Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 775
- 1,150
Bei za wazalishaji wa ndani kwa wateja wao zipo juu sana,acha tu sukari iingie toka Uganda na wengineo karibuni sana,acha soko liamue sukari iuzwe kwa Tsh. ngapi badala ya hali ya sasa ilivyo,nawapenda sana Watanzania kuliko hata Tanzanzia yenyewe.Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani