LGE2024 Rais Samia: Dhamira ya Serikali ni kuona Uchaguzi unafanyika kwa Haki

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Labda kuna maelekezo ja jukwaani na ya kifamilia. Kufumbia macho ni kukubaliana na yanayoendelea. Huu uchaguzi unavyoendeshwa ndio uchaguzi wa haki waliokubaliana wote.

Amandla...
 
Labda kuna maelekezo ja jukwaani na ya kifamilia. Kufumbia macho ni kukubaliana na yanayoendelea. Huu uchaguzi unavyoendeshwa ndio uchaguzi wa haki waliokubaliana wote.

Amandla...

..sasa hapa Mama ajitenge na uchafu unaoendelea, au awe sehemu ya uchafu huo.
 
Haki gani wakati mpaka sasa umekuwa uchafu na sio uchaguzi tena
 
Rais anongea kama maiti. Hakuna dhamira ya vitendo hizi ni kauli mfu.
 
..sasa hapa Mama ajitenge na uchafu unaoendelea, au awe sehemu ya uchafu huo.
Kama nilivyosema awali, kama hapendezwi na yanayoendelea angeisha toa tamko na kuwachukulia hatua wahusika. Kama kiongozi, ni ama hapendezwi au anapendezwa. Hawezi kujitenga na kusema hayamhusu.

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…