Rais Samia funga mipaka haraka, huu ni mwaka wa ukame, hatuwezi kupiga kura na njaa tumboni

Rais Samia funga mipaka haraka, huu ni mwaka wa ukame, hatuwezi kupiga kura na njaa tumboni

Uzi huu ukipuuzwa msije sema hamkujua

Mahindi kidogo yaliyopatikana yanatoroshwa nchi jirani,mavuno hayakuwa mazuri,tutegemee njaa.

Huwezi kupiga kampeni au upige kura na njaa tumboni.
Mioaka ifungwe haraka kwa usalama wetu

Bashe yupo bize na kampeni hana habari
Mama anakula mema ya nchi hana habari.
Ninadhani umesikika. Umesomwa na umeeleweka bila shaka watatekeleza.
 
Uzi huu ukipuuzwa msije sema hamkujua

Mahindi kidogo yaliyopatikana yanatoroshwa nchi jirani,mavuno hayakuwa mazuri,tutegemee njaa.

Huwezi kupiga kampeni au upige kura na njaa tumboni.
Mioaka ifungwe haraka kwa usalama wetu

Bashe yupo bize na kampeni hana habari
Mama anakula mema ya nchi hana habari.
Huu mwaka asee sijui itakuwaje Mvua zimegoma...MUNGU asaidie March ishuke
 
Unalimia jf? Hapa natoka shambani mpitimbi
Sasa km unasema unataka shambani kwanini unasema inauza mahindi yake,serikali ni dalali wa mahindi ya wakulima,wenye mahindi ni mm na wewe unapotaka serikali ifunge mipaka hujui unajifungia mipaka mwenyewe?
 
Umelima? Au unataka waliolima waumie kwa faida yenu? Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Back
Top Bottom