Rais Samia, fanya mabadiliko ya wasaidizi wako hasa Kwenye hotuba; unaweza ukawa na wasomi ila siyo wataalam wala wazoefu

Rais Samia, fanya mabadiliko ya wasaidizi wako hasa Kwenye hotuba; unaweza ukawa na wasomi ila siyo wataalam wala wazoefu

Basi kwa kuwa mama kwa kinywa chake kasema taifa lina akiba ya pesa za kigeni dola za marekani zaidi ya elfu 6 bilioni basi tulipe deni letu la dola bilioni 30 halafu zingine tutajua namna ya kuzitumia.
#rais hakosei.
Poropaganda hana hiyo hela huyo kaipata wali?
 
Mheshimiwa Rais, Mama yetu SSH, Watanzania tulio wengi tumefarijika na hotuba yako ya salamu za mwaka mpya.
Nina imani kubwa Watanzania wengi wanakuombea kheri ya Afya ili uendelee kutuongoza vizuri.
Mama kipenzi cha Watanzania, kama itakupendeza, naamini una mkono mrefu, mfuatilie Kanali Sawala, Mkuu wa Wilaya ya Newala aje aongezee nguvu kwenye jopo lako la watu wanaoandaa hotuba zako, huyu mtu ni mzuri, anajua nini kiandikwe.
Halmashauri kuna vijana wazuri wanaandika hotuba hawajaonekana tu.
Nikutakie mwaka wenye kheri Mama yetu, Kwa muda mfupi umeonyesha matumaini makubwa kwa Nchi yetu, haijawahi tokea kwa muda mfupi wa miezi miwili vijengwe vyumba vya madarasa zaidi ya15,000, vituo vya Afya zaidi ya mia mbili, hospital, Shule mpya zaidi 26, mabweni, barabara kila jimbo.
Watanzania tuko pamoja nawe.
Kipenzi chako wewe!
 
... kwa mfano, maelfu tuliotimuliwa kwenye biashara zetu kwa kisingizio cha umachinga tulitarajia kusikia neno la serikali kutoka kwa Mkuu wa nchi.

Kisingizio? We umetimiliwa maana umevamia eneo la barabara hakuna lolote ataambiwa zaidi ya "marufuku kufanya biashara hapa"
 
Mfano hotuba ingejitika katika masuala yafuatayo!

I)Mambo ya makusanyo ya tozo ili kupunguza sintofahamu kwa wananchi jinsi ya matumizi yake!

ii)Demokrasi na uhuru wa vyombo vya Habari na Vyama vya sasa.

iii) Hatima ya katiba mpya

iv)Ufafanuzi wa deni la Taifa ili kuwafanya wananchi waweze kuelewa kwa undani na kutoa taharuki kwa wananchi!

V)Mwendelezo wa miradi nyeti kama Hospital za kanda ,mikoa,wilaya na vituo vya afya na ujenzi wa viwanja vya ndege,barabarani juu na madaraja kama Mto wami nk!

Vi)Jinsi ya kukabiliana na upandaji wa gharama za maisha ikiwemo jinsi ya kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mvua maana kwa mwaka huu hali ya mvua sio nzuri kwa maeneo mengi ya nchi!

vii) Kutoa mwelekeo wake wa kisera na kimkakati kuweza kukuza uchumi na kuimarisha hali za za wananchi mfano machinga baada ya kutolewa barabarani serkali yake inaendelea na mkakati gani!.

