Rais Samia: Dereva aliyeamua kuliingiza lorry kwenye korongo kwa kukwepa utelezi

Mwaka huu mtajamba sana mana wizi wenu bandarini unaelekea mwisho
Wewe acha kujipendekeza Kwa mwarabu hata hufanani nao mtu mwenyew mweusi furukobe au kuvaa KOBAZI nawe umejiona mwanafamilia?
 
Wewe acha kujipendekeza Kwa mwarabu hata hufanani nao mtu mwenyew mweusi furukobe au kuvaa KOBAZI nawe umejiona mwanafamilia?
We unanijua? Au shida zako na mastress yako unadhani yatapinguzwa kwa kukataa huu uwekezaji. Acha kucheza ngoma usiyoijua. Wenzako akina slaa wameshachukua Chao ndo mana wanaropoka ovyo
 
Kweli kabisa!
Bila yeye hata lile DEGE la mizigo lililotua KIA kimyakimya tungelionea wapi bila yeye kuwarudisha akina Kinana?
 
kama darasa la Saba Msukuma amepewa udr itakuwaje Kwa form four failure?
Rais wetu msomi wa PhD tena ya Chuo kikuu cha Kikwete (UDSM)
kawatuma wasomi wenzake akina Dr Msukuma kwenda Dubai
wakauchambua mkataba mwanzo mwisho hadi ukakaa vizuri.
Na wasomi wetu majaji wakaukubali
mnataka mama awafanyie nini sasa?
 
Huelewa hata maana ya uchumi dhaifu. Una upeo mdogo sana katika mambo mengi. Nikupe mfano mdogo unaoendana na kiwango chako cha uelewa:

Fikiria kuna watu wawili:

Mtu wa kwanza, mwakajana alitengeneza mapato ya shilingi bilioni 10. Mwaka huu ametengeneza mapato ya shilingi bilioni 10 na milioni 100. Hivyo ongezeko la mapato yake ni mioni 100 ambayo ni 1%.

Mtu wa pili, mwakajana alitengeneza mapato ya ni shilingi milioni 2. Mwaka huu ametengeneza pato la shilingi milioni 2 na laki 1. Hivyo ameongeza pato lake kwa shilingi laki. Hili ni ongezeko la 5%.

Ukija kwenye uhalisia, licha ya huyu wa pili kupata ongezeko la 10%, bado ni maskini, bado yupo mbali sana kutoka kwa huyu wa kwanza mwenye ongezeko la 1%.

Ongezeko la mtu wa kwanza ni 1%, katika figure ni milioni 100.
Wa pili ana ongezeko la 5% lakini katika figure ni laki 1. Kwenye uhalisia, ongezeko la huyu wa pili, kwa sababu uchumi wake ni dhaifu sana, ni 0.1% ya ongezeko la huyu wa mwanzo.

Tanzania, nchi ambayo wastani wa pato lake ni kama dola 1,000 tu kwa mwaka, ni nchi maskini, yenye uchumi dhaifu na duni, ukilinganisha hata na baadhi ya nchi za Afrika ambazo zina uchumi nafuu:

Mauritius $10,134
Botswana $6,910
Namibia $5,100
Gabon $8,635
Seychelles 14,653


TANZANIA
 
Hii bandari inawafanya watu kuvurugwa kabisa!
 
Mkuu si kwamba watu hawajui ubovu wa mkataba, tatizo ni ndoana iliyomezwa, haitoki bila kumwumiza aiyeimeza.
 
Katiba ya hovyo, Ingetakiwa sasa awe Jambiani akiwalea wajukuu.

Han uwezo w ku-deal na changamoto kutoa kauli, kuongoza Taifa.
 
Pesa ziko humu humu. Geita gold, kahama gold, sijui Mara gold hizi Ni pesa tumezigawa kwa wazungu. Bado Kuna zile tunawapa wazungu bure Kama fidia ya mikataba ambayo tunasaini huku tunakunywa wiski.
Huku wala hajishughulishi yeye anataka ready made money akiKAA HIVI TOZO ,MIamal ya Simu mafuta ,luku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…