Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka Akamue beberu ana maziwa??Kwanza kabisa nakupongeza kwa ukipofikia. 1. Kwenye chanjo
2. Kwenye Makato ya Kodi
Tanzania ilipokuwa imefikia ilikuwa ni pabaya sana. Watu waliaminishwa ujinga na wakaendelea kuishi kwenye ujinga. Tumepoteza watu wengi sana kutokana na kuaminishwa kuwa Tiba asili inatibu Corona badala ya njia za kisayansi. Mimi Pia nilipoteza rafiki yangu.
1. Kwenye Chanjo
Hapa usibadili msimamo. Aliyepita alidharau huu ugonjwa na kwa Kweli hata yeye mwenyewe ulimwondoa. Umeondoa wasaidizi wake na wananchi wengi Pia. Ni bora umeruhusu chanjo. Watu wachomwe wanaotaka na wasiotaka waachwe corona ideal nao. Mfano wa nchi zilizochukulia serious huu ugonjwa upo na sasa wameweza kuudhibiti na sasa wamerejea kwenye maisha yao na kuepusha vifo na kupoteza nguvu kazi
2. Kwenye Tozo
Hapa wala usirudi nyuma. Aliyepita hakupandisha wafanyakazi madaraja, hakuongeza mishahara. Wewe umepandisha wafanyakazi madaraja jambo lililosababisha mishahara yao kuongezeka. Aliyepita alikusanya kodi kwa nguvu na kukopa sana Hadi akawazidi maraisi wote kwa kukopa. Wewe hutaki kodi ya dhuruma na Pia unataka kupunguza kukopa sana.
Wewe unataka kufanya miradi kwa pesa za ndani kweli na sio kuwahadaa wananchi unafanya miradi kwa pesa za ndani kumbe unakopa sana na kuhatarisha uchumi kwa kuongeza deni la taifa.
Tunahitaji miradi ya kimkakati. Maji yawepo kwa wananchi wote, barabara za lami vijijini na mijini na Pia miradi mikubwa iliyoanza kukamilika.
Kwa malengo haya Mama Samia usirudi Nyuma. Zaidi naomba tu haya pia yafanyike
1. Wabunge nao waanze kutozwa kodi
2. Wale wote wasiotozwa kodi( Hasa kwenye utumishi) nao waanze kutozwa kodi.
Mama Samia, China unayoiona Leo ni kutokana na maamuzi magumu kwenye maendeleo yaliyofanywa na Mao Zedong na Deng Xiaoping.
Ulaya unayoiona Leo kuna kodi kwenye kila kitu na wananchi wanalipa Kweli.
Rais Samia namaliza kwa kukwambia, usife moyo wala usirudi nyuma. Hayo ndo maamuzi magumu.
Wasukuma na ngombe zao zilizozagaa nchi nzima nao walipie kodi , hiyo ni biashara kama ilivyo kwa uchoji wa duka la spea.Hatupingi kulipa kodi, tunapinga kutozwa kodi mara tatu ya mwanzo.
Pia tunashangazwa na kauli zao eti Tanzania ni Tajiri wakati kila kukicha ni kubinya kidogo cha wanyonge
Marehemu alikuwa na kiburi cha kufaBora umemwambia kwenye chanjo akifuata ujinga wa marehemu tumekwisha.
Anakamuliwa mbuzi jike na maziwa yatapatikana tuUnataka Akamue beberu ana maziwa??
Hataacha kupiga kelele na hata ukamueje maziwa hutapata!
MH.RAIS SSH SIMAMIA HAPOHAPO
HII NCHI UKIWASIKILIZA "SANA" WATU HAITOENDA
#KaziIendelee
#JMTMilele
Hili nalo la kuwekewa mkakatiWasukuma na ngombe zao zilizozagaa nchi nzima nao walipie kodi , hiyo ni biashara kama ilivyo kwa uchoji wa duka la spea.
Leo mama kawachapa Za uso Fc LumumbaHapo ikulu leo kazi iendelee imebuma. Endeleeni kumpotosha msio mtakia mema Mama Mh Rais.
Sukuma peoplr leo wanalala na viatuHakuna maamuzi muhimu sikuzote kama maamuzi magumu.. Kwenye Tozo arekebishe kidogo na kwenye chanjo hoja yako ina mashiko.. ila ishu za ubadhilifu, ufisadi , rushwa na Katiba Mpya pia azishughulikie maana tunataka kodi zetu zitumike kihalali, sio kunufaisha watu wachache wenye mlengo flani wa kisiasa.. NB: Punguza kisebengo na kiherehere
Safi kabisa. China wamechanja watu kibao.....nilipenda chanjo yao pia.Hujui China wamefanikiwa kuicontrol baada ya kuchanja watu wengi??
hujui Taiwan, Singapore, Israel nao wamefanikiwa baada ya kuchanja watu wao wengi sana??? Sasa hivi wana cases chache sana ambazo zote zinahimilika!
Hahaha unawaamini wachina wewe? Seychelles si ndo ilikuwa inaongoza kwa kuchanjwa ulisikia mlipuko uliotokea?Hujui China wamefanikiwa kuicontrol baada ya kuchanja watu wengi??
hujui Taiwan, Singapore, Israel nao wamefanikiwa baada ya kuchanja watu wao wengi sana??? Sasa hivi wana cases chache sana ambazo zote zinahimilika!
Leo mama kawachapa Za uso Fc Lumumba
Wapi alisema mikopo? Alisema misaada inayohusiana na coronaHoja yako ya pili unasema mama hataki mikopo wakati amewaapisha watu na amewahimiza waombe mikopo huko wanakoenda????
Kwani Seychelles walichanjwa wote?Hahaha unawaamini wachina wewe? Seychelles si ndo ilikuwa inaongoza kwa kuchanjwa ulisikia mlipuko uliotokea?