Rais Samia Gumzo Barani Afrika. Awa Kama chemchemi ya Maji Isiyokauka Midomoni Mwa Watu

Hi
inchi hii uchawa utaisha kweli?. Ni tatizo la kudumu, Mungu atusaidie sana kwa kweli, tujitambue watz
 
Unabubujikwa na machozi ukiwa unalima mpunga wapi? Uporoto viazi,mbalizi maharage, swaya ulezi au mbalali mpunga huko.
 
Punguza bangi
 
Astaghaafirurah!!!
Yeye mwenyewe aliposoma huu uzi wako alikucheka kwa jinsi unavyohorojoka uongo kupita kiasi.
 
m66 wapo mpakani hapo, mnayo hiyo habari lkn? dunia nzima wanajua na wanajadili ila ninyi tu ndo bado mnatumbua raha wakati maji yanajaa kwenye chombo polepole …
 
Nauliza kuna chuo kinatoa kozi ya uchawa? Nataka nikasomee niwe mbobezi kabisa
 
chi chemi ya bubujiko 🤣
 
Hapo umetumia akili zako zote au kuna nyingine umebakiza?
 
Hawajabubujikwa na machozi ya nishati?? ??
 
🚮 🚮 🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…