Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Mhhh though sijapita siku nyingi ila nadhani ni mwezi wa 4-5 kuvuna.Kanda ya ziwa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhhh though sijapita siku nyingi ila nadhani ni mwezi wa 4-5 kuvuna.Kanda ya ziwa mkuu
Oooh kumbe bas sawa.Kujua bei ya mazao huwa haitoshelezi taarifa kuhusu mazao. Lazima ijulikane ni wapi? Pia gharama za usafirishaji kwenye canter au fuso au semi trela scania kutoka eneo lenye mazao kama mahindi,mpunga kuelekea kwenye mikoa mingine kama Dar, Mwanza, Dodoma, Pwani n.k
Mwaka huu kutakua na njaa, mvua mizinguo sana
Kama pesa yupo hakunaga kitu inaitwa njaa Acha uoga mkuuUzi huu ukipuuzwa msije sema hamkujua
Mahindi kidogo yaliyopatikana yanatoroshwa nchi jirani,mavuno hayakuwa mazuri,tutegemee njaa.
Huwezi kupiga kampeni au upige kura na njaa tumboni.
Mioaka ifungwe haraka kwa usalama wetu
Bashe yupo bize na kampeni hana habari
Mama anakula mema ya nchi hana habari.
Wala bila ubishi, pembejeo zimekua ghali, na kilimo kinasua sua, mvua hakuna, mazao yanakauka bila hata kukomaa wala kuzaa.Hii ni dalili kuwa huu mwaka njaa ipo
Songea!!Peleka uongo wako hukooo
Muongo mkubwa wewe kwa nn hutaji hayo maeneo
Tabora,debe la mahindi 12000We sema uko mkoa gani
Yanasafiri ma canter kwa ma canter, kupitia njia ya Muhukuru - to border.Kwani hao wakulima wanamiliki mahindi ya Serekali? Hapa kwetu Songea serekali yenyewe inapeleka Mahindi Zambia
Soko si lipo Kenya hapo kaka tembea kwanza kujua utauza wapi ili usitapeliwe mbona rahisi tu na Kenya mzigo wa mahindi unashusha kiwandani unalipwa hela yako unaondoka ila lazima upitie kwa agent wao..Shauri serikali inunue mahindi, mpunga yanayowadodea wakulima na siyo kufunga mipaka. Watu tuna magunia ya mahindi, mpunga na hatuna soko wewe unaleta habari za vijiwe vya kahawa.
Dah basi Serikali inabidi ijiandae mapema ikabiliane na hii hali asee. Nakumbuka mwaka juzi kama siyo 2021 ama 2022 nilikuwa likizo Arusha wamasai Arusha walikuwa wanakuja mjini na kugonga hodi kabisa kuomba chakula hiyo hali ilinitia simanzi sana kulikuwa na ukame mbaya sana mifugo ilikufa.Mwaka huu kutakua na njaa, mvua mizinguo sana
Mkuu mkulima hayupo kushinda juani na kwenye mvua akilima ili kukupatia urahisi wa maisha ww na familia yako.Wazo zuri ila umechelewa mkuu, kuna mamia ya matruck ya kizambia pale songea yanabebelea mahindi to zambia kama haya akili nzuri.
Baba yako alifanya kosa kubwa sana kutonunua condom siku mama yako anatungwa mimba na wewe ukazaliwa.It was a wastage of time and space.Tungeepuka huu ujinga ulioandika.Umemshauri vizuri. Nami pia naongezea. Wakati ambao kuna rais muislamu,hao marais wawe wanateua mawaziri wa maji ambao ni wakristu maana kiroho, roho za waislamu huwa ni kavu hazina chemchemi na roho za wakristu ni kama mto wenye chemchemi hai,mto unaotiririka. Wakristu tuna baraka za mvua na baraka nyinginezo nyingi.
Na hata sasa samia anatakiwa ambadilishe waziri wa maji aliyepo aweke mkristo, vinginevyo hali itazidi kuendelea kuwa mbaya nchi inaweza kuja kukumbwa na baa la njaa huko mbeleni.
Ya kwamba serikali iwakataze watu kuuza mazao yao?Nimepita huku Simiyu ndani ndani huku vijiji vya Gasuma, Byuna, Nkindwabiye, Halawa, Nkololo, Gibishi, Bubale na Ng'washagata kuna Scania semi trela kutoka Kenya zinasomba mahindi balaa. Wakulima hawa masikini wanauza haya mahindi wakati wakijua hali ya mavuno siyo nzuri mwaka huu. Na serikali ipo inaangalia tu. Bongo! Kichwa cha Mwendawazimu! 😭
Naunga hoja asilimia miaShauri serikali inunue mahindi, mpunga yanayowadodea wakulima na siyo kufunga mipaka. Watu tuna magunia ya mahindi, mpunga na hatuna soko wewe unaleta habari za vijiwe vya kahawa.
Huna unalolijua mkuu, hayo mahindi hauzi mkulima bali serikali.Nenda nawewe songea ukalime Ili matruck hayo yabebe nayakwako!Waziri Bashe shikilia hapohapo mpaka mkulima naye atajirike