Rais Samia Gumzo Barani Afrika. Awa Kama chemchemi ya Maji Isiyokauka Midomoni Mwa Watu

Sijui kateuliwa nafasi gani? Kwani Rais haoni anachofanya huyu bwana? Au anayoyafanya humu ndio ajira yake? Kweli, kuwa chawa lazima uwe hamnazo!
Acha tu ndugu yng,kama nchi bado tuna safari ndefu mno
 
MM Samia ni shujaa wa kitu gani jamani, kwa ajali Tz ilopata 2021...! 66yr + 5 = 71yrs na nchi iongozwe na mm wa umri huo? Si mnamchosha tu mm wa watu. Nyerere alingatuka akiwa na miaka 63, Kikwete 65, Mkapa 66, Mwnyi 70. Magufuli naye angeondoka na 66yrs by 2025. Kila la kheri mm...
 
Wa kumshangaa ni aliyekuteua kuwa msemaji wa mungu. Hebu tueleze pia ni kwanini huyo mungu aliyempa kibali SSH akaongoza nchi kwa ufanisi unaoushadidia anaangalia tu kinachoendelea huko DRC pasipokuchukua hatua ilhali uwezo (na labda nia) anao.
Kwani Mama yetu Mpendwa ni Rais wa Congo Tangia lini? Au umechangayikiwa?
 
Waziri wa fedha wa Marekani anatumia public transport lakini DC wa Ikungi ana msafara wa magari kumi kwenda kukagua choo cha shule, akili za kipumbavu sn
Ni ujinga wa hali ya juu sana, choo kinachokaguliwa thamani milioni tatu, msafara wake thamani yake ni milioni ishirini! Naye anajiona ana akili timamu kabisa!!!
 
Ni ujinga wa hali ya juu sana, choo kinachokaguliwa thamani milioni tatu, msafara wake thamani yake ni milioni ishirini! Naye anajiona ana akili timamu kabisa!!!
Akili kama ya Lucas Mwashambwa unategemea nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…