Rais Samia funga mipaka haraka, huu ni mwaka wa ukame, hatuwezi kupiga kura na njaa tumboni

Rais Samia funga mipaka haraka, huu ni mwaka wa ukame, hatuwezi kupiga kura na njaa tumboni

Mkuu upo sahihi,nilime mimi harafu mtu baki eti anasema tuzuie mahindi yasitoke nje.
Nonsense acha kuendekeza ulofa fanya kazi.
Shamba ununue wewe,wafanyakazi uwalipe wewe.
Mbolea ununuwe wewe.
Washauri wa kilimo uwalipe wewe.
Anakuja kinyangarika mtu baki ETI funga mipaka ili yeye aendelee kula bila kunawa.
Fia mbali kuliko kuendekeza uvivu wa akili na uwezo.
Kama anajua Kuna njaa akalime,ndio maana nimesema wafe tuu.
 
Uzi huu ukipuuzwa msije sema hamkujua

Mahindi kidogo yaliyopatikana yanatoroshwa nchi jirani,mavuno hayakuwa mazuri,tutegemee njaa.

Huwezi kupiga kampeni au upige kura na njaa tumboni.
Mioaka ifungwe haraka kwa usalama wetu

Bashe yupo bize na kampeni hana hbari
Mama anakula mema ya nchi hana habari.
Wazo zuri ila umechelewa mkuu, kuna mamia ya matruck ya kizambia pale songea yanabebelea mahindi to zambia kama haya akili nzuri.
 
Kuna sehemu Gunia la mahindi ni 75k hadi 90k. Mpunga gunia ni 120k

Na ni sehemu inayozalisha hayo mazao kwa wingi.
Kujua bei ya mazao huwa haitoshelezi taarifa kuhusu mazao. Lazima ijulikane ni wapi? Pia gharama za usafirishaji kwenye canter au fuso au semi trela scania kutoka eneo lenye mazao kama mahindi,mpunga kuelekea kwenye mikoa mingine kama Dar, Mwanza, Dodoma, Pwani n.k
 
Wazo zuri ila umechelewa mkuu, kuna mamia ya matruck ya kizambia pale songea yanabebelea mahindi to zambia kama haya akili nzuri.
Nenda nawewe songea ukalime Ili matruck hayo yabebe nayakwako!Waziri Bashe shikilia hapohapo mpaka mkulima naye atajirike
 
Uzi huu ukipuuzwa msije sema hamkujua

Mahindi kidogo yaliyopatikana yanatoroshwa nchi jirani,mavuno hayakuwa mazuri,tutegemee njaa.

Huwezi kupiga kampeni au upige kura na njaa tumboni.
Mioaka ifungwe haraka kwa usalama wetu

Bashe yupo bize na kampeni hana hbari
Mama anakula mema ya nchi hana habari.
Ningefurahi hiyo njaa ingeanza kukuua wewe na familia yako ya wavivu. Mkulima amenyeke halafu mpuuzi kama wewe useme mipaka ifungwe? Ulishindwa nini kulima?
 
Kama anajua Kuna njaa akalime,ndio maana nimesema wafe tuu.
Kama Tanzania itapunguza wavivu kwa asilimia 20 tu tutakuwa viogozi kinara wa uchumi Africa Mashariki.
Tukipunguza uvivu kwa asilimia 50 tutakuwa no. 2 kwa uchumi bora SADAC.
Na tukiweza kupunguza uvivu kwa asilimia 80 tutakuwa per na viwango bora vya European Union.
 
Kwa 4R zake hata msipopiga kura atawekwa madarakani na vyombo vya ulinzi na usalama.
 
Uzi huu ukipuuzwa msije sema hamkujua

Mahindi kidogo yaliyopatikana yanatoroshwa nchi jirani,mavuno hayakuwa mazuri,tutegemee njaa.

Huwezi kupiga kampeni au upige kura na njaa tumboni.
Mioaka ifungwe haraka kwa usalama wetu

Bashe yupo bize na kampeni hana habari
Mama anakula mema ya nchi hana habari.
Kwa hio watu walime mahindi wakivuja jasho na damu, wewe unataka ule ugali wa bei chee! wakulima waachwe wapige pesa. Kwani bei za vifaa vya ujenzi au petrol kipanda si huwa tunaachia nguvu ya soko?. Ili Tanzania iwe na wakulima serious, iachane na kuzuia usafirishaji chakula nje, kila mmoja ale eneo lake la kazi.
 
Kwa hio watu walime mahindi wakivuja jasho na damu, wewe unataka ule ugali wa bei cheese! wakulima waachwe wapige pesa. Kwani bei za vifaa vya ujenzi au petrol kipanda si huwa tunaachia nguvu ya soko?. Ili Tanzania iwe na wakulima serious, iachane na kuzuia usafirishaji chakula nje, kila mmoja ale eneo lake la kazi.
Haya bana,utauza mahindi yote baadae ukose hata hela ya kununulia chakula familia
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Mimi niliwahi kuandika Mahali, Nchi hii Tatizo kuu ni Usalama wa Taifa.

Huko Jirani wanaonunua Mahindi, hao wafanyabiashara Wana backup kubwa ya Vyombo vyao vya Usalama kujihakikishia Usalama wa Chakula nchini mwao.


Ni mpaka uwe na akili ndio unaweza kuona hatari kama hizi.

Wakulima Kwa Sasa wanalipa Mvua zimegoma.
Huu ni muda wa kila mmoja kukununua vyakula yaani chakula kinachouzwa mbeya, songea, morogoro na mikoa mingine mtu kujinunulia aweke kinachomtosha ndani hawezi mpaka asaidiwe na usalama wa taifa?
 
Kuna sehemu Gunia la mahindi ni 75k hadi 90k. Mpunga gunia ni 120k

Na ni sehemu inayozalisha hayo mazao kwa wingi.
Peleka uongo wako hukooo
Muongo mkubwa wewe kwa nn hutaji hayo maeneo
 
Ningefurahi hiyo njaa ingeanza kukuua wewe na familia yako ya wavivu. Mkulima amenyeke halafu mpuuzi kama wewe useme mipaka ifungwe? Ulishindwa nini kulima?
We kenge mimi nalima japo ni kazi ya laana,sitegemei kilimo mimi sio mvivu kama wewe,huu uzi najua utafanyiwa kazI
 
Kuna watu hapa JF ukiwasoma mada zao za ccm na raisi.
nahisi tunasoma
IMG_0552.jpeg
 
Mimi niliwahi kuandika Mahali, Nchi hii Tatizo kuu ni Usalama wa Taifa.

Huko Jirani wanaonunua Mahindi, hao wafanyabiashara Wana backup kubwa ya Vyombo vyao vya Usalama kujihakikishia Usalama wa Chakula nchini mwao.


Ni mpaka uwe na akili ndio unaweza kuona hatari kama hizi.

Wakulima Kwa Sasa wanalipa Mvua zimegoma.
Tunalinda Viongozi na Chama inatosha.
 
Back
Top Bottom