Rais Samia, fukuza walioukuletea jina la mtu asiye na sifa ili umteue

Rais Samia, fukuza walioukuletea jina la mtu asiye na sifa ili umteue

Mama asafishe watu waliokuwa chini yake, Tena wamemleta huyo kijana CV ndogo ili kuonyesha hayuko serious. Sasa kukumbatia watu wa zamani tena wengi wasiomwamini ni shida
 
Je walio aminiwa kuwa bora hawakuwa bora kwa mtu bora.
Maana kwa sasa aliye bora anaamini watu bora
 
Mmm ya chadema kwenu yamewashinda ya akina Halima Mdee toka lini wewe ukageuka mshauri wa CCM?
Yafaa tuwasaidie ushauri hata wakati huu ambao,macho yenu yameanza kuona na masikio yameanza kusikia hata shingo zenu zinaweza kugeuka pande zote.msiposikia tena hamna bahati.
 
Mheshimiwa Raisi, kama hilo jina halikuwa pendekezo lako bali uliletewa na wasaidizi wako ili umteue kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, nakushauri uwafukuze mara moja waliohusika kupendekeza kwako jina hilo

Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na kuchambua majina kabla ya kuyaleta kwa umma.

Usipotusikiliza, Mheshiimiwa una hatari ya kuharibikiwa mapema sana na inawezekana baadhi ya watu walioteuliwa na mtangulizi wako hawafai kuendelea kufanya kazi na wewe hivyo ni bora uteua watu wako.

Japo mi si mwana-CCM ,ila inawezekana kuna wenzako wanataka uonekane hutoshi kwenye hiyo nafasi ikiwa ni maandalizi ya 2025- nadhani umenielewa.
Naunga mkono hoja 100%
 
Mheshimiwa Raisi, kama hilo jina halikuwa pendekezo lako bali uliletewa na wasaidizi wako ili umteue kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, nakushauri uwafukuze mara moja waliohusika kupendekeza kwako jina hilo

Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na kuchambua majina kabla ya kuyaleta kwa umma.

Usipotusikiliza, Mheshiimiwa una hatari ya kuharibikiwa mapema sana na inawezekana baadhi ya watu walioteuliwa na mtangulizi wako hawafai kuendelea kufanya kazi na wewe hivyo ni bora uteua watu wako.

Japo mi si mwana-CCM ,ila inawezekana kuna wenzako wanataka uonekane hutoshi kwenye hiyo nafasi ikiwa ni maandalizi ya 2025- nadhani umenielewa.
Sukuma Gang wanamhujumu sana Mama.
 
Mheshimiwa Raisi, kama hilo jina halikuwa pendekezo lako bali uliletewa na wasaidizi wako ili umteue kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, nakushauri uwafukuze mara moja waliohusika kupendekeza kwako jina hilo

Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na kuchambua majina kabla ya kuyaleta kwa umma.

Usipotusikiliza, Mheshiimiwa una hatari ya kuharibikiwa mapema sana na inawezekana baadhi ya watu walioteuliwa na mtangulizi wako hawafai kuendelea kufanya kazi na wewe hivyo ni bora uteua watu wako.

Japo mi si mwana-CCM ,ila inawezekana kuna wenzako wanataka uonekane hutoshi kwenye hiyo nafasi ikiwa ni maandalizi ya 2025- nadhani umenielewa.

Naunga mkono hoja.
 
Mheshimiwa Raisi, kama hilo jina halikuwa pendekezo lako bali uliletewa na wasaidizi wako ili umteue kuwa Mkurugenzi Mkuu wa TPDC, nakushauri uwafukuze mara moja waliohusika kupendekeza kwako jina hilo

Pili, ikiwezekana sitisha kufanya teuzi kipindi hiki na jipe muda wa kutosha kupitia na kuchambua majina kabla ya kuyaleta kwa umma.

Usipotusikiliza, Mheshiimiwa una hatari ya kuharibikiwa mapema sana na inawezekana baadhi ya watu walioteuliwa na mtangulizi wako hawafai kuendelea kufanya kazi na wewe hivyo ni bora uteua watu wako.

Japo mi si mwana-CCM ,ila inawezekana kuna wenzako wanataka uonekane hutoshi kwenye hiyo nafasi ikiwa ni maandalizi ya 2025- nadhani umenielewa.
Mimi nashauri awaache asiwafukuze. Akifanya hivyo ataanza kutengeneza kundi jipya la upinzani la watu walio karibu naye, ndani ya kipindi cha muda mfupi muno. Nashauri asitishe teuzi zingine mpya, kama zilikuwa zipo. Asikilizie tuseme hata kwa muda wa miezi mitatu hivi
 
Failure ambayo samia kaonyesha mwanzoni kabisa ni hii hapa.! Hata week 3 hana ofisini.
 
Mamlaka za vetting ivunjwe, inaonyesha ina udini, mfumo dume na haiko serious
Imejaa wahuni wa UVCCM, na kazi yao nadhani ni kubebana ili watengeneze mtandao wao wa Urais 2025, hayo ndio madhara sasa ya kujaza wahuni kwenye sector nyeti,
Akitaka twende vizuri ,atimue wahuni wote atafute watu smart wa kufanya nao kazi asiangalie uchama kama alivyokuwa anafanya mwendazake
 
supply chain ya uteuzi aifanye iwe ndefu na self policing.Bora kuchelewa kuwapata wateuliwa lakini tupate watu bora.Mama bado anayo nafasi ya kufanya vizuri , ni kawaida kwa kazi mpya hizo ndiyo changamoto lakini zitafanyiwa kazi na mama atatufikisha Kanani
 
Back
Top Bottom