Rais Samia, Dkt. Mpango na Majaliwa hawalipi kodi wala tozo yoyote hapa nchini

Rais Samia, Dkt. Mpango na Majaliwa hawalipi kodi wala tozo yoyote hapa nchini

Bangkok Thailand kila mwanaume ana picha za warembo anatangaza biashara ya ukahaba kule mi halali na ina ingia mapato ya serikali. Tupunguze kukimbizana na vikodi vidogo dogo kama Nyerere alivyosema.
Kuna siku nimechukua taksi pale suvarnabhumi airport bangkok, tunaenda town kwenye zile lami nyekundu nikashangaa dereva anaanza kunitangazia biashara ya ukahaba. Yaani kazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom