FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Unaota?..hatujawahi kuwa na kiongozi anayepuuzwa na wasaidizi wake kama huyu.
Mama tushampa 5 mingine kabla ya 2025. Hulijuwi hilo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaota?..hatujawahi kuwa na kiongozi anayepuuzwa na wasaidizi wake kama huyu.
Wakuu,
Ndugu Wananchi kesho Jumatano (Novemba 27, 2024) ni siku ambayo tutaendeleza utamaduni wetu wa kupata viongozi wetu kwa njia ya Uchaguzi. Tutakwenda kuchagua viongozi wetu wa mtaa vijiji na Vitongoji kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Hii ni fursa muhimu ya kupiga kura kuchagia maendeleo ya nchi kwa njia ya Kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wenye sifa. Serikali za Mitaa ni msingi wa ujenzi wa Taifa Imara na lenye maendeleo endelevu kupitia viongozi tunaowachagua tunaweka mazingira thabiti ya uwajibikaji, utoaji wa huduma bora kwa Wananchi na Wasimamizi wa mali za umma.
Ni fursa ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayohusu jamii zetu yanatokana na mahitaji halisi ya Wananchi, kila kura inayopigwa ina maana na itasaidia kufanikisha azma yetu ya kujenga jamii yenye haki, usawa na maendeleo kwa wote.
Ndugu zangu Uchaguzi ni haki yetu na ni jukumu letu kuhakikisha tunatumia haki hiyo kwa amani na utulivu. Hivyo, niwasihi Wananchi wajiepushe na vitendo vya uchochezi, vurugu au uvunjifu wa sheria. Amani ni urithi wetu wa thamani na ni wajibu wetu kuilinda kwa gharama yoyote ile. Aidha, ni muhimu kuheshimu maamuzi ya Wapiga Kura kwani Demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima.
Natumia Fursa hii kuwakumbusha Wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuhakikisha Wanajitokeza haki yao ya kikatiba, niwasihi mtumie fursa hiyo kuchagua Viongozi waadilifu wenye ubunifu na wenye maono ya kuendeleza jamii zetu. kumbukeni kila kura ina umuhimu mkubwa katika kuamua mustakabali wa maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.
Viongozi wa Vyama vya siasa, wagombea na Mawakala wa Uchaguzi niwakumbushe uzingatia na kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi. Aidha, nawasihi wasimamizi wa Uchaguzi na wote wanaohusika wahakikishe uchaguzi unafanyika kwa haki uwazi na kuzingatia taratibu zilizokubaliwa na Wadau
Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kutekeleza jukumu langu kwa weledi, kulinda haki za Wananchi na kudumisha utulivu tunapoelekea mwisho wa mchakato huu. Ndugu Wananchi ni dhamira ya Serikali kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa uwazi na kuzingatia kanuni za Uchaguzi zilizopo. Nito rai kwa kila mdau wa Uchaguzi huu kutoa ushirikino ili kuhaiisha uchaguzi huu unakuwa wa amani na unaoakisi taswira yetu kama taifa lenye mshikamano na Demokrasia imara
Niwakumbushe kuwa vituo vya kupigia kura vipo kwenye mitaa yote nchini, kwenye majimbo ya umma na vituo hivyo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. Napenda kuwahakikishia kuwa maamuzi yenu katika sanduku la kura yataheshimiwa.
Nawatakia uchaguzi mwema wenye mafanikio, amani na mshikamano.
Asanteni kwa kunisikiliza
Wakuu,
Ndugu Wananchi kesho Jumatano (Novemba 27, 2024) ni siku ambayo tutaendeleza utamaduni wetu wa kupata viongozi wetu kwa njia ya Uchaguzi. Tutakwenda kuchagua viongozi wetu wa mtaa vijiji na Vitongoji kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Hii ni fursa muhimu ya kupiga kura kuchagia maendeleo ya nchi kwa njia ya Kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wenye sifa. Serikali za Mitaa ni msingi wa ujenzi wa Taifa Imara na lenye maendeleo endelevu kupitia viongozi tunaowachagua tunaweka mazingira thabiti ya uwajibikaji, utoaji wa huduma bora kwa Wananchi na Wasimamizi wa mali za umma.
