Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Rais Samia: Haikuwa na maana kuchoma vifaranga wa kuku mpakani

Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Mkuu roho mbaya tunapoelekea ukiendekeza kulinda bidhaa za ndani wakati wenzako wanaruhusu ushindani mtajikuta mna bidhaa nyingi za ndani zisizo na maana.
 
Chief Hangaya ni muhuni tu. Hata kuongoza SACCOS hawezi yule.

Huwezi kuongoza nchi kwa kudekezana. Lazima waovu waumie ili nchi isonge.

Ukiruhusu biashara haramu na za kinyemela unaua nchi. Watakushika makalio na watazoea.

Nchi inaongozwa kwa maamuzi magumu kama ikihitajika, na sio kwa urojo na kupeti peti MAJIZI na wahalifu.
Nasikia amemwambia Waziri wake wakilimo kuwa kutotoa vibari vya kuagiza sukari nje ni Nonsense.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kongamano la biashara lililofanyika Ikulu jijini Dar es salaam ambalo limehusisha viongozi wawili wakubwa ambao ni Rais wa Uganda Yoweri Museveni na Rais wa Tanzania Samia Hassan Suluhu, Rais wa Tanzania Samia Suluhu amesema kwamba hakukuwa na haja ya kuchoma vifaranga waliokamatwa nchini Tanzania kutoka nchi jirani. Amesema pia kuna kipindi ilitokea pia Sukari kutoka nchi ya Uganda iligomewa na wafanya biashara kutoka Tanzania, hivyo amemueleza Rais Museven kwamba hivi sasa Sukari kutoka Uganda itanunuliwa na wafanyabiashara wa Tanzania!
Amehimiza pia kwamba vikwazo vya kibiashara kati ya nchi hizi mbili viondolewe!
Hayo yamesemwa wakati Kongamano hilo likifungwa.

kuchoma vifaranga wa kuku mpakani, Samia Suluhu ulikuwa wapi wakati huo?​

 
Nasikia amemwambia Waziri wake wakilimo kuwa kutotoa vibari vya kuagiza sukari nje ni Nonsense.

Sent using Jamii Forums mobile app
Chief Hangaya ni "mjinga wa kiuchumi" . She is an ignoramus when it comes to economy.

Nchi zote zilizoendelea kiuchumi lazima zinazingatia ulinzi wa bidhaa za ndani.

Because otherwise you are going to be a dumping site. Bidhaa za ndani zitakufa na zitashuka thamani. Unaua uchumi wa wafanyabiashara.

Sijui kala maharage ya wapi huyu bibi! Mhhh!
 
Chief Hangaya ni "mjinga wa kiuchumi" . She is an ignoramus when it comes to economy.

Nchi zote zilizoendelea kiuchumi lazima zinazingatia ulinzi wa bidhaa za ndani.

Because otherwise you are going to be a dumping site. Bidhaa za ndani zitakufa na zitashuka thamani. Unaua uchumi wa wafanyabiashara.

Sijui kala maharage ya wapi huyu bibi! Mhhh!
Ndugu:

Theory za uchumi hazipo fixed vizazi na vizazi, sisi elimu yetu ya uchumi ndo ilele ile ya zama za uanzishwaji wa viwanda ila ukirudi katika uhalisia dunia haitusubiri na sisi tupite stage walizopita wenzetu. Lazima tuwe na akili badala ya kukariri njia walizopita wengine.

Kwanini tusitumie nguvu kuhimiza kukuza ushindani kwa kutengeneza bidhaa bora kuliko za nje tukauza ndani na nje? Kwani hao wanatuletea bidhaa wao wanatumia bidhaa zipi huko kwao? Za kwetu zikienda huko watachukua zetu ama zao? Kwanini sisi tunapendelea zao kuliko za ndani?

Tukishamaliza kutunza viwanda vya ndani kwa kutokuruhusu ushindani kwa kufungua mipaka, ukichungulia duniani ukidhani sasa unajimudu unawakuta wenzako wapo mbali zaidi unarudi tena unajifungia kulinda viwanda uwafikie circle inaendelea umasikini unaendelea.
 
Yani kuna Watu wana roho kutu ya mauaji kuanzia kwa binadamu wenzao mpaka kwa ndege.
Ahimidiwe Mungu bwana wa Majeshi
 
Daah! wale vifaranga walivyochomwa tukaambiwa eti wanamagonjwa, kumbe ilikuwa roho mbaya ya Bwana yule. Taratiiibu ukweli wa yaliyofichwa unaanza kuwekwa wazi! Soon hata wale wasiojulikana wanaojulikana maza atawasema siku moja mchana kweupe!
Unajua sheria za kuingiza vitu kma hivyo kwa magendo???
 
Bei za wazalishaji wa ndani kwa wateja wao zipo juu sana,acha tu sukari iingie toka Uganda na wengineo karibuni sana,acha soko liamue sukari iuzwe kwa Tsh. ngapi badala ya hali ya sasa ilivyo,nawapenda sana Watanzania kuliko hata Tanzanzia yenyewe.
Sawa soko litaamua, lakini viwanda vya ndani vikifa hatupotezi viwanda tu tunapoteza vitu vingi
 
Unajua sheria za kuingiza vitu kma hivyo kwa magendo???

Zinasema vifaranga vikikamatwa vichomwe?
Ng'ombe na mbuzi zikikamatwa zinachomwa...!?
Btw hebu leta section ya kifungu cha sheria inayoelezea vitu vya namna hiyo vikikamatwa kimagendo vinafanywaje ili uhitimishe unachotaka kusema!
 
Bei za wazalishaji wa ndani kwa wateja wao zipo juu sana,acha tu sukari iingie toka Uganda na wengineo karibuni sana,acha soko liamue sukari iuzwe kwa Tsh. ngapi badala ya hali ya sasa ilivyo,nawapenda sana Watanzania kuliko hata Tanzanzia yenyewe.
Kaka umeongea point kubwa sana wazalishaji wa ndani wanatukamua kwelikweli ndo maana wanaogopa competition ila sasa wajipange waache mazoea( monopoly ) soko lenyewe liamue huku serikalii ijipange kudhibiti magendo
 
Back
Top Bottom