Mwisho nashauri wasaidizi wa Rais Samia wajitahidi kuandaa hotuba ambazo zitaleta ufafanuzi wa kutosha kwa wananchi badala ya kuengelea mambo mepesi yasiyo na tija kwa msitakabari wa Taifa!
Usimpangie rais nini cha kusema,kama unaona vipi kahutubue familia yako

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli kwa hotuba ya mwaka kuwa dkk 18-20 ,ni hotuba fupi sana ambayo haiwezi kutoa fafanuzi mbalimbali kama tulivyotaarifiwa na barua ya ikulu. Nami nashauri kwakuwa kumeonekana kipindi hiki kuna upotoshaji mwingi unaofanywa mpaka na viongozi wakubwa dhidi ya uongozi wa Mama, basi wasaidizi wake wanaomuandalia nondo, wajaribu kuingia in details ili Mama akizungumza basi mjadala unafungwa.kwamfano matumizi ya trilioni 1.3 Mama ameupiga mwingi sana kwa kujenga madarasa 15,000, vituo vya afya ambulance etc, so wananchi wanataka kuskia data za namna hiyo.Mambo ni mengi sana, kulipa wastaafu tuliona juzi katoa trillioni 2.7 kati ya 4, kulipa wakandarasi, miradi inaendelea etc. Mbona kipindi cha mwendazake chochote kinachofanyika kilikuwa kinaelezwa kinagaubaga hivyo kujipatia umaarufu mkubwa na wananchi kuwa na uelewa mkubwa wa namna serikali inavyowahudumia. so ni vizuri twende na mfumo huo huo kwa Mama ili awe branded vizuri kwa wananchi.Tunamuombea aendelee na trend hii hasa kusaidia maendeleo ya jamii (watu) .asalaam aleykum
 
Ni kweli kwa hotuba ya mwaka kuwa dkk 18-20 ,ni hotuba fupi sana ambayo haiwezi kutoa fafanuzi mbalimbali kama tulivyotaarifiwa na barua ya ikulu. Nami nashauri kwakuwa kumeonekana kipindi hiki kuna upotoshaji mwingi unaofanywa mpaka na viongozi wakubwa dhidi ya uongozi wa Mama, basi wasaidizi wake wanaomuandalia nondo, wajaribu kuingia in details ili Mama akizungumza basi mjadala unafungwa.kwamfano matumizi ya trilioni 1.3 Mama ameupiga mwingi sana kwa kujenga madarasa 15,000, vituo vya afya ambulance etc, so wananchi wanataka kuskia data za namna hiyo.Mambo ni mengi sana, kulipa wastaafu tuliona juzi katoa trillioni 2.7 kati ya 4, kulipa wakandarasi, miradi inaendelea etc. Mbona kipindi cha mwendazake chochote kinachofanyika kilikuwa kinaelezwa kinagaubaga hivyo kujipatia umaarufu mkubwa na wananchi kuwa na uelewa mkubwa wa namna serikali inavyowahudumia. so ni vizuri twende na mfumo huo huo kwa Mama ili awe branded vizuri kwa wananchi.Tunamuombea aendelee na trend hii hasa kusaidia maendeleo ya jamii (watu) .asalaam aleykum
Amina mkuu!
 
Wengi walishaacha kumsikiliza, wanaomsikiliza ni wale wenye upeo kama wake.
Mimi naamini kwamba tumpe muda Mh Rais na tuendelee kutoa maoni yetu kwa nia njema kwa ajili ya ustawi wa taifa na si kwa ustawi wa vikundi vya upigaji ambavyo vitakuwa vitakuwa vinasifu hata vile visivyostahili kusifu, na pia vikundi vingine ambavyo vimebaniwa upigaji vitakuwa vinaponda kila kitu anachofanya Mh Rais hata kama ni vya manufaa kwa taifa, Sisi wengine tupo neutral hatupo team A wala team B, NAWATAKIA WATANZANIA WOTE HERI YA MWAKA MPYA "
 
Jamani EEE nilisema hapa huyu mama aache mtindo wa kusoma hotuba atalemaa Sasa mmesikia kaandikiwa hotuba kwamba nchi Ina akiba ya US $ Dola 6000 bilion Sasa hapo hata Deni la Taifa lingelipwa mama kubali tu kazi hii kwako ni overloaded kwako .
 
Mfano hotuba ingejitika katika masuala yafuatayo!