Ni fursa ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayohusu jamii zetu yanatokana na mahitaji halisi ya Wananchi, kila kura inayopigwa ina maana na itasaidia kufanikisha azma yetu ya kujenga jamii yenye haki, usawa na maendeleo kwa wote.
Ndugu zangu Uchaguzi ni haki yetu na ni jukumu letu kuhakikisha tunatumia haki hiyo kwa amani na utulivu. Hivyo, niwasihi Wananchi wajiepushe na vitendo vya uchochezi, vurugu au uvunjifu wa sheria. Amani ni urithi wetu wa thamani na ni wajibu wetu kuilinda kwa gharama yoyote ile. Aidha, ni muhimu kuheshimu maamuzi ya Wapiga Kura kwani Demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima.
Natumia Fursa hii kuwakumbusha Wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuhakikisha Wanajitokeza haki yao ya kikatiba, niwasihi mtumie fursa hiyo kuchagua Viongozi waadilifu wenye ubunifu na wenye maono ya kuendeleza jamii zetu. kumbukeni kila kura ina umuhimu mkubwa katika kuamua mustakabali wa maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.
Viongozi wa Vyama vya siasa, wagombea na Mawakala wa Uchaguzi niwakumbushe uzingatia na kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi. Aidha, nawasihi wasimamizi wa Uchaguzi na wote wanaohusika wahakikishe uchaguzi unafanyika kwa haki uwazi na kuzingatia taratibu zilizokubaliwa na Wadau
Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kutekeleza jukumu langu kwa weledi, kulinda haki za Wananchi na kudumisha utulivu tunapoelekea mwisho wa mchakato huu. Ndugu Wananchi ni dhamira ya Serikali kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa uwazi na kuzingatia kanuni za Uchaguzi zilizopo. Nito rai kwa kila mdau wa Uchaguzi huu kutoa ushirikino ili kuhaiisha uchaguzi huu unakuwa wa amani na unaoakisi taswira yetu kama taifa lenye mshikamano na Demokrasia imara
Niwakumbushe kuwa vituo vya kupigia kura vipo kwenye mitaa yote nchini, kwenye majimbo ya umma na vituo hivyo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. Napenda kuwahakikishia kuwa maamuzi yenu katika sanduku la kura yataheshimiwa.
Nawatakia uchaguzi mwema wenye mafanikio, amani na mshikamano.
Asanteni kwa kunisikiliza
Kwa wizi huu wa kura na kuenguana hakuna hata haja ya chaguzi fake ni kupeteza pesa tu. Ni bora tungebadilisha katiba kuliko kuwa na mfumo fake na serikali fake hivi kwa mawazo yanguUnaota?
Mama tushampa 5 mingine kabla ya 2025. Hulijuwi hilo?
Aiseeeee..hatujawahi kuwa na kiongozi anayepuuzwa na wasaidizi wake kama huyu.
Usiwe na hofu ndugu, hatma yako ya kesho anayo Muumba wako, ukiruhusu muumba wako kutawala maisha yako wala hawa kanyaboya hutawaona kikwazo kwa chochote, infact hutawaona kabisa.Na hiyo ndio furaha ya watawala kuona watawaliwa hawajali mambo yanayoamua hatma yao ya kesho.
Wakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ndugu Wananchi kesho Jumatano (Novemba 27, 2024) ni siku ambayo tutaendeleza utamaduni wetu wa kupata viongozi wetu kwa njia ya Uchaguzi. Tutakwenda kuchagua viongozi wetu wa mtaa vijiji na Vitongoji kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Hii ni fursa muhimu ya kupiga kura kuchagia maendeleo ya nchi kwa njia ya Kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wenye sifa. Serikali za Mitaa ni msingi wa ujenzi wa Taifa Imara na lenye maendeleo endelevu kupitia viongozi tunaowachagua tunaweka mazingira thabiti ya uwajibikaji, utoaji wa huduma bora kwa Wananchi na Wasimamizi wa mali za umma.
Ni fursa ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayohusu jamii zetu yanatokana na mahitaji halisi ya Wananchi, kila kura inayopigwa ina maana na itasaidia kufanikisha azma yetu ya kujenga jamii yenye haki, usawa na maendeleo kwa wote.
Ndugu zangu Uchaguzi ni haki yetu na ni jukumu letu kuhakikisha tunatumia haki hiyo kwa amani na utulivu. Hivyo, niwasihi Wananchi wajiepushe na vitendo vya uchochezi, vurugu au uvunjifu wa sheria. Amani ni urithi wetu wa thamani na ni wajibu wetu kuilinda kwa gharama yoyote ile. Aidha, ni muhimu kuheshimu maamuzi ya Wapiga Kura kwani Demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima.
Natumia Fursa hii kuwakumbusha Wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuhakikisha Wanajitokeza haki yao ya kikatiba, niwasihi mtumie fursa hiyo kuchagua Viongozi waadilifu wenye ubunifu na wenye maono ya kuendeleza jamii zetu. kumbukeni kila kura ina umuhimu mkubwa katika kuamua mustakabali wa maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.
Viongozi wa Vyama vya siasa, wagombea na Mawakala wa Uchaguzi niwakumbushe uzingatia na kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi. Aidha, nawasihi wasimamizi wa Uchaguzi na wote wanaohusika wahakikishe uchaguzi unafanyika kwa haki uwazi na kuzingatia taratibu zilizokubaliwa na Wadau
Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kutekeleza jukumu langu kwa weledi, kulinda haki za Wananchi na kudumisha utulivu tunapoelekea mwisho wa mchakato huu. Ndugu Wananchi ni dhamira ya Serikali kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa uwazi na kuzingatia kanuni za Uchaguzi zilizopo. Nito rai kwa kila mdau wa Uchaguzi huu kutoa ushirikino ili kuhaiisha uchaguzi huu unakuwa wa amani na unaoakisi taswira yetu kama taifa lenye mshikamano na Demokrasia imara
Niwakumbushe kuwa vituo vya kupigia kura vipo kwenye mitaa yote nchini, kwenye majimbo ya umma na vituo hivyo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. Napenda kuwahakikishia kuwa maamuzi yenu katika sanduku la kura yataheshimiwa.
Nawatakia uchaguzi mwema wenye mafanikio, amani na mshikamano.
Asanteni kwa kunisikiliza
Kwa vipi?..hatujawahi kuwa na kiongozi anayepuuzwa na wasaidizi wake kama huyu.
Wakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ndugu Wananchi kesho Jumatano (Novemba 27, 2024) ni siku ambayo tutaendeleza utamaduni wetu wa kupata viongozi wetu kwa njia ya Uchaguzi. Tutakwenda kuchagua viongozi wetu wa mtaa vijiji na Vitongoji kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Hii ni fursa muhimu ya kupiga kura kuchagia maendeleo ya nchi kwa njia ya Kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wenye sifa. Serikali za Mitaa ni msingi wa ujenzi wa Taifa Imara na lenye maendeleo endelevu kupitia viongozi tunaowachagua tunaweka mazingira thabiti ya uwajibikaji, utoaji wa huduma bora kwa Wananchi na Wasimamizi wa mali za umma.
Ni fursa ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayohusu jamii zetu yanatokana na mahitaji halisi ya Wananchi, kila kura inayopigwa ina maana na itasaidia kufanikisha azma yetu ya kujenga jamii yenye haki, usawa na maendeleo kwa wote.
Ndugu zangu Uchaguzi ni haki yetu na ni jukumu letu kuhakikisha tunatumia haki hiyo kwa amani na utulivu. Hivyo, niwasihi Wananchi wajiepushe na vitendo vya uchochezi, vurugu au uvunjifu wa sheria. Amani ni urithi wetu wa thamani na ni wajibu wetu kuilinda kwa gharama yoyote ile. Aidha, ni muhimu kuheshimu maamuzi ya Wapiga Kura kwani Demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima.
Natumia Fursa hii kuwakumbusha Wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuhakikisha Wanajitokeza haki yao ya kikatiba, niwasihi mtumie fursa hiyo kuchagua Viongozi waadilifu wenye ubunifu na wenye maono ya kuendeleza jamii zetu. kumbukeni kila kura ina umuhimu mkubwa katika kuamua mustakabali wa maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.
