ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kama anajua Kuna njaa akalime,ndio maana nimesema wafe tuu.Mkuu upo sahihi,nilime mimi harafu mtu baki eti anasema tuzuie mahindi yasitoke nje.
Nonsense acha kuendekeza ulofa fanya kazi.
Shamba ununue wewe,wafanyakazi uwalipe wewe.
Mbolea ununuwe wewe.
Washauri wa kilimo uwalipe wewe.
Anakuja kinyangarika mtu baki ETI funga mipaka ili yeye aendelee kula bila kunawa.
Fia mbali kuliko kuendekeza uvivu wa akili na uwezo.
Wazo zuri ila umechelewa mkuu, kuna mamia ya matruck ya kizambia pale songea yanabebelea mahindi to zambia kama haya akili nzuri.Uzi huu ukipuuzwa msije sema hamkujua
Mahindi kidogo yaliyopatikana yanatoroshwa nchi jirani,mavuno hayakuwa mazuri,tutegemee njaa.
Huwezi kupiga kampeni au upige kura na njaa tumboni.
Mioaka ifungwe haraka kwa usalama wetu
Bashe yupo bize na kampeni hana hbari
Mama anakula mema ya nchi hana habari.
Kujua bei ya mazao huwa haitoshelezi taarifa kuhusu mazao. Lazima ijulikane ni wapi? Pia gharama za usafirishaji kwenye canter au fuso au semi trela scania kutoka eneo lenye mazao kama mahindi,mpunga kuelekea kwenye mikoa mingine kama Dar, Mwanza, Dodoma, Pwani n.kKuna sehemu Gunia la mahindi ni 75k hadi 90k. Mpunga gunia ni 120k
Na ni sehemu inayozalisha hayo mazao kwa wingi.
Nenda nawewe songea ukalime Ili matruck hayo yabebe nayakwako!Waziri Bashe shikilia hapohapo mpaka mkulima naye atajirikeWazo zuri ila umechelewa mkuu, kuna mamia ya matruck ya kizambia pale songea yanabebelea mahindi to zambia kama haya akili nzuri.
Ningefurahi hiyo njaa ingeanza kukuua wewe na familia yako ya wavivu. Mkulima amenyeke halafu mpuuzi kama wewe useme mipaka ifungwe? Ulishindwa nini kulima?Uzi huu ukipuuzwa msije sema hamkujua
Mahindi kidogo yaliyopatikana yanatoroshwa nchi jirani,mavuno hayakuwa mazuri,tutegemee njaa.
Huwezi kupiga kampeni au upige kura na njaa tumboni.
Mioaka ifungwe haraka kwa usalama wetu
Bashe yupo bize na kampeni hana hbari
Mama anakula mema ya nchi hana habari.
Njaa ya maana wapi wewe wakati unashinda vijiweni kupiga umbea?Mpunga gunia halijafika laki mkuu, mahindi gunia likifika 62000 hapo bado lipo chini sana,labda 115000 ndiyo juu,ila msimu huu mavuno chini,njaa ya maana
Kama Tanzania itapunguza wavivu kwa asilimia 20 tu tutakuwa viogozi kinara wa uchumi Africa Mashariki.Kama anajua Kuna njaa akalime,ndio maana nimesema wafe tuu.
Kwa hio watu walime mahindi wakivuja jasho na damu, wewe unataka ule ugali wa bei chee! wakulima waachwe wapige pesa. Kwani bei za vifaa vya ujenzi au petrol kipanda si huwa tunaachia nguvu ya soko?. Ili Tanzania iwe na wakulima serious, iachane na kuzuia usafirishaji chakula nje, kila mmoja ale eneo lake la kazi.Uzi huu ukipuuzwa msije sema hamkujua
Mahindi kidogo yaliyopatikana yanatoroshwa nchi jirani,mavuno hayakuwa mazuri,tutegemee njaa.
Huwezi kupiga kampeni au upige kura na njaa tumboni.
Mioaka ifungwe haraka kwa usalama wetu
Bashe yupo bize na kampeni hana habari
Mama anakula mema ya nchi hana habari.
Haya bana,utauza mahindi yote baadae ukose hata hela ya kununulia chakula familiaKwa hio watu walime mahindi wakivuja jasho na damu, wewe unataka ule ugali wa bei cheese! wakulima waachwe wapige pesa. Kwani bei za vifaa vya ujenzi au petrol kipanda si huwa tunaachia nguvu ya soko?. Ili Tanzania iwe na wakulima serious, iachane na kuzuia usafirishaji chakula nje, kila mmoja ale eneo lake la kazi.
Njaa haijawahi kuisha Toka kuumbwa kwa Dunia,nenda kalime ya kwakoHii ni dalili kuwa huu mwaka njaa ipo
Serikali ina magala, inunue ihifadhi kwa tahadhariHaya bana,utauza mahindi yote baadae ukose hata hela ya kununulia chakula familia
Huu ni muda wa kila mmoja kukununua vyakula yaani chakula kinachouzwa mbeya, songea, morogoro na mikoa mingine mtu kujinunulia aweke kinachomtosha ndani hawezi mpaka asaidiwe na usalama wa taifa?Mimi niliwahi kuandika Mahali, Nchi hii Tatizo kuu ni Usalama wa Taifa.
Huko Jirani wanaonunua Mahindi, hao wafanyabiashara Wana backup kubwa ya Vyombo vyao vya Usalama kujihakikishia Usalama wa Chakula nchini mwao.
Ni mpaka uwe na akili ndio unaweza kuona hatari kama hizi.
Wakulima Kwa Sasa wanalipa Mvua zimegoma.
Peleka uongo wako hukoooKuna sehemu Gunia la mahindi ni 75k hadi 90k. Mpunga gunia ni 120k
Na ni sehemu inayozalisha hayo mazao kwa wingi.
We kenge mimi nalima japo ni kazi ya laana,sitegemei kilimo mimi sio mvivu kama wewe,huu uzi najua utafanyiwa kazINingefurahi hiyo njaa ingeanza kukuua wewe na familia yako ya wavivu. Mkulima amenyeke halafu mpuuzi kama wewe useme mipaka ifungwe? Ulishindwa nini kulima?
Mkoa gani wanavuna sasa hivi? naona nimeachwa hapa.Kumbuka huu ni msimu wa mavyno wewe sema yko wapi na mahindi bei gani huko.mwaka jana muda huu gunia 35000
Tunalinda Viongozi na Chama inatosha.Mimi niliwahi kuandika Mahali, Nchi hii Tatizo kuu ni Usalama wa Taifa.
Huko Jirani wanaonunua Mahindi, hao wafanyabiashara Wana backup kubwa ya Vyombo vyao vya Usalama kujihakikishia Usalama wa Chakula nchini mwao.
Ni mpaka uwe na akili ndio unaweza kuona hatari kama hizi.
Wakulima Kwa Sasa wanalipa Mvua zimegoma.