LGE2024 Rais Samia: Dhamira ya Serikali ni kuona Uchaguzi unafanyika kwa Haki

LGE2024 Rais Samia: Dhamira ya Serikali ni kuona Uchaguzi unafanyika kwa Haki

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wakuu,



Ndugu Wananchi kesho Jumatano (Novemba 27, 2024) ni siku ambayo tutaendeleza utamaduni wetu wa kupata viongozi wetu kwa njia ya Uchaguzi. Tutakwenda kuchagua viongozi wetu wa mtaa vijiji na Vitongoji kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Hii ni fursa muhimu ya kupiga kura kuchagia maendeleo ya nchi kwa njia ya Kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wenye sifa. Serikali za Mitaa ni msingi wa ujenzi wa Taifa Imara na lenye maendeleo endelevu kupitia viongozi tunaowachagua tunaweka mazingira thabiti ya uwajibikaji, utoaji wa huduma bora kwa Wananchi na Wasimamizi wa mali za umma.

Ni fursa ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayohusu jamii zetu yanatokana na mahitaji halisi ya Wananchi, kila kura inayopigwa ina maana na itasaidia kufanikisha azma yetu ya kujenga jamii yenye haki, usawa na maendeleo kwa wote.

Ndugu zangu Uchaguzi ni haki yetu na ni jukumu letu kuhakikisha tunatumia haki hiyo kwa amani na utulivu. Hivyo, niwasihi Wananchi wajiepushe na vitendo vya uchochezi, vurugu au uvunjifu wa sheria. Amani ni urithi wetu wa thamani na ni wajibu wetu kuilinda kwa gharama yoyote ile. Aidha, ni muhimu kuheshimu maamuzi ya Wapiga Kura kwani Demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima.

Natumia Fursa hii kuwakumbusha Wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuhakikisha Wanajitokeza haki yao ya kikatiba, niwasihi mtumie fursa hiyo kuchagua Viongozi waadilifu wenye ubunifu na wenye maono ya kuendeleza jamii zetu. kumbukeni kila kura ina umuhimu mkubwa katika kuamua mustakabali wa maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.

Viongozi wa Vyama vya siasa, wagombea na Mawakala wa Uchaguzi niwakumbushe uzingatia na kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi. Aidha, nawasihi wasimamizi wa Uchaguzi na wote wanaohusika wahakikishe uchaguzi unafanyika kwa haki uwazi na kuzingatia taratibu zilizokubaliwa na Wadau

Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kutekeleza jukumu langu kwa weledi, kulinda haki za Wananchi na kudumisha utulivu tunapoelekea mwisho wa mchakato huu. Ndugu Wananchi ni dhamira ya Serikali kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa uwazi na kuzingatia kanuni za Uchaguzi zilizopo. Nito rai kwa kila mdau wa Uchaguzi huu kutoa ushirikino ili kuhaiisha uchaguzi huu unakuwa wa amani na unaoakisi taswira yetu kama taifa lenye mshikamano na Demokrasia imara

Niwakumbushe kuwa vituo vya kupigia kura vipo kwenye mitaa yote nchini, kwenye majimbo ya umma na vituo hivyo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. Napenda kuwahakikishia kuwa maamuzi yenu katika sanduku la kura yataheshimiwa.

Nawatakia uchaguzi mwema wenye mafanikio, amani na mshikamano.

Asanteni kwa kunisikiliza

Mambo ya hovyo sana yanafanyika hapa nchini. Huku mawakala wananyimww viapo kule wakubwa wao wanahubiri haki feki.
 
Wakuu,



Ndugu Wananchi kesho Jumatano (Novemba 27, 2024) ni siku ambayo tutaendeleza utamaduni wetu wa kupata viongozi wetu kwa njia ya Uchaguzi. Tutakwenda kuchagua viongozi wetu wa mtaa vijiji na Vitongoji kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Hii ni fursa muhimu ya kupiga kura kuchagia maendeleo ya nchi kwa njia ya Kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wenye sifa. Serikali za Mitaa ni msingi wa ujenzi wa Taifa Imara na lenye maendeleo endelevu kupitia viongozi tunaowachagua tunaweka mazingira thabiti ya uwajibikaji, utoaji wa huduma bora kwa Wananchi na Wasimamizi wa mali za umma.