Viongozi wa Vyama vya siasa, wagombea na Mawakala wa Uchaguzi niwakumbushe uzingatia na kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi. Aidha, nawasihi wasimamizi wa Uchaguzi na wote wanaohusika wahakikishe uchaguzi unafanyika kwa haki uwazi na kuzingatia taratibu zilizokubaliwa na Wadau
Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kutekeleza jukumu langu kwa weledi, kulinda haki za Wananchi na kudumisha utulivu tunapoelekea mwisho wa mchakato huu. Ndugu Wananchi ni dhamira ya Serikali kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa uwazi na kuzingatia kanuni za Uchaguzi zilizopo. Nito rai kwa kila mdau wa Uchaguzi huu kutoa ushirikino ili kuhaiisha uchaguzi huu unakuwa wa amani na unaoakisi taswira yetu kama taifa lenye mshikamano na Demokrasia imara
Niwakumbushe kuwa vituo vya kupigia kura vipo kwenye mitaa yote nchini, kwenye majimbo ya umma na vituo hivyo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. Napenda kuwahakikishia kuwa maamuzi yenu katika sanduku la kura yataheshimiwa.
Nawatakia uchaguzi mwema wenye mafanikio, amani na mshikamano.
Asanteni kwa kunisikiliza
Wakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ndugu Wananchi kesho Jumatano (Novemba 27, 2024) ni siku ambayo tutaendeleza utamaduni wetu wa kupata viongozi wetu kwa njia ya Uchaguzi. Tutakwenda kuchagua viongozi wetu wa mtaa vijiji na Vitongoji kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Hii ni fursa muhimu ya kupiga kura kuchagia maendeleo ya nchi kwa njia ya Kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wenye sifa. Serikali za Mitaa ni msingi wa ujenzi wa Taifa Imara na lenye maendeleo endelevu kupitia viongozi tunaowachagua tunaweka mazingira thabiti ya uwajibikaji, utoaji wa huduma bora kwa Wananchi na Wasimamizi wa mali za umma.
Ni fursa ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayohusu jamii zetu yanatokana na mahitaji halisi ya Wananchi, kila kura inayopigwa ina maana na itasaidia kufanikisha azma yetu ya kujenga jamii yenye haki, usawa na maendeleo kwa wote.
Ndugu zangu Uchaguzi ni haki yetu na ni jukumu letu kuhakikisha tunatumia haki hiyo kwa amani na utulivu. Hivyo, niwasihi Wananchi wajiepushe na vitendo vya uchochezi, vurugu au uvunjifu wa sheria. Amani ni urithi wetu wa thamani na ni wajibu wetu kuilinda kwa gharama yoyote ile. Aidha, ni muhimu kuheshimu maamuzi ya Wapiga Kura kwani Demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima.
Natumia Fursa hii kuwakumbusha Wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuhakikisha Wanajitokeza haki yao ya kikatiba, niwasihi mtumie fursa hiyo kuchagua Viongozi waadilifu wenye ubunifu na wenye maono ya kuendeleza jamii zetu. kumbukeni kila kura ina umuhimu mkubwa katika kuamua mustakabali wa maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.
Viongozi wa Vyama vya siasa, wagombea na Mawakala wa Uchaguzi niwakumbushe uzingatia na kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi. Aidha, nawasihi wasimamizi wa Uchaguzi na wote wanaohusika wahakikishe uchaguzi unafanyika kwa haki uwazi na kuzingatia taratibu zilizokubaliwa na Wadau
Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kutekeleza jukumu langu kwa weledi, kulinda haki za Wananchi na kudumisha utulivu tunapoelekea mwisho wa mchakato huu. Ndugu Wananchi ni dhamira ya Serikali kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa uwazi na kuzingatia kanuni za Uchaguzi zilizopo. Nito rai kwa kila mdau wa Uchaguzi huu kutoa ushirikino ili kuhaiisha uchaguzi huu unakuwa wa amani na unaoakisi taswira yetu kama taifa lenye mshikamano na Demokrasia imara
Niwakumbushe kuwa vituo vya kupigia kura vipo kwenye mitaa yote nchini, kwenye majimbo ya umma na vituo hivyo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. Napenda kuwahakikishia kuwa maamuzi yenu katika sanduku la kura yataheshimiwa.
Nawatakia uchaguzi mwema wenye mafanikio, amani na mshikamano.
