Rais Samia, fanya mabadiliko ya wasaidizi wako hasa Kwenye hotuba; unaweza ukawa na wasomi ila siyo wataalam wala wazoefu

Rais Samia, fanya mabadiliko ya wasaidizi wako hasa Kwenye hotuba; unaweza ukawa na wasomi ila siyo wataalam wala wazoefu

Mfano hotuba ingejitika katika masuala yafuatayo!

I) Mambo ya makusanyo ya tozo ili kupunguza sintofahamu kwa wananchi jinsi ya matumizi yake!

ii) Demokrasi na uhuru wa vyombo vya Habari na Vyama vya sasa.

iii) Hatima ya katiba mpya

iv) Ufafanuzi wa deni la Taifa ili kuwafanya wananchi waweze kuelewa kwa undani na kutoa taharuki kwa wananchi!

V) Mwendelezo wa miradi nyeti kama Hospital za kanda, mikoa, wilaya na vituo vya afya na ujenzi wa viwanja vya ndege, barabarani juu na madaraja kama Mto wami nk!

Vi) Jinsi ya kukabiliana na upandaji wa gharama za maisha ikiwemo jinsi ya kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mvua maana kwa mwaka huu hali ya mvua sio nzuri kwa maeneo mengi ya nchi!

vii) Kutoa mwelekeo wake wa kisera na kimkakati kuweza kukuza uchumi na kuimarisha hali za za wananchi mfano machinga baada ya kutolewa barabarani serkali yake inaendelea na mkakati gani!.

Mwisho nashauri wasaidizi wa Rais Samia wajitahidi kuandaa hotuba ambazo zitaleta ufafanuzi wa kutosha kwa wananchi badala ya kuengelea mambo mepesi yasiyo na tija kwa msitakabari wa Taifa!
Nakazia
 
Hayo ya kwako yamekaa kiupinzani sana, asingekuwa anahutubia nchi ila angekuwa anawahutubia chadema.
 
Hotuba ni kitu personal. Kile unachotaka wewe ni cha kwako wewe na siyo Samia. Hata mimi ningetaka hotuba ya mwaka mpya ningeandika ya kwangu tofauti na hiyo ya kwako. All in all amefikisha ujumbe aliotaka uwafikie watanzania.

Still angeamua pia kutoongea. Acheni critique za kijinga
Acha watu watoe maoni ili mradi wawe wastaarabu.
Ukosoaji unaweza kujikita kwenye matarajio mfano vijana na ajira, wamama na maji, hali ya maisha ya walio wengi nk.
Pia mwenye hotuba yake ana jambo lake pengine kujibu hoja muhimu, kutoa matumaini, kujisafisha nk.
Kuunganisha yote inataka hekima but malalamiko hayatakosa.
Kubwa kabisa ni mwaka mpya yatosha tu kusema heri ya mwaka mpya.
 
..kwanini unadhani Watz kuwa wajuaji ni jambo baya?

..Mwalimu Nyerere alisema ujinga ni mmoja wa maadui wa Tz, hivyo basi Watz tunapaswa kuwa wajuaji.
Ujuaji usio na tija
 
Mfano hotuba ingejitika katika masuala yafuatayo!

I) Mambo ya makusanyo ya tozo ili kupunguza sintofahamu kwa wananchi jinsi ya matumizi yake!

ii) Demokrasi na uhuru wa vyombo vya Habari na Vyama vya sasa.

iii) Hatima ya katiba mpya

iv) Ufafanuzi wa deni la Taifa ili kuwafanya wananchi waweze kuelewa kwa undani na kutoa taharuki kwa wananchi!

V) Mwendelezo wa miradi nyeti kama Hospital za kanda, mikoa, wilaya na vituo vya afya na ujenzi wa viwanja vya ndege, barabarani juu na madaraja kama Mto wami nk!

Vi) Jinsi ya kukabiliana na upandaji wa gharama za maisha ikiwemo jinsi ya kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mvua maana kwa mwaka huu hali ya mvua sio nzuri kwa maeneo mengi ya nchi!

vii) Kutoa mwelekeo wake wa kisera na kimkakati kuweza kukuza uchumi na kuimarisha hali za za wananchi mfano machinga baada ya kutolewa barabarani serkali yake inaendelea na mkakati gani!.

