Rais Samia, Dkt. Mpango na Majaliwa hawalipi kodi wala tozo yoyote hapa nchini

Rais Samia, Dkt. Mpango na Majaliwa hawalipi kodi wala tozo yoyote hapa nchini

Championship

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2019
Posts
5,500
Reaction score
10,616
Rais, Makamu na Waziri Mkuu (among others) hawalipi kodi yoyote kwenye mishahara yao, akaunti zao benki hazina makato na hata laini zao za simu hazina tozo yoyote.

Bado natafuta tafsiri sahihi ya uhujumu uchumi. Nitaendelea kusoma Ili nielewe.
 
Vyovyote vile ila swali langu ni hili; ninapotoa akiba yangu (SAVINGS) ambayo niliwakabidhi benki wanitunzie (na service charge juu) nakua nimeingiza kipato gani cha kustahili kukatwa kodi/tozo? Wataalamu wa kodi mnisaidie.
 
Vyovyote vile ila swali langu ni hili; ninapotoa akiba yangu (SAVINGS) ambayo niliwakabidhi benki wanitunzie (na service charge juu) nakua nimeingiza kipato gani cha kustahili kukatwa kodi/tozo? Wataalamu wa kodi mnisaidie.
Kisheria na Ki hasibu. Kodi au tozo hutozwa ktk Income generated from any activity. Ma ajabu ya Mwigulu ana toza SAVINGS na pesa za Simu za Mgonjwa!!!!
 
Kisheria na Ki hasibu. Kodi au tozo hutozwa ktk Income generated from any activity. Ma ajabu ya Mwigulu ana toza SAVINGS na pesa za Simu za Mgonjwa!!!!
Very sad indeed! Na wabunge (wa CCM) waliona yote haya na wakapitisha muswada na Rais akasaini kuwa sheria! Dah!
 
Vyovyote vile ila swali langu ni hili; ninapotoa akiba yangu (SAVINGS) ambayo niliwakabidhi benki wanitunzie (na service charge juu) nakua nimeingiza kipato gani cha kustahili kukatwa kodi/tozo? Wataalamu wa kodi mnisaidie.
Inashangaza sana kukata tozo kwenye savings.. na wakati mwingine hiyo hela imeshakatwa PAYE kama ni mwajiriwa. Yaani hawa watu hata akili ya kawaida kabisa hawawezi kutumia.
 
Na ndiyo maana huwaoni wakishtuka.
Sjui hiyo mishahara wanalipwa ya nini ikiwa kila ktu wanachohitaji pia wanalipiwa - wakiugua, chakula, mavazi, watumishi, usafiri, majumba...nk. tena chchte wanachotaka kufanya popote kodi zetu na matozo na maushuru wanakula! Mishahara ya nini... dah!
 
Rais, makamu na waziri mkuu (among others) hawalipi kodi yoyote kwenye mishahara yao, akaunti zao benki hazina makato na hata laini zao za simu hazina tozo yoyote.

Bado natafuta tafsiri sahihi ya uhujumu uchumi.. nitaendelea kusoma Ili nielewe.
Waende wakalitazame na hilo
 
Mwenye shibe hamjui Mwenye njaa. Yaani kamtaji kangu ka kuuza nyanya na karanga pale Stend usiku ,ambako nakatunza kwenye phone ili vibaka wasjekukachukua ninapitoka ..usiku kukimbizana Mabibo kujumua tunyanya twangu..wanakafyeka bila huruma eti tozo sjui kitu gani! Hawa viongozi ni Wahujjumu uchumi wa wananchi.
 
Waende wakalitazame na hilo
Mshana mpk muda huu hujalala tu au hang over ya Pombe imekata muda huu..

Huwaga huchangii nyuzi..kazi ya kukoti tu unatuangusha....na hili nenda kalitazame.
 
Rais, makamu na waziri mkuu (among others) hawalipi kodi yoyote kwenye mishahara yao, akaunti zao benki hazina makato na hata laini zao za simu hazina tozo yoyote.

Bado natafuta tafsiri sahihi ya uhujumu uchumi.. nitaendelea kusoma Ili nielewe.
NCHI HII VIONGOZI WAKE SIO MFANO WA KUIGWA KAMA NCHI NYINGINE INAWEZEKANA HATA MAJI YAO YA KUNYWA YANAAGIZWA KUTOKA NJE YA NCHI
 
Mwigulu kaamua kutuibia waziwazi hatuna la kumfanya. Government levy ya nini kwenye saving
 
Nadhani wanalipa, hebu kwanza waziri wa fefha achambue hili tupate uhakika ndio tuendelee
 
Sio wao tu hata sisi hatustahili kulipa hizo kodi. Wasomi wetu ndio wanaotuangusha, wamekariri badala ya kujiongeza. Mara ya mwisho nikiwa Dubai kupiga simu za ndani ilikuwa bure, ndugu yangu akamwambia mpaka leo. Wanawezaje ni kwa sababu wanapata kodi ya kutosha kwenye vyanzo vikuu. Hawana haja ya kukimbizana kodi na watu wadogo wadogo, wape unafuu kama stimulus kwenye mitaji yao. Serikali kusanya bandarini huko mkataba unakoisha na kwenye utalii na madini. Elimu ya msingi ilipaswa kuwa na mtaala wa utalii kulingana na vivutio tulivyonavyo. Nchi ingekuwa inanuka utalii. Bangkok Thailand kila mwanaume ana picha za warembo anatangaza biashara ya ukahaba kule mi halali na ina ingia mapato ya serikali. Tupunguze kukimbizana na vikodi vidogo dogo kama Nyerere alivyosema.
 
Lipeni Kodi acheni kulalamika,mpaka Sasa taifa lenye watu makini tengekuwa tuna ongea habari nyingine kwa Kodi hizi za kijinga

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nani asiyelipa kodi? Mtu anakatwa PAYE au analipa income tax kwenye biashara (plus malipo mengine kibao) halafu bado akiweka hela yake ambayo ilishakatwa kodi nayo anailipia tozo pale anapotaka kuitoa benki au kwenye akaunti za kwenye mitandao.
 
Back
Top Bottom