Asanteni kwa kunisikiliza
Wakuu,
Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Ndugu Wananchi kesho Jumatano (Novemba 27, 2024) ni siku ambayo tutaendeleza utamaduni wetu wa kupata viongozi wetu kwa njia ya Uchaguzi. Tutakwenda kuchagua viongozi wetu wa mtaa vijiji na Vitongoji kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Hii ni fursa muhimu ya kupiga kura kuchagia maendeleo ya nchi kwa njia ya Kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wenye sifa. Serikali za Mitaa ni msingi wa ujenzi wa Taifa Imara na lenye maendeleo endelevu kupitia viongozi tunaowachagua tunaweka mazingira thabiti ya uwajibikaji, utoaji wa huduma bora kwa Wananchi na Wasimamizi wa mali za umma.
Ni fursa ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayohusu jamii zetu yanatokana na mahitaji halisi ya Wananchi, kila kura inayopigwa ina maana na itasaidia kufanikisha azma yetu ya kujenga jamii yenye haki, usawa na maendeleo kwa wote.
Ndugu zangu Uchaguzi ni haki yetu na ni jukumu letu kuhakikisha tunatumia haki hiyo kwa amani na utulivu. Hivyo, niwasihi Wananchi wajiepushe na vitendo vya uchochezi, vurugu au uvunjifu wa sheria. Amani ni urithi wetu wa thamani na ni wajibu wetu kuilinda kwa gharama yoyote ile. Aidha, ni muhimu kuheshimu maamuzi ya Wapiga Kura kwani Demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima.
Natumia Fursa hii kuwakumbusha Wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuhakikisha Wanajitokeza haki yao ya kikatiba, niwasihi mtumie fursa hiyo kuchagua Viongozi waadilifu wenye ubunifu na wenye maono ya kuendeleza jamii zetu. kumbukeni kila kura ina umuhimu mkubwa katika kuamua mustakabali wa maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.
Viongozi wa Vyama vya siasa, wagombea na Mawakala wa Uchaguzi niwakumbushe uzingatia na kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi. Aidha, nawasihi wasimamizi wa Uchaguzi na wote wanaohusika wahakikishe uchaguzi unafanyika kwa haki uwazi na kuzingatia taratibu zilizokubaliwa na Wadau
Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kutekeleza jukumu langu kwa weledi, kulinda haki za Wananchi na kudumisha utulivu tunapoelekea mwisho wa mchakato huu. Ndugu Wananchi ni dhamira ya Serikali kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa uwazi na kuzingatia kanuni za Uchaguzi zilizopo. Nito rai kwa kila mdau wa Uchaguzi huu kutoa ushirikino ili kuhaiisha uchaguzi huu unakuwa wa amani na unaoakisi taswira yetu kama taifa lenye mshikamano na Demokrasia imara
Niwakumbushe kuwa vituo vya kupigia kura vipo kwenye mitaa yote nchini, kwenye majimbo ya umma na vituo hivyo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. Napenda kuwahakikishia kuwa maamuzi yenu katika sanduku la kura yataheshimiwa.
Nawatakia uchaguzi mwema wenye mafanikio, amani na mshikamano.
Asanteni kwa kunisikiliza
Unaenda kuchagua mtu aliyeshinda tayar..?Upo sahhi, ni wenye nchi.
Sisi wananchi kesho tunaenda kuwachagua tutaowaridhia kuwa wenye nchi.
Kuna mambo Muumba alituachia tufanye wenyewe ndio maana hajatuumba kama mbuzi au ng'ombe.Usiwe na hofu ndugu, hatma yako ya kesho anayo Muumba wako, ukiruhusu muumba wako kutawala maisha yako wala hawa kanyaboya hutawaona kikwazo kwa chochote, infact hutawaona kabisa.
Basi fanya uwe raisi wewe, au muweke Mbowe au Lisu,...huko America kuna wanaotamani kuhama saizi kisa kaingia Trump... human systems have proven to be so inhuman... Mungu anatosha.Kuna mambo Muumba alituachia tufanye wenyewe ndio maana hajatuumba kama mbuzi au ng'ombe.
We ajuza unaelewa nini zaidi ya udini?Upo sahhi, ni wenye nchi.
Sisi wananchi kesho tunaenda kuwachagua tutaowaridhia kuwa wenye nchi.
Kwa vipi?
Amandla...