Mwisho nashauri wasaidizi wa Rais Samia wajitahidi kuandaa hotuba ambazo zitaleta ufafanuzi wa kutosha kwa wananchi badala ya kuengelea mambo mepesi yasiyo na tija kwa msitakabari wa Taifa!
Sema na yeye samia anatakiwa kuwa uptodate, sio kutegemea kusoma kila kitu hata vitu visivyo sahihi au na tija yeye anajisomea tu. Kiongozi lazima uwe na data, sio kulishwa upepo halafu unajaa mazima , mwisho wa siku wahuni wakishafanya yao, aibu inabaki kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hotuba ni kitu personal. Kile unachotaka wewe ni cha kwako wewe na siyo Samia. Hata mimi ningetaka hotuba ya mwaka mpya ningeandika ya kwangu tofauti na hiyo ya kwako. All in all amefikisha ujumbe aliotaka uwafikie watanzania.

Still angeamua pia kutoongea. Acheni critique za kijinga
Wewe ndio una embrace hotuba za kijinga. Kuwa makini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mfano hotuba ingejitika katika masuala yafuatayo!

I) Mambo ya makusanyo ya tozo ili kupunguza sintofahamu kwa wananchi jinsi ya matumizi yake!

ii) Demokrasi na uhuru wa vyombo vya Habari na Vyama vya sasa.

iii) Hatima ya katiba mpya

iv) Ufafanuzi wa deni la Taifa ili kuwafanya wananchi waweze kuelewa kwa undani na kutoa taharuki kwa wananchi!

V) Mwendelezo wa miradi nyeti kama Hospital za kanda, mikoa, wilaya na vituo vya afya na ujenzi wa viwanja vya ndege, barabarani juu na madaraja kama Mto wami nk!

Vi) Jinsi ya kukabiliana na upandaji wa gharama za maisha ikiwemo jinsi ya kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mvua maana kwa mwaka huu hali ya mvua sio nzuri kwa maeneo mengi ya nchi!

vii) Kutoa mwelekeo wake wa kisera na kimkakati kuweza kukuza uchumi na kuimarisha hali za za wananchi mfano machinga baada ya kutolewa barabarani serkali yake inaendelea na mkakati gani!.

Mwisho nashauri wasaidizi wa Rais Samia wajitahidi kuandaa hotuba ambazo zitaleta ufafanuzi wa kutosha kwa wananchi badala ya kuengelea mambo mepesi yasiyo na tija kwa msitakabari wa Taifa!
Hayo ni mtazamo wako wewe ambayo ulitaka azungumze lakini hayo waliomwandikia ndio sahihi
 
Jamani EEE nilisema hapa huyu mama aache mtindo wa kusoma hotuba atalemaa Sasa mmesikia kaandikiwa hotuba kwamba nchi Ina akiba ya US $ Dola 6000 bilion Sasa hapo hata Deni la Taifa lingelipwa mama kubali tu kazi hii kwako ni overloaded kwako .
Mama asiposoma hotuba huwa anaishia kudamka tu, mipasho ya chokochoko, kujisifia urais wa kijinsia nk.

Bora hata kuandikiwa hotuba ya mapumba na kuyasoma hivyo hivyo!
 
Kwani yeye ndiye muandaji wa hotuba za Rais
mkurugenzi wa mawasiliano ya rais...au unadhani hotuba si sehemu ya mawasiliano ya rais kwa umma? hakuna kinachotoka pasipo approval yake
 
Mfano hotuba ingejitika katika masuala yafuatayo!

I) Mambo ya makusanyo ya tozo ili kupunguza sintofahamu kwa wananchi jinsi ya matumizi yake!

ii) Demokrasi na uhuru wa vyombo vya Habari na Vyama vya sasa.

iii) Hatima ya katiba mpya

iv) Ufafanuzi wa deni la Taifa ili kuwafanya wananchi waweze kuelewa kwa undani na kutoa taharuki kwa wananchi!

V) Mwendelezo wa miradi nyeti kama Hospital za kanda, mikoa, wilaya na vituo vya afya na ujenzi wa viwanja vya ndege, barabarani juu na madaraja kama Mto wami nk!

Vi) Jinsi ya kukabiliana na upandaji wa gharama za maisha ikiwemo jinsi ya kukabiliana na changamoto ya upatikanaji wa mvua maana kwa mwaka huu hali ya mvua sio nzuri kwa maeneo mengi ya nchi!

vii) Kutoa mwelekeo wake wa kisera na kimkakati kuweza kukuza uchumi na kuimarisha hali za za wananchi mfano machinga baada ya kutolewa barabarani serkali yake inaendelea na mkakati gani!.

Mwisho nashauri wasaidizi wa Rais Samia wajitahidi kuandaa hotuba ambazo zitaleta ufafanuzi wa kutosha kwa wananchi badala ya kuengelea mambo mepesi yasiyo na tija kwa msitakabari wa Taifa!
Mwenggine anawaza hoja tofauti. Lakini kiukweli muandaa hotuba za Rais abadilishwe.
 
Uzuri anapenda Sana kufuatilia mitandaon,Sasa sijui atalifanyia kazi!
 
Back
Top Bottom