chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
duuh!,yeye na mwenzake hakuna tofauti,Kama anamuona mwenzie alikosea ,hata yy amekosea pia,kumkandia mtu ambaye ni hayati ni roho mbaya tu inamsumbua!! Wanaomuandalia hotuba wanamuuza Sana mchana kweupe!!