Ni fursa ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayohusu jamii zetu yanatokana na mahitaji halisi ya Wananchi, kila kura inayopigwa ina maana na itasaidia kufanikisha azma yetu ya kujenga jamii yenye haki, usawa na maendeleo kwa wote.

Ndugu zangu Uchaguzi ni haki yetu na ni jukumu letu kuhakikisha tunatumia haki hiyo kwa amani na utulivu. Hivyo, niwasihi Wananchi wajiepushe na vitendo vya uchochezi, vurugu au uvunjifu wa sheria. Amani ni urithi wetu wa thamani na ni wajibu wetu kuilinda kwa gharama yoyote ile. Aidha, ni muhimu kuheshimu maamuzi ya Wapiga Kura kwani Demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima.

Natumia Fursa hii kuwakumbusha Wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuhakikisha Wanajitokeza haki yao ya kikatiba, niwasihi mtumie fursa hiyo kuchagua Viongozi waadilifu wenye ubunifu na wenye maono ya kuendeleza jamii zetu. kumbukeni kila kura ina umuhimu mkubwa katika kuamua mustakabali wa maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.

Viongozi wa Vyama vya siasa, wagombea na Mawakala wa Uchaguzi niwakumbushe uzingatia na kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi. Aidha, nawasihi wasimamizi wa Uchaguzi na wote wanaohusika wahakikishe uchaguzi unafanyika kwa haki uwazi na kuzingatia taratibu zilizokubaliwa na Wadau

Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kutekeleza jukumu langu kwa weledi, kulinda haki za Wananchi na kudumisha utulivu tunapoelekea mwisho wa mchakato huu. Ndugu Wananchi ni dhamira ya Serikali kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa uwazi na kuzingatia kanuni za Uchaguzi zilizopo. Nito rai kwa kila mdau wa Uchaguzi huu kutoa ushirikino ili kuhaiisha uchaguzi huu unakuwa wa amani na unaoakisi taswira yetu kama taifa lenye mshikamano na Demokrasia imara

Niwakumbushe kuwa vituo vya kupigia kura vipo kwenye mitaa yote nchini, kwenye majimbo ya umma na vituo hivyo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. Napenda kuwahakikishia kuwa maamuzi yenu katika sanduku la kura yataheshimiwa.

Nawatakia uchaguzi mwema wenye mafanikio, amani na mshikamano.

Asanteni kwa kunisikiliza




Mama anaongea wa vitoto vyake! Yaani kila mtu amekuwa kama vitoto siku hizi tunacho ambiwa sawa Mama hata uongo. Nchi inaenda pabaya. Sasa hiyo mikataba kuna ukweli huko kama tunadanganywa kitoto kitoto hivi
 
Unaota?

Mama tushampa 5 mingine kabla ya 2025. Hulijuwi hilo?
Kwa wizi huu wa kura na kuenguana hakuna hata haja ya chaguzi fake ni kupeteza pesa tu. Ni bora tungebadilisha katiba kuliko kuwa na mfumo fake na serikali fake hivi kwa mawazo yangu
 
Natamani kuandika tusi lkn nashindwa kwasabb mwanasheria wangu naye kawa chawa wake.
 
Na hiyo ndio furaha ya watawala kuona watawaliwa hawajali mambo yanayoamua hatma yao ya kesho.
Usiwe na hofu ndugu, hatma yako ya kesho anayo Muumba wako, ukiruhusu muumba wako kutawala maisha yako wala hawa kanyaboya hutawaona kikwazo kwa chochote, infact hutawaona kabisa.
 
