Rais Samia futa umaskini Tanzania kwa mapinduzi makubwa ya kilimo. Unaweza

Rais Samia futa umaskini Tanzania kwa mapinduzi makubwa ya kilimo. Unaweza

mwanamichakato

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
1,188
Reaction score
1,090
Pongezi kwako Mh Rais wetu kwa mageuzi yenye tija ktk nyanja kadhaa.
Maendeleo ni mchakato endelevu na wenye kuhitaji dira imara na maamuzi thabiti ya kimapinduzi.

Tunajenga miundombinu (Barabara,Viwanja vya ndege, Bandari, Vyuo, mifumo ya umwagiliaji,usambazaji maji na kadhalika gharama kubwa zinatumika kugaramia ujenzi husika lengo likiwa kuchochea maendeleo ya wananchi wetu na taifa kwa ujumla.

Nadhani tuangalie uwezekano wa serikali kuwekeza zaidi kwenye kilimo kwa malengo ya kuhakikisha nchi ikijitegemea ndani ya miaka 5 ijayo na kuepuka kuagiza chakula ,Mafuta, Sukari na bidhaa zingine mtambuka..

Uwekezaji husika ufanywe kwa ubia kati ya taasisi za umma+sekta binafsi ()..Mathalani tuna wakulima wamethubutu kulima ekari 500,1000,5000 hawa wapewe mitaji ya kimkakati (utaalamu ,mitambo na fedha ). Wawezeshwe wakulima waliopo field tayari sio vijana waliokosa dira kimaisha na wenye tamaa ya kutajirika ndani ya muda mfupi.

Mantiki ya uwekezaji sawia ktk kilimo ni kuchochea uanzishwaji wa karakana na viwanda vidogo na vya kazi.

Kilimo ni sekta chochezi ktk kuamka ,ubunifu na uanzishwaji viwanda duniani kote..Mapinduzi ya kilimo ndio chimbuko la mapinduzi ya viwanda (Ufaransa, Ujerumani, Urusi, India, China, Marekani n.k)..

Pende mapinduzi ya kilimo kuna matumizi yakinifu ya miundombinu. Hatupaswi kugharamia (Tilioni zote) ujenzi wa miundombinu kama SGR kwa ajili ya Rwanda, Burundi, Congo au Uganda. Focus iwe mapinduzi ya kiuchumi ndani ya nchi yetu. Majirani iwe plus..Kilimo kikubwa Kagera, Mwanza, Kigoma, Shinyanga, Tabora, Dodoma, Simiyu, Morogoro N.K..

Kilimo chenye kulenga kulisha dunia kama ilivyo Ukraine (Kabla ya Vita). Tuweke kusudio la kuwa Ukraine ya Africa.

Uzalishaji mkubwa na wa kisasa.

Sambamba na hili vyuo vya kilimo viongezwe, Mafunzo maalumu ya JKT na mengineo yaweke mkazo na msisitizo ktk kukuza wajasiliamali wa kilimo..

Unaweza,Tunaweza

Pamoja tuijenge Tanzania ya thamani
 
makini sana.

mikakati ya kilimo ni mingi kilimo kwanza,kilimo uti wa mgongo,uchumi wa kijani na sasa waziri Bashe anagawa vitalu,ila bado kama kuna mkwamo wa kufikia mapinduzi makubwa ya kilimo Tanzania.

mvua zikikata mwaka mmoja au miwili tunalia njaa,,shida nini wakuu?
 
Pongezi kwako Mh Rais wetu kwa mageuzi yenye tija ktk nyanja kadhaa.
Maendeleo ni mchakato endelevu na wenye kuhitaji dira imara na maamuzi thabiti ya kimapinduzi.

Tunajenga miundombinu (Barabara,Viwanja vya ndege, Bandari, Vyuo, mifumo ya umwagiliaji,usambazaji maji na kadhalika gharama kubwa zinatumika kugaramia ujenzi husika lengo likiwa kuchochea maendeleo ya wananchi wetu na taifa kwa ujumla.

Nadhani tuangalie uwezekano wa serikali kuwekeza zaidi kwenye kilimo kwa malengo ya kuhakikisha nchi ikijitegemea ndani ya miaka 5 ijayo na kuepuka kuagiza chakula ,Mafuta, Sukari na bidhaa zingine mtambuka..

Uwekezaji husika ufanywe kwa ubia kati ya taasisi za umma+sekta binafsi ()..Mathalani tuna wakulima wamethubutu kulima ekari 500,1000,5000 hawa wapewe mitaji ya kimkakati (utaalamu ,mitambo na fedha ). Wawezeshwe wakulima waliopo field tayari sio vijana waliokosa dira kimaisha na wenye tamaa ya kutajirika ndani ya muda mfupi.

