Panctuality
JF-Expert Member
- Jun 11, 2019
- 775
- 1,150
Bei za wazalishaji wa ndani kwa wateja wao zipo juu sana,acha tu sukari iingie toka Uganda na wengineo karibuni sana,acha soko liamue sukari iuzwe kwa Tsh. ngapi badala ya hali ya sasa ilivyo,nawapenda sana Watanzania kuliko hata Tanzanzia yenyewe.Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Kafa kwa corona,msisumbue watu hapa.Atuambie pia nani alimuua Rais Magufuli.
kwa usanii wa sisi watz acha vife tuu! sisi WATANZANIA SIO WAAMINIFU!! usanii usanii kila sehemu , kila tunachotengeneza n feki! acha vife tuu!Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Nyie MAJIZI mmemuua. Tunajua.Kafa kwa corona,msisumbue watu hapa.
Huwezi waza ya mbele bila kuwa na reference ya yaliyo pita. Na ndio maana hata ukiomba kazi wanaanza kukuuliza ulipo soma, ulipo zaliwa nk nk.Lengo ni nini?
Kuonekana mwema?
Kwanini asi focus kwa yajayo na achane na ndwele zilizopita.
Chief Hangaya ni muhuni tu. Hata kuongoza SACCOS hawezi yule.Lengo ni nini?
Kuonekana mwema?
Kwanini asi focus kwa yajayo na achane na ndwele zilizopita.
KUNA VIWANDA GANI BONGO VYA KUVILINDA?Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Hangaya ni msanii tu wala hajui lolote kuhusu uchumi.Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Haaa sisi tunataka ahueni ya maisha wakibana vitu visiingiie wazalishaji wa ndani wanashindwa tosheleza soko vitu vinapaa bei haishikiki au umesahau kipindi sukari ni adimu.Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Huko hakuna amani kwa mtu aliyekataa kuwa na amani na wengine.Rest in peace Magufuli.
Mbona hatukamatwi?Nyie MAJIZI mmemuua. Tunajua.
Huwezi kutazama yajayo bila kutazama yaliyopita na ya Sasa ili ujue ulipokosea.Lengo ni nini?
Kuonekana mwema?
Kwanini asi focus kwa yajayo na achane na ndwele zilizopita.
Mnakamatwaje wakati nyie MAJIZI ndio mlioshika serikali? We ulisikia wapi JIZI linajikamata?Mbona hatukamatwi?
Viwanda vya NDANI viongeze ufanisi ili kupunguza gharama waweze kucompete! Kulinda viwanda vya NDANI kwa gharama ya kuwauwa Walala hoi haikubaliki na siyo haki!Utalindaje wazalishaji wa ndani, bei za bidhaa nchi jirani ziko chini na mipaka ya nchi ipo wazi kila pembe kupitisha magendo, Tunaenda kuua viwanda vya ndani
Acha wivu zamu yenu imepitaMnakamatwaje wakati nyie MAJIZI ndio mlioshika serikali? We ulisikia wapi JIZI linajikamata?
Halafu pia tutajifukizaje wakati kuna magunia ya dozi za chanjo zilizokuja na dollars!
Chezea dollars wewe! MAJIZI mnafakamia pesa za mzungu bila kunawa!
Wagonjwa wa corona wamefika wangapi sasa hivi? Laki ngapi?
Nasikia pia makaburi yamepanuka? Mnapanua viwanja vya makaburi ya wafu wa corona?