corona alikuwa anapambana na uhujumu uchumi ndo mjue alipambana na watu sio rushwa. Ona sasa anaachiliwa mmoja baada ya mwingine!
Hovyo kabisa malamba miguu nyie.
Kalifufueni sasa