Mantiki ya uwekezaji sawia ktk kilimo ni kuchochea uanzishwaji wa karakana na viwanda vidogo na vya kazi.

Kilimo ni sekta chochezi ktk kuamka ,ubunifu na uanzishwaji viwanda duniani kote..Mapinduzi ya kilimo ndio chimbuko la mapinduzi ya viwanda (Ufaransa, Ujerumani, Urusi, India, China, Marekani n.k)..

Pende mapinduzi ya kilimo kuna matumizi yakinifu ya miundombinu. Hatupaswi kugharamia (Tilioni zote) ujenzi wa miundombinu kama SGR kwa ajili ya Rwanda, Burundi, Congo au Uganda. Focus iwe mapinduzi ya kiuchumi ndani ya nchi yetu. Majirani iwe plus..Kilimo kikubwa Kagera, Mwanza, Kigoma, Shinyanga, Tabora, Dodoma, Simiyu, Morogoro N.K..

Kilimo chenye kulenga kulisha dunia kama ilivyo Ukraine (Kabla ya Vita). Tuweke kusudio la kuwa Ukraine ya Africa.

Uzalishaji mkubwa na wa kisasa.

Sambamba na hili vyuo vya kilimo viongezwe, Mafunzo maalumu ya JKT na mengineo yaweke mkazo na msisitizo ktk kukuza wajasiliamali wa kilimo..

Unaweza,Tunaweza

Pamoja tuijenge Tanzania ya thamani
Hawa vijana kwenye BBT hawana hii sifa..
 

Attachments

  • Screenshot_20230527-192051_Chrome.jpg
    Screenshot_20230527-192051_Chrome.jpg
    38.7 KB · Views: 4
Pongezi kwako Mh Rais wetu kwa mageuzi yenye tija ktk nyanja kadhaa.
Maendeleo ni mchakato endelevu na wenye kuhitaji dira imara na maamuzi thabiti ya kimapinduzi.

Tunajenga miundombinu (Barabara,Viwanja vya ndege, Bandari, Vyuo, mifumo ya umwagiliaji,usambazaji maji na kadhalika gharama kubwa zinatumika kugaramia ujenzi husika lengo likiwa kuchochea maendeleo ya wananchi wetu na taifa kwa ujumla.

Nadhani tuangalie uwezekano wa serikali kuwekeza zaidi kwenye kilimo kwa malengo ya kuhakikisha nchi ikijitegemea ndani ya miaka 5 ijayo na kuepuka kuagiza chakula ,Mafuta, Sukari na bidhaa zingine mtambuka..

Uwekezaji husika ufanywe kwa ubia kati ya taasisi za umma+sekta binafsi ()..Mathalani tuna wakulima wamethubutu kulima ekari 500,1000,5000 hawa wapewe mitaji ya kimkakati (utaalamu ,mitambo na fedha ). Wawezeshwe wakulima waliopo field tayari sio vijana waliokosa dira kimaisha na wenye tamaa ya kutajirika ndani ya muda mfupi.

Mantiki ya uwekezaji sawia ktk kilimo ni kuchochea uanzishwaji wa karakana na viwanda vidogo na vya kazi.

Kilimo ni sekta chochezi ktk kuamka ,ubunifu na uanzishwaji viwanda duniani kote..Mapinduzi ya kilimo ndio chimbuko la mapinduzi ya viwanda (Ufaransa, Ujerumani, Urusi, India, China, Marekani n.k)..

Pende mapinduzi ya kilimo kuna matumizi yakinifu ya miundombinu. Hatupaswi kugharamia (Tilioni zote) ujenzi wa miundombinu kama SGR kwa ajili ya Rwanda, Burundi, Congo au Uganda. Focus iwe mapinduzi ya kiuchumi ndani ya nchi yetu. Majirani iwe plus..Kilimo kikubwa Kagera, Mwanza, Kigoma, Shinyanga, Tabora, Dodoma, Simiyu, Morogoro N.K..

Kilimo chenye kulenga kulisha dunia kama ilivyo Ukraine (Kabla ya Vita). Tuweke kusudio la kuwa Ukraine ya Africa.

Uzalishaji mkubwa na wa kisasa.

Sambamba na hili vyuo vya kilimo viongezwe, Mafunzo maalumu ya JKT na mengineo yaweke mkazo na msisitizo ktk kukuza wajasiliamali wa kilimo..

Unaweza,Tunaweza

Pamoja tuijenge Tanzania ya thamani
Hawezi.
 
makini sana.

mikakati ya kilimo ni mingi kilimo kwanza,kilimo uti wa mgongo,uchumi wa kijani na sasa waziri Bashe anagawa vitalu,ila bado kama kuna mkwamo wa kufikia mapinduzi makubwa ya kilimo Tanzania.

mvua zikikata mwaka mmoja au miwili tunalia njaa,,shida nini wakuu?
Naunga mkono hoja ya kuendeleza kilimo naamini ni njia ya kulikwamua TAIFA utegemezi.
Nianze na TAIFA Kwa maana ya watu wa TAIFA hili jinsi wslivyo na utegemezi wa kuajiriwa.
ni Aina mbaya Sana ya misimamo matokeo yake ni kulalama hakuna ajira.
Utegemezi wa mvua Nao si mzuri kuwa na kilimo cha kubahatidha hatuta kutegemea.
Makonda pump imekuja na suluhisho.
Tembelea hapo
 
makini sana.

mikakati ya kilimo ni mingi kilimo kwanza,kilimo uti wa mgongo,uchumi wa kijani na sasa waziri Bashe anagawa vitalu,ila bado kama kuna mkwamo wa kufikia mapinduzi makubwa ya kilimo Tanzania.

mvua zikikata mwaka mmoja au miwili tunalia njaa,,shida nini wakuu?
Tatizo ufisadi,watu wanajitengea billion 47 kama posho huu ni uhuni
Vijana hawatak kulima
 
Pongezi kwako Mh Rais wetu kwa mageuzi yenye tija ktk nyanja kadhaa.
Maendeleo ni mchakato endelevu na wenye kuhitaji dira imara na maamuzi thabiti ya kimapinduzi.

Tunajenga miundombinu (Barabara,Viwanja vya ndege, Bandari, Vyuo, mifumo ya umwagiliaji,usambazaji maji na kadhalika gharama kubwa zinatumika kugaramia ujenzi husika lengo likiwa kuchochea maendeleo ya wananchi wetu na taifa kwa ujumla.

Nadhani tuangalie uwezekano wa serikali kuwekeza zaidi kwenye kilimo kwa malengo ya kuhakikisha nchi ikijitegemea ndani ya miaka 5 ijayo na kuepuka kuagiza chakula ,Mafuta, Sukari na bidhaa zingine mtambuka..

Uwekezaji husika ufanywe kwa ubia kati ya taasisi za umma+sekta binafsi ()..Mathalani tuna wakulima wamethubutu kulima ekari 500,1000,5000 hawa wapewe mitaji ya kimkakati (utaalamu ,mitambo na fedha ). Wawezeshwe wakulima waliopo field tayari sio vijana waliokosa dira kimaisha na wenye tamaa ya kutajirika ndani ya muda mfupi.

Mantiki ya uwekezaji sawia ktk kilimo ni kuchochea uanzishwaji wa karakana na viwanda vidogo na vya kazi.

Kilimo ni sekta chochezi ktk kuamka ,ubunifu na uanzishwaji viwanda duniani kote..Mapinduzi ya kilimo ndio chimbuko la mapinduzi ya viwanda (Ufaransa, Ujerumani, Urusi, India, China, Marekani n.k)..

Pende mapinduzi ya kilimo kuna matumizi yakinifu ya miundombinu. Hatupaswi kugharamia (Tilioni zote) ujenzi wa miundombinu kama SGR kwa ajili ya Rwanda, Burundi, Congo au Uganda. Focus iwe mapinduzi ya kiuchumi ndani ya nchi yetu. Majirani iwe plus..Kilimo kikubwa Kagera, Mwanza, Kigoma, Shinyanga, Tabora, Dodoma, Simiyu, Morogoro N.K..

Kilimo chenye kulenga kulisha dunia kama ilivyo Ukraine (Kabla ya Vita). Tuweke kusudio la kuwa Ukraine ya Africa.

Uzalishaji mkubwa na wa kisasa.

Sambamba na hili vyuo vya kilimo viongezwe, Mafunzo maalumu ya JKT na mengineo yaweke mkazo na msisitizo ktk kukuza wajasiliamali wa kilimo..

Unaweza,Tunaweza

Pamoja tuijenge Tanzania ya thamani
CCM chini ya SAMIA Haina ubavu wa KUFUTA UMASIKINI Bila Mabadiliko WAKULIMA Mtaendelea kulima kwa JEMBE la MKONO mpaka MTEGUKE UTI wa MGONGO
 
Nchi ikiwekeza kwenye kilimo

Kwa nguvu zote basi tushatusua

Ova
 
Back
Top Bottom