CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
Muungano My foot,sijawahi ona faida ya huu muungano
Fanyeni biashara halafu ndio mtajua kuwa hamna muungano
ushubwada tu wakuwapa watu pesa ambazo hawakustahili kupewa
wateseke wengine,waumie wengine eti kisa na wewe n mwanafamilia Upewe tu.
Zanzibar ina rais wake ina serikali yake Muungano ni kama "kumbukumbu tu" ya kilichotokeaga
ila haimaanishi kwamba raslimali za Bara ziende zanzibar,Bi mkubwa kazingua tena kazingua kweli kweli.
Fanyeni biashara halafu ndio mtajua kuwa hamna muungano
ushubwada tu wakuwapa watu pesa ambazo hawakustahili kupewa
wateseke wengine,waumie wengine eti kisa na wewe n mwanafamilia Upewe tu.
Zanzibar ina rais wake ina serikali yake Muungano ni kama "kumbukumbu tu" ya kilichotokeaga
ila haimaanishi kwamba raslimali za Bara ziende zanzibar,Bi mkubwa kazingua tena kazingua kweli kweli.