BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Ikulu imetekwa na wahuni Mkuu. Mama hayuko huru.
Nimesoma hii habari kwa kigogo2014 nikabaki mdomo wazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesoma hii habari kwa kigogo2014 nikabaki mdomo wazi.
Jiwe aliharibu sana kila sehemuNdiyo yeye huyo Mkuu. Jiwe alimuingiza TISS pamoja na kutokuwa ni sifa husika.
Ikulu imetekwa na wahuni Mkuu. Mama hayuko huru.
Yafaa tuwasaidie ushauri hata wakati huu ambao,macho yenu yameanza kuona na masikio yameanza kusikia hata shingo zenu zinaweza kugeuka pande zote.msiposikia tena hamna bahati.Mmm ya chadema kwenu yamewashinda ya akina Halima Mdee toka lini wewe ukageuka mshauri wa CCM?
Naunga mkono hoja 100%Mheshimiwa Raisi, kama hilo jina halikuwa pendekezo lako bali uliletewa na wasaidizi wako ili umteue kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, nakushauri uwafukuze mara moja waliohusika kupendekeza kwako jina hilo
Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na kuchambua majina kabla ya kuyaleta kwa umma.
Usipotusikiliza, Mheshiimiwa una hatari ya kuharibikiwa mapema sana na inawezekana baadhi ya watu walioteuliwa na mtangulizi wako hawafai kuendelea kufanya kazi na wewe hivyo ni bora uteua watu wako.
Japo mi si mwana-CCM ,ila inawezekana kuna wenzako wanataka uonekane hutoshi kwenye hiyo nafasi ikiwa ni maandalizi ya 2025- nadhani umenielewa.
Sukuma Gang wanamhujumu sana Mama.Mheshimiwa Raisi, kama hilo jina halikuwa pendekezo lako bali uliletewa na wasaidizi wako ili umteue kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, nakushauri uwafukuze mara moja waliohusika kupendekeza kwako jina hilo
Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na kuchambua majina kabla ya kuyaleta kwa umma.
Usipotusikiliza, Mheshiimiwa una hatari ya kuharibikiwa mapema sana na inawezekana baadhi ya watu walioteuliwa na mtangulizi wako hawafai kuendelea kufanya kazi na wewe hivyo ni bora uteua watu wako.
Japo mi si mwana-CCM ,ila inawezekana kuna wenzako wanataka uonekane hutoshi kwenye hiyo nafasi ikiwa ni maandalizi ya 2025- nadhani umenielewa.
Huyu kifutu si ndiye alitishia kumtwanga risasi Zitto Kabwe kule Bungeni?
Mheshimiwa Raisi, kama hilo jina halikuwa pendekezo lako bali uliletewa na wasaidizi wako ili umteue kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, nakushauri uwafukuze mara moja waliohusika kupendekeza kwako jina hilo
Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na kuchambua majina kabla ya kuyaleta kwa umma.
Usipotusikiliza, Mheshiimiwa una hatari ya kuharibikiwa mapema sana na inawezekana baadhi ya watu walioteuliwa na mtangulizi wako hawafai kuendelea kufanya kazi na wewe hivyo ni bora uteua watu wako.
Japo mi si mwana-CCM ,ila inawezekana kuna wenzako wanataka uonekane hutoshi kwenye hiyo nafasi ikiwa ni maandalizi ya 2025- nadhani umenielewa.
Mimi nashauri awaache asiwafukuze. Akifanya hivyo ataanza kutengeneza kundi jipya la upinzani la watu walio karibu naye, ndani ya kipindi cha muda mfupi muno. Nashauri asitishe teuzi zingine mpya, kama zilikuwa zipo. Asikilizie tuseme hata kwa muda wa miezi mitatu hiviMheshimiwa Raisi, kama hilo jina halikuwa pendekezo lako bali uliletewa na wasaidizi wako ili umteue kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, nakushauri uwafukuze mara moja waliohusika kupendekeza kwako jina hilo
Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na kuchambua majina kabla ya kuyaleta kwa umma.
Usipotusikiliza, Mheshiimiwa una hatari ya kuharibikiwa mapema sana na inawezekana baadhi ya watu walioteuliwa na mtangulizi wako hawafai kuendelea kufanya kazi na wewe hivyo ni bora uteua watu wako.
Japo mi si mwana-CCM ,ila inawezekana kuna wenzako wanataka uonekane hutoshi kwenye hiyo nafasi ikiwa ni maandalizi ya 2025- nadhani umenielewa.
Imejaa wahuni wa UVCCM, na kazi yao nadhani ni kubebana ili watengeneze mtandao wao wa Urais 2025, hayo ndio madhara sasa ya kujaza wahuni kwenye sector nyeti,Mamlaka za vetting ivunjwe, inaonyesha ina udini, mfumo dume na haiko serious
Tunazungumzia mustakabali wa Taifa letu,huu upumbavu wa vyama peleka Lumumba.Mmm ya chadema kwenu yamewashinda ya akina Halima Mdee toka lini wewe ukageuka mshauri wa CCM?
mama ajiidhuruu 😂😂😂😂😂
Mmm ya chadema kwenu yamewashinda ya akina Halima Mdee toka lini wewe ukageuka mshauri wa CCM?
Siku nyingi sana sijakuona ndugu yangu BAK...vip za masikuHuyo mwesiga ndiye aliyemtishia bastola Zitto bungeni na ni mmoja wa wahuni ambao jiwe aliwaingiza bungeni kinyume na taratibu Salary Slip
Huyo ni zero brain.Umekuwa fala kiasi hujui tofauti ya serikali na chama.