Rais Samia: Fedha za Mauzo ya Mazao ya Kilimo Kama Kahawa Zitatusaidia Kuondoa Utegemezi wa Mikopo Yenye Masharti Kutoka Nje.

Nchi inaongozwa kwa hisia sana, Viongozi wanafuata upepo utakapowapeleka .

Waliwahi kuzungumzia parachichi katika muktadha huu huu, Je unaelewa nini kinaendelea kwa wakulima wa Parachichi huko Njombe?
Kinachoendelea ni Biashara kunoga unless wewe utueleze ulichokiona huko Njombe
 
Wakomae na zao la Korosho ambalo limeonyesha kustawi nchi nzima
 
Sijasoma hadi mwisho lakini kama mheshimiwa Rais ndo anatambua kuwa kilimo chenye tija kinaweza kutukomboa kutoka kwenye makucha ya mikopo na kuuza rasilimali za nchi basi ni dhahiri njia tumeishaiacha long time.
 
Sijasoma hadi mwisho lakini kama mheshimiwa Rais ndo anatambua kuwa kilimo chenye tija kinaweza kutukomboa kutoka kwenye makucha ya mikopo na kuuza rasilimali za nchi basi ni dhahiri njia tumeishaiacha long time.
Hujaeleweka
 
Watunyime tu misaada ili akili itukae sawa
Kama hamjaona tunapeleka mihogo wenyewe kwa mashua zetu mpaka china
Cheza na njaa wewe
Kuna mataifa wamepitia shida ila wakajifunza in a hard way
 
Amechoka kujichetua....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…