Wakuu,


Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Ndugu Wananchi kesho Jumatano (Novemba 27, 2024) ni siku ambayo tutaendeleza utamaduni wetu wa kupata viongozi wetu kwa njia ya Uchaguzi. Tutakwenda kuchagua viongozi wetu wa mtaa vijiji na Vitongoji kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Hii ni fursa muhimu ya kupiga kura kuchagia maendeleo ya nchi kwa njia ya Kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wenye sifa. Serikali za Mitaa ni msingi wa ujenzi wa Taifa Imara na lenye maendeleo endelevu kupitia viongozi tunaowachagua tunaweka mazingira thabiti ya uwajibikaji, utoaji wa huduma bora kwa Wananchi na Wasimamizi wa mali za umma.

Ni fursa ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayohusu jamii zetu yanatokana na mahitaji halisi ya Wananchi, kila kura inayopigwa ina maana na itasaidia kufanikisha azma yetu ya kujenga jamii yenye haki, usawa na maendeleo kwa wote.

Ndugu zangu Uchaguzi ni haki yetu na ni jukumu letu kuhakikisha tunatumia haki hiyo kwa amani na utulivu. Hivyo, niwasihi Wananchi wajiepushe na vitendo vya uchochezi, vurugu au uvunjifu wa sheria. Amani ni urithi wetu wa thamani na ni wajibu wetu kuilinda kwa gharama yoyote ile. Aidha, ni muhimu kuheshimu maamuzi ya Wapiga Kura kwani Demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima.

Natumia Fursa hii kuwakumbusha Wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuhakikisha Wanajitokeza haki yao ya kikatiba, niwasihi mtumie fursa hiyo kuchagua Viongozi waadilifu wenye ubunifu na wenye maono ya kuendeleza jamii zetu. kumbukeni kila kura ina umuhimu mkubwa katika kuamua mustakabali wa maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.

Viongozi wa Vyama vya siasa, wagombea na Mawakala wa Uchaguzi niwakumbushe uzingatia na kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi. Aidha, nawasihi wasimamizi wa Uchaguzi na wote wanaohusika wahakikishe uchaguzi unafanyika kwa haki uwazi na kuzingatia taratibu zilizokubaliwa na Wadau

Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kutekeleza jukumu langu kwa weledi, kulinda haki za Wananchi na kudumisha utulivu tunapoelekea mwisho wa mchakato huu. Ndugu Wananchi ni dhamira ya Serikali kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa uwazi na kuzingatia kanuni za Uchaguzi zilizopo. Nito rai kwa kila mdau wa Uchaguzi huu kutoa ushirikino ili kuhaiisha uchaguzi huu unakuwa wa amani na unaoakisi taswira yetu kama taifa lenye mshikamano na Demokrasia imara

Niwakumbushe kuwa vituo vya kupigia kura vipo kwenye mitaa yote nchini, kwenye majimbo ya umma na vituo hivyo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. Napenda kuwahakikishia kuwa maamuzi yenu katika sanduku la kura yataheshimiwa.

Nawatakia uchaguzi mwema wenye mafanikio, amani na mshikamano.

Asanteni kwa kunisikiliza

chura kiziwi hana lolote,wapinzani wanaenguliwa wanapigwa wanatekwa yupo tu bila kusema kauli kama raisi wa nchi
 
Hana hata chembe ya aibu kusema dhamiri ya serikali ni kufanya uchaguzi wa haki?
 
Watanzania ni watu wavumilivu sana, siku tukipata watu tofauti wa kutuongoza zaidi ya CCM ya sasa tutapiga hatua tuwe kama Singapore kabisa...
CCM ya sasa sio ya zamani - hawa wa sasa ni chama kwanza, taifa na watu baadae..
 
Wakuu,


Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Ndugu Wananchi kesho Jumatano (Novemba 27, 2024) ni siku ambayo tutaendeleza utamaduni wetu wa kupata viongozi wetu kwa njia ya Uchaguzi. Tutakwenda kuchagua viongozi wetu wa mtaa vijiji na Vitongoji kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Hii ni fursa muhimu ya kupiga kura kuchagia maendeleo ya nchi kwa njia ya Kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wenye sifa. Serikali za Mitaa ni msingi wa ujenzi wa Taifa Imara na lenye maendeleo endelevu kupitia viongozi tunaowachagua tunaweka mazingira thabiti ya uwajibikaji, utoaji wa huduma bora kwa Wananchi na Wasimamizi wa mali za umma.

Ni fursa ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayohusu jamii zetu yanatokana na mahitaji halisi ya Wananchi, kila kura inayopigwa ina maana na itasaidia kufanikisha azma yetu ya kujenga jamii yenye haki, usawa na maendeleo kwa wote.

Ndugu zangu Uchaguzi ni haki yetu na ni jukumu letu kuhakikisha tunatumia haki hiyo kwa amani na utulivu. Hivyo, niwasihi Wananchi wajiepushe na vitendo vya uchochezi, vurugu au uvunjifu wa sheria. Amani ni urithi wetu wa thamani na ni wajibu wetu kuilinda kwa gharama yoyote ile. Aidha, ni muhimu kuheshimu maamuzi ya Wapiga Kura kwani Demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima.

Natumia Fursa hii kuwakumbusha Wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuhakikisha Wanajitokeza haki yao ya kikatiba, niwasihi mtumie fursa hiyo kuchagua Viongozi waadilifu wenye ubunifu na wenye maono ya kuendeleza jamii zetu. kumbukeni kila kura ina umuhimu mkubwa katika kuamua mustakabali wa maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.

Viongozi wa Vyama vya siasa, wagombea na Mawakala wa Uchaguzi niwakumbushe uzingatia na kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi. Aidha, nawasihi wasimamizi wa Uchaguzi na wote wanaohusika wahakikishe uchaguzi unafanyika kwa haki uwazi na kuzingatia taratibu zilizokubaliwa na Wadau

Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kutekeleza jukumu langu kwa weledi, kulinda haki za Wananchi na kudumisha utulivu tunapoelekea mwisho wa mchakato huu. Ndugu Wananchi ni dhamira ya Serikali kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa uwazi na kuzingatia kanuni za Uchaguzi zilizopo. Nito rai kwa kila mdau wa Uchaguzi huu kutoa ushirikino ili kuhaiisha uchaguzi huu unakuwa wa amani na unaoakisi taswira yetu kama taifa lenye mshikamano na Demokrasia imara

Niwakumbushe kuwa vituo vya kupigia kura vipo kwenye mitaa yote nchini, kwenye majimbo ya umma na vituo hivyo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. Napenda kuwahakikishia kuwa maamuzi yenu katika sanduku la kura yataheshimiwa.

Nawatakia uchaguzi mwema wenye mafanikio, amani na mshikamano.

Asanteni kwa kunisikiliza

Haya shime kura ni maisha yako!
 
Wakuu,


Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Ndugu Wananchi kesho Jumatano (Novemba 27, 2024) ni siku ambayo tutaendeleza utamaduni wetu wa kupata viongozi wetu kwa njia ya Uchaguzi. Tutakwenda kuchagua viongozi wetu wa mtaa vijiji na Vitongoji kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Hii ni fursa muhimu ya kupiga kura kuchagia maendeleo ya nchi kwa njia ya Kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wenye sifa. Serikali za Mitaa ni msingi wa ujenzi wa Taifa Imara na lenye maendeleo endelevu kupitia viongozi tunaowachagua tunaweka mazingira thabiti ya uwajibikaji, utoaji wa huduma bora kwa Wananchi na Wasimamizi wa mali za umma.

Ni fursa ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayohusu jamii zetu yanatokana na mahitaji halisi ya Wananchi, kila kura inayopigwa ina maana na itasaidia kufanikisha azma yetu ya kujenga jamii yenye haki, usawa na maendeleo kwa wote.

