Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unachukulia wakulima maana yake mataahira, hivi hicho kiburi kinatokana na niniHaya bana,utauza mahindi yote baadae ukose hata hela ya kununulia chakula familia
Ninadhani umesikika. Umesomwa na umeeleweka bila shaka watatekeleza.Uzi huu ukipuuzwa msije sema hamkujua
Mahindi kidogo yaliyopatikana yanatoroshwa nchi jirani,mavuno hayakuwa mazuri,tutegemee njaa.
Huwezi kupiga kampeni au upige kura na njaa tumboni.
Mioaka ifungwe haraka kwa usalama wetu
Bashe yupo bize na kampeni hana habari
Mama anakula mema ya nchi hana habari.
Ushauri wako hautafanyiwa kazi. Ni ushauri wa hovyo.We kenge mimi nalima japo ni kazi ya laana,sitegemei kilimo mimi sio mvivu kama wewe,huu uzi najua utafanyiwa kazI
Kwa hiyo unataka kusema serikali inauza mahindi iliyolima?wewe ndiyo unajua kuliko Mimi mkulima wa mahindi!jf ni kibokoHuna unalolijua mkuu, hayo mahindi hauzi mkulima bali serikali.
Juzi tu walikuwa wanafurahia wakulima kula hasaraNenda nawewe songea ukalime Ili matruck hayo yabebe nayakwako!Waziri Bashe shikilia hapohapo mpaka mkulima naye atajirike
Huu mwaka asee sijui itakuwaje Mvua zimegoma...MUNGU asaidie March ishukeUzi huu ukipuuzwa msije sema hamkujua
Mahindi kidogo yaliyopatikana yanatoroshwa nchi jirani,mavuno hayakuwa mazuri,tutegemee njaa.
Huwezi kupiga kampeni au upige kura na njaa tumboni.
Mioaka ifungwe haraka kwa usalama wetu
Bashe yupo bize na kampeni hana habari
Mama anakula mema ya nchi hana habari.
Kwani hao wakulima wanamiliki mahindi ya Serekali? Hapa kwetu Songea serekali yenyewe inapeleka Mahindi Z
Unalimia jf? Hapa natoka shambani mpitimbiKwa hiyo unataka kusema serikali inauza mahindi iliyolima?wewe ndiyo unajua kuliko Mimi mkulima wa mahindi!jf ni kiboko
Sasa km unasema unataka shambani kwanini unasema inauza mahindi yake,serikali ni dalali wa mahindi ya wakulima,wenye mahindi ni mm na wewe unapotaka serikali ifunge mipaka hujui unajifungia mipaka mwenyewe?Unalimia jf? Hapa natoka shambani mpitimbi
ChakubangaSongea!!
Dumla la mahindi ni 3k, na dumla la Mpunga ni 4k.
Mahesabu utapiga mwenyewee, mxxieeew