I) Mambo ya makusanyo ya tozo ili kupunguza sintofahamu kwa wananchi jinsi ya matumizi yake!

ii) Demokrasi na uhuru wa vyombo vya Habari na Vyama vya sasa.

iii) Hatima ya katiba mpya

iv) Ufafanuzi wa deni la Taifa ili kuwafanya wananchi waweze kuelewa kwa undani na kutoa taharuki kwa wananchi!

V) Mwendelezo wa miradi nyeti kama Hospital za kanda, mikoa, wilaya na vituo vya afya na ujenzi wa viwanja vya ndege, barabarani juu na madaraja kama Mto wami nk!

Vi) Jinsi ya kukabiliana na upandaji wa gharama za maisha ikiwemo jinsi ya kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mvua maana kwa mwaka huu hali ya mvua sio nzuri kwa maeneo mengi ya nchi!

vii) Kutoa mwelekeo wake wa kisera na kimkakati kuweza kukuza uchumi na kuimarisha hali za za wananchi mfano machinga baada ya kutolewa barabarani serkali yake inaendelea na mkakati gani!.

Mwisho nashauri wasaidizi wa Rais Samia wajitahidi kuandaa hotuba ambazo zitaleta ufafanuzi wa kutosha kwa wananchi badala ya kuengelea mambo mepesi yasiyo na tija kwa msitakabari wa Taifa!
TATIZO HAWAKUWA WAMEJIPANGA KUHUTUBIA TAIFA, WALIKURUPUKA BAADA YA KUPATA TAARIFA KUWA TUNDU LISU ATATOA HOTUBA YA MWISHO WA MWAKA
 
Jamani EEE nilisema hapa huyu mama aache mtindo wa kusoma hotuba atalemaa Sasa mmesikia kaandikiwa hotuba kwamba nchi Ina akiba ya US $ Dola 6000 bilion Sasa hapo hata Deni la Taifa lingelipwa mama kubali tu kazi hii kwako ni overloaded kwako .
yaani tuna akiba ya ths 1,426,934,600,000,000/=
 
Hakuna anayefundisha kazi mtu natoa ushauri maana tulitarajia ufafanuzi wa mambo nyeti kama demikrasia na uhuru,tozo,deni la taifa nk
Aliyetamka kuikandamiza atolee ufafanuzi gani.
 
WEWE UMESOMEA CHUO GANI CHA KUWEZA KUWASHAURI MAZUZU WAANZE KUTUMIA AKILI
Mfano hotuba ingejitika katika masuala yafuatayo!

I) Mambo ya makusanyo ya tozo ili kupunguza sintofahamu kwa wananchi jinsi ya matumizi yake!

ii) Demokrasi na uhuru wa vyombo vya Habari na Vyama vya sasa.

iii) Hatima ya katiba mpya

iv) Ufafanuzi wa deni la Taifa ili kuwafanya wananchi waweze kuelewa kwa undani na kutoa taharuki kwa wananchi!

V) Mwendelezo wa miradi nyeti kama Hospital za kanda, mikoa, wilaya na vituo vya afya na ujenzi wa viwanja vya ndege, barabarani juu na madaraja kama Mto wami nk!

Vi) Jinsi ya kukabiliana na upandaji wa gharama za maisha ikiwemo jinsi ya kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mvua maana kwa mwaka huu hali ya mvua sio nzuri kwa maeneo mengi ya nchi!

vii) Kutoa mwelekeo wake wa kisera na kimkakati kuweza kukuza uchumi na kuimarisha hali za za wananchi mfano machinga baada ya kutolewa barabarani serkali yake inaendelea na mkakati gani!.

Mwisho nashauri wasaidizi wa Rais Samia wajitahidi kuandaa hotuba ambazo zitaleta ufafanuzi wa kutosha kwa wananchi badala ya kuengelea mambo mepesi yasiyo na tija kwa msitakabari wa Taifa!
 
Back
Top Bottom