Rais Samia, fanya mabadiliko ya wasaidizi wako hasa Kwenye hotuba; unaweza ukawa na wasomi ila siyo wataalam wala wazoefu

Samia kasema tuna akiba zaidi ya usd6000 dah hatari sana
 
Hotuba za kiwerevu ndiyo zipi? Zile za kusema "Baki na mavi yako nyumbani"? Ndiyo mnataka?

Uwezo wenu wa kufikiri umeathiriwa na dikteta wa Chato. Go to hell as well
Jipange kabla hujaleta hoja zako humu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…