Ndugu zangu Uchaguzi ni haki yetu na ni jukumu letu kuhakikisha tunatumia haki hiyo kwa amani na utulivu. Hivyo, niwasihi Wananchi wajiepushe na vitendo vya uchochezi, vurugu au uvunjifu wa sheria. Amani ni urithi wetu wa thamani na ni wajibu wetu kuilinda kwa gharama yoyote ile. Aidha, ni muhimu kuheshimu maamuzi ya Wapiga Kura kwani Demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima.

Natumia Fursa hii kuwakumbusha Wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuhakikisha Wanajitokeza haki yao ya kikatiba, niwasihi mtumie fursa hiyo kuchagua Viongozi waadilifu wenye ubunifu na wenye maono ya kuendeleza jamii zetu. kumbukeni kila kura ina umuhimu mkubwa katika kuamua mustakabali wa maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.

Viongozi wa Vyama vya siasa, wagombea na Mawakala wa Uchaguzi niwakumbushe uzingatia na kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi. Aidha, nawasihi wasimamizi wa Uchaguzi na wote wanaohusika wahakikishe uchaguzi unafanyika kwa haki uwazi na kuzingatia taratibu zilizokubaliwa na Wadau

Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kutekeleza jukumu langu kwa weledi, kulinda haki za Wananchi na kudumisha utulivu tunapoelekea mwisho wa mchakato huu. Ndugu Wananchi ni dhamira ya Serikali kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa uwazi na kuzingatia kanuni za Uchaguzi zilizopo. Nito rai kwa kila mdau wa Uchaguzi huu kutoa ushirikino ili kuhaiisha uchaguzi huu unakuwa wa amani na unaoakisi taswira yetu kama taifa lenye mshikamano na Demokrasia imara

Niwakumbushe kuwa vituo vya kupigia kura vipo kwenye mitaa yote nchini, kwenye majimbo ya umma na vituo hivyo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. Napenda kuwahakikishia kuwa maamuzi yenu katika sanduku la kura yataheshimiwa.

Nawatakia uchaguzi mwema wenye mafanikio, amani na mshikamano.

Asanteni kwa kunisikiliza

Mwalimu Julius Nyerere kwenye moja ya hotuba zake anasema "huwezi kuniua kwa nia njema, halafu useme 'hukuniua'. Umeniua!" Dhamira njema ya serikali haitoshi. Inabidi kwenda mbali zaidi. Mchakato wa uchaguzi huu ungeweza kufanyika kwa namna bora, kama maoni ya wadau waliyotoa yangesikilizwa ili kupunguza malalamiko, na inawezekana kuwa na mchakato bora. Tutakuwa tukirudia matatizo/makosa yale yale, na hapa maneno ya Albert Einstein yanakuwa 'relevant'. "We cannot solve our problems with the same thinking we used when we created them."
 
Wakuu,


Kupata taarifa na matukio ya kimkoa kuhusu Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Ndugu Wananchi kesho Jumatano (Novemba 27, 2024) ni siku ambayo tutaendeleza utamaduni wetu wa kupata viongozi wetu kwa njia ya Uchaguzi. Tutakwenda kuchagua viongozi wetu wa mtaa vijiji na Vitongoji kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.

Hii ni fursa muhimu ya kupiga kura kuchagia maendeleo ya nchi kwa njia ya Kidemokrasia kwa kuchagua viongozi wenye sifa. Serikali za Mitaa ni msingi wa ujenzi wa Taifa Imara na lenye maendeleo endelevu kupitia viongozi tunaowachagua tunaweka mazingira thabiti ya uwajibikaji, utoaji wa huduma bora kwa Wananchi na Wasimamizi wa mali za umma.

Ni fursa ya kuhakikisha kuwa maamuzi yanayohusu jamii zetu yanatokana na mahitaji halisi ya Wananchi, kila kura inayopigwa ina maana na itasaidia kufanikisha azma yetu ya kujenga jamii yenye haki, usawa na maendeleo kwa wote.

Ndugu zangu Uchaguzi ni haki yetu na ni jukumu letu kuhakikisha tunatumia haki hiyo kwa amani na utulivu. Hivyo, niwasihi Wananchi wajiepushe na vitendo vya uchochezi, vurugu au uvunjifu wa sheria. Amani ni urithi wetu wa thamani na ni wajibu wetu kuilinda kwa gharama yoyote ile. Aidha, ni muhimu kuheshimu maamuzi ya Wapiga Kura kwani Demokrasia yenye nguvu hujengwa kwa misingi ya heshima.

Natumia Fursa hii kuwakumbusha Wananchi wote waliojiandikisha kupiga kura kuhakikisha Wanajitokeza haki yao ya kikatiba, niwasihi mtumie fursa hiyo kuchagua Viongozi waadilifu wenye ubunifu na wenye maono ya kuendeleza jamii zetu. kumbukeni kila kura ina umuhimu mkubwa katika kuamua mustakabali wa maendeleo yetu na taifa kwa ujumla.

Viongozi wa Vyama vya siasa, wagombea na Mawakala wa Uchaguzi niwakumbushe uzingatia na kuheshimu sheria na kanuni za uchaguzi. Aidha, nawasihi wasimamizi wa Uchaguzi na wote wanaohusika wahakikishe uchaguzi unafanyika kwa haki uwazi na kuzingatia taratibu zilizokubaliwa na Wadau

Ni matumaini yangu kuwa mtaendelea kutekeleza jukumu langu kwa weledi, kulinda haki za Wananchi na kudumisha utulivu tunapoelekea mwisho wa mchakato huu. Ndugu Wananchi ni dhamira ya Serikali kuhakikisha Uchaguzi unafanyika kwa uwazi na kuzingatia kanuni za Uchaguzi zilizopo. Nito rai kwa kila mdau wa Uchaguzi huu kutoa ushirikino ili kuhaiisha uchaguzi huu unakuwa wa amani na unaoakisi taswira yetu kama taifa lenye mshikamano na Demokrasia imara

Niwakumbushe kuwa vituo vya kupigia kura vipo kwenye mitaa yote nchini, kwenye majimbo ya umma na vituo hivyo vitafunguliwa saa mbili asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. Napenda kuwahakikishia kuwa maamuzi yenu katika sanduku la kura yataheshimiwa.

Nawatakia uchaguzi mwema wenye mafanikio, amani na mshikamano.

Asanteni kwa kunisikiliza

Ninaamini kila kitu Afrika ni magumashi, hata nyumba za Ibada. Anaingiaje nyumba za Ibada halafu wanamuangalia tu bila kumuambia uovu wake? Huu ni uchaguzi kweli?
 
Usiwe na hofu ndugu, hatma yako ya kesho anayo Muumba wako, ukiruhusu muumba wako kutawala maisha yako wala hawa kanyaboya hutawaona kikwazo kwa chochote, infact hutawaona kabisa.
Kuna mambo Muumba alituachia tufanye wenyewe ndio maana hajatuumba kama mbuzi au ng'ombe.
 
Kuna mambo Muumba alituachia tufanye wenyewe ndio maana hajatuumba kama mbuzi au ng'ombe.
Basi fanya uwe raisi wewe, au muweke Mbowe au Lisu,...huko America kuna wanaotamani kuhama saizi kisa kaingia Trump... human systems have proven to be so inhuman... Mungu anatosha.
 
Kwa vipi?

Amandla...

..Raisi alisema falsafa yake ni 4R. Wateule wake wote wameipuuza, wanafanya yao.

..Raisi katoa amri uchaguzi uwe wa haki. Maagizo hayo nayo yamepuuzwa hata na Waziri ambaye ni mkwe wake.

..Kwa kifupi Samia Suluhu anadharauliwa na wateule wake. Kazi ya Uraisi imemshinda.
 
Back
Top Bottom