Puna
JF-Expert Member
- Oct 9, 2013
- 2,551
- 4,454
Kama itauzwa sh 1500 hivyo viwanda ni Bora vife.Nyie wafanyabiashara wa bongo mipaka ikifungwa mnageuka mashine ya kukamulia miwa.Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani