Rais Samia fanya maridhiano pia na "Umoja Party", usidanganye kuwa kimekufa

Rais Samia fanya maridhiano pia na "Umoja Party", usidanganye kuwa kimekufa

Mama : 10 yrs kuanzia 2025,hakuna Umoja Party wala Umbili Party,kimjini tunasema imekula kwao.
We look forward for a coalition Govt CCM na CHADEMA
 
Kinachoendelea kwa Serikali ya CCM na CCM yenyewe ni mwendo wa maridhiano ili nchi itulie kila anayekula na kipofu asiguswe mkono.

Kama hiyo ndiyo njia muafaka iliyochaguliwa basi hakuna haja ya kujenga chuki na waasisi wa Umoja Party inayoendelea nchini kutafuta wadhamini Ili hatimaye kipate usajili wa kudumu.

Chama hiki kina watu wenye fedha, wenye akili, wenye maono waliojaa kila mahali ikiwemo Baraza lako la Mawaziri. Kiko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama, nyumba za ibada, mabalozi nakadhalika. Kinaamini katika Fikra za Hayati Magufuli.

Kwa mipango Yao, mikakati Yao ni kwamba utatumia nguvu nyingi 2025 kushinda Uchaguzi. JK kakushauri uungane na Chadema ili kuepusha chama hiki kuja kuungana na Chadema maana wako ndani CCM. Lakini ushauri wangu Bora kufanya maridhiano na Umoja Party kuliko wapinzani njaa ambao bila asali msingefunga ndoa hiyo maana Umoja Party tayari wana asali ya kutosha. Tafakari, chukua hatua kungali mapema.
hakuna umoja party
 
Kinachoendelea kwa Serikali ya CCM na CCM yenyewe ni mwendo wa maridhiano ili nchi itulie kila anayekula na kipofu asiguswe mkono.

Kama hiyo ndiyo njia muafaka iliyochaguliwa basi hakuna haja ya kujenga chuki na waasisi wa Umoja Party inayoendelea nchini kutafuta wadhamini Ili hatimaye kipate usajili wa kudumu.

Chama hiki kina watu wenye fedha, wenye akili, wenye maono waliojaa kila mahali ikiwemo Baraza lako la Mawaziri. Kiko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama, nyumba za ibada, mabalozi nakadhalika. Kinaamini katika Fikra za Hayati Magufuli.

Kwa mipango Yao, mikakati Yao ni kwamba utatumia nguvu nyingi 2025 kushinda Uchaguzi. JK kakushauri uungane na Chadema ili kuepusha chama hiki kuja kuungana na Chadema maana wako ndani CCM. Lakini ushauri wangu Bora kufanya maridhiano na Umoja Party kuliko wapinzani njaa ambao bila asali msingefunga ndoa hiyo maana Umoja Party tayari wana asali ya kutosha. Tafakari, chukua hatua kungali mapema.
ACHENI UJINGA Umoja party ni nini?Kimesajiliwa lini Kina bendera rangi gani Ofisi zake ziko wapi Viongozi wake ni kina nani?
 
Kinachoendelea kwa Serikali ya CCM na CCM yenyewe ni mwendo wa maridhiano ili nchi itulie kila anayekula na kipofu asiguswe mkono.

Kama hiyo ndiyo njia muafaka iliyochaguliwa basi hakuna haja ya kujenga chuki na waasisi wa Umoja Party inayoendelea nchini kutafuta wadhamini Ili hatimaye kipate usajili wa kudumu.

Chama hiki kina watu wenye fedha, wenye akili, wenye maono waliojaa kila mahali ikiwemo Baraza lako la Mawaziri. Kiko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama, nyumba za ibada, mabalozi nakadhalika. Kinaamini katika Fikra za Hayati Magufuli.

Kwa mipango Yao, mikakati Yao ni kwamba utatumia nguvu nyingi 2025 kushinda Uchaguzi. JK kakushauri uungane na Chadema ili kuepusha chama hiki kuja kuungana na Chadema maana wako ndani CCM. Lakini ushauri wangu Bora kufanya maridhiano na Umoja Party kuliko wapinzani njaa ambao bila asali msingefunga ndoa hiyo maana Umoja Party tayari wana asali ya kutosha. Tafakari, chukua hatua kungali mapema.
Hao Umoja Party ni kina nani na wako wapi?

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kinachoendelea kwa Serikali ya CCM na CCM yenyewe ni mwendo wa maridhiano ili nchi itulie kila anayekula na kipofu asiguswe mkono.

Kama hiyo ndiyo njia muafaka iliyochaguliwa basi hakuna haja ya kujenga chuki na waasisi wa Umoja Party inayoendelea nchini kutafuta wadhamini Ili hatimaye kipate usajili wa kudumu.

Chama hiki kina watu wenye fedha, wenye akili, wenye maono waliojaa kila mahali ikiwemo Baraza lako la Mawaziri. Kiko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama, nyumba za ibada, mabalozi nakadhalika. Kinaamini katika Fikra za Hayati Magufuli.

Kwa mipango Yao, mikakati Yao ni kwamba utatumia nguvu nyingi 2025 kushinda Uchaguzi. JK kakushauri uungane na Chadema ili kuepusha chama hiki kuja kuungana na Chadema maana wako ndani CCM. Lakini ushauri wangu Bora kufanya maridhiano na Umoja Party kuliko wapinzani njaa ambao bila asali msingefunga ndoa hiyo maana Umoja Party tayari wana asali ya kutosha.

kwendraaaaaaaa huko sukuma GANG nyie
 
Kinachoendelea kwa Serikali ya CCM na CCM yenyewe ni mwendo wa maridhiano ili nchi itulie kila anayekula na kipofu asiguswe mkono.

Kama hiyo ndiyo njia muafaka iliyochaguliwa basi hakuna haja ya kujenga chuki na waasisi wa Umoja Party inayoendelea nchini kutafuta wadhamini Ili hatimaye kipate usajili wa kudumu.

Chama hiki kina watu wenye fedha, wenye akili, wenye maono waliojaa kila mahali ikiwemo Baraza lako la Mawaziri. Kiko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama, nyumba za ibada, mabalozi nakadhalika. Kinaamini katika Fikra za Hayati Magufuli.

Kwa mipango Yao, mikakati Yao ni kwamba utatumia nguvu nyingi 2025 kushinda Uchaguzi. JK kakushauri uungane na Chadema ili kuepusha chama hiki kuja kuungana na Chadema maana wako ndani CCM. Lakini ushauri wangu Bora kufanya maridhiano na Umoja Party kuliko wapinzani njaa ambao bila asali msingefunga ndoa hiyo maana Umoja Party tayari wana asali ya kutosha. Tafakari, chukua hatua kungali mapema.
Hakuna kufanya maridhiano na wahalifu
Kama hamna njaa tokeni ndani ya CCM mumpinge Samia waziwazi, kenge nyie
Sabaya atanyea sana ndoo
 
Hata bila usajili kina nguvu sana. Miongoni mwao yumo Ayubu aliyewahi kuongoza moja ya mhimili wa Dola, anaijua nchi.
Kama mna makende kweli, tokeni nje ya CCM mumkosoe Samia au mkosoeni Samia huko ndani ya CCM, sio mnajificha kwa ID fake kisha mnaomba maridhiano
 
Kinachoendelea kwa Serikali ya CCM na CCM yenyewe ni mwendo wa maridhiano ili nchi itulie kila anayekula na kipofu asiguswe mkono.

Kama hiyo ndiyo njia muafaka iliyochaguliwa basi hakuna haja ya kujenga chuki na waasisi wa Umoja Party inayoendelea nchini kutafuta wadhamini Ili hatimaye kipate usajili wa kudumu.

Chama hiki kina watu wenye fedha, wenye akili, wenye maono waliojaa kila mahali ikiwemo Baraza lako la Mawaziri. Kiko kwenye vyombo vya ulinzi na usalama, nyumba za ibada, mabalozi nakadhalika. Kinaamini katika Fikra za Hayati Magufuli.

Kwa mipango Yao, mikakati Yao ni kwamba utatumia nguvu nyingi 2025 kushinda Uchaguzi. JK kakushauri uungane na Chadema ili kuepusha chama hiki kuja kuungana na Chadema maana wako ndani CCM. Lakini ushauri wangu Bora kufanya maridhiano na Umoja Party kuliko wapinzani njaa ambao bila asali msingefunga ndoa hiyo maana Umoja Party tayari wana asali ya kutosha. Tafakari, chukua hatua kungali mapema.
Kwani UMOJA PARTY kina usajili?Kina mgogoro gani na CCM mpaka WAFANYE MARIDHIANO?Acheni kumchosha RAIS wetu na Chama Uchwara
 
Siyo kimekufa hicho chama hakipo ni cha kufikirika. Kama kipo weka hapa usajili wake. Hivi Sukuma Gang Nani aliyewaroga?
 
Back
Top Bottom