Rais Samia hakuna kurudi nyuma. Simamia hapo hapo, Hii nchi ukiwasikiliza watu haitaenda

Rais Samia hakuna kurudi nyuma. Simamia hapo hapo, Hii nchi ukiwasikiliza watu haitaenda

Ujumbe wa Rais Uhuru Kenyatta kwetu watanzania.


Nimepokea kwa Mshtuko mkubwa taarifa za Mh. Freeman Mbowe kua Gaidi, nimemfahamu Freeman miaka mingi tangu enzi za Baba yake Aikael Mbowe akiwa rafiki wa Baba yangu. Sisi wakenya tulipata shida baada ya Alshabab kuvuruga nchi yetu, Nashangaa Leo watanzania wanaharibu Amani Yao kwa kumwita Mh. Freeman Mbowe ni Gaidi, baada tu ya kudai Katiba Mpya. tegemeeni kupoteza wawekezaji wengi kuanzia sasa. Uhuru Kenyatta
 
Ujumbe wa Rais Uhuru Kenyatta kwetu watanzania.


Nimepokea kwa Mshtuko mkubwa taarifa za Mh. Freeman Mbowe kua Gaidi, nimemfahamu Freeman miaka mingi tangu enzi za Baba yake Aikael Mbowe akiwa rafiki wa Baba yangu. Sisi wakenya tulipata shida baada ya Alshabab kuvuruga nchi yetu, Nashangaa Leo watanzania wanaharibu Amani Yao kwa kumwita Mh. Freeman Mbowe ni Gaidi, baada tu ya kudai Katiba Mpya. tegemeeni kupoteza wawekezaji wengi kuanzia sasa. Uhuru Kenyatta
Uhuru gani kaongea hayo? Raisi wa Kenya Au wa Buguruni kwenu?
 
Kwanza kabisa nakupongeza kwa ukipofikia. 1. Kwenye chanjo
2. Kwenye Makato ya Kodi

Tanzania ilipokuwa imefikia ilikuwa ni pabaya sana. Watu waliaminishwa ujinga na wakaendelea kuishi kwenye ujinga. Tumepoteza watu wengi sana kutokana na kuaminishwa kuwa Tiba asili inatibu Corona badala ya njia za kisayansi. Mimi Pia nilipoteza rafiki yangu.

1. Kwenye Chanjo
Hapa usibadili msimamo. Aliyepita alidharau huu ugonjwa na kwa Kweli hata yeye mwenyewe ulimwondoa. Umeondoa wasaidizi wake na wananchi wengi Pia. Ni bora umeruhusu chanjo. Watu wachomwe wanaotaka na wasiotaka waachwe corona ideal nao. Mfano wa nchi zilizochukulia serious huu ugonjwa upo na sasa wameweza kuudhibiti na sasa wamerejea kwenye maisha yao na kuepusha vifo na kupoteza nguvu kazi

2. Kwenye Tozo
Hapa wala usirudi nyuma. Aliyepita hakupandisha wafanyakazi madaraja, hakuongeza mishahara. Wewe umepandisha wafanyakazi madaraja jambo lililosababisha mishahara yao kuongezeka. Aliyepita alikusanya kodi kwa nguvu na kukopa sana Hadi akawazidi maraisi wote kwa kukopa. Wewe hutaki kodi ya dhuruma na Pia unataka kupunguza kukopa sana.
Wewe unataka kufanya miradi kwa pesa za ndani kweli na sio kuwahadaa wananchi unafanya miradi kwa pesa za ndani kumbe unakopa sana na kuhatarisha uchumi kwa kuongeza deni la taifa.

Tunahitaji miradi ya kimkakati. Maji yawepo kwa wananchi wote, barabara za lami vijijini na mijini na Pia miradi mikubwa iliyoanza kukamilika.

Kwa malengo haya Mama Samia usirudi Nyuma. Zaidi naomba tu haya pia yafanyike

1. Wabunge nao waanze kutozwa kodi

2. Wale wote wasiotozwa kodi( Hasa kwenye utumishi) nao waanze kutozwa kodi.

Mama Samia, China unayoiona Leo ni kutokana na maamuzi magumu kwenye maendeleo yaliyofanywa na Mao Zedong na Deng Xiaoping.

Ulaya unayoiona Leo kuna kodi kwenye kila kitu na wananchi wanalipa Kweli.

Rais Samia namaliza kwa kukwambia, usife moyo wala usirudi nyuma. Hayo ndo maamuzi magumu.
Hata akusanye vipi kama ufisadi /upotevu wa pesa uko vile vile huwezi kuifikia china, wenzako walikuwa na maamuzi magumu lakini , mianya ya upotevu wa pesa ilikuwa midogo sana!kitu ambacho ni kigumu sana kwa CCM!!kwani kwao upigaji ni sawa na pumzi na binadamu!!hiyo ripoti ya BOT, imeishia wapi?ile ripoti ya wizara ya fedha kujilipa miposho ya kufa mtu imeishia wapi?!!Kuhusu ulaya wao suala la kodi sio inshu kwani wanaona inavyotumika!!Inshu sio maamuzi magumu bali yenye tija kwa taifa, ni maamuzi mangapi magumu Meko aliyafanya lakini badaye yakawa ni fedheha kwa taifa, mfano serikali kununua korosho, unajua kilichotokea ni aibu kubwa!!hata hilo la kuhamishia makao makuu dodoma, , haya nini kinachoendelea kwa sasa?si kama serikali imerudi Dar!!
 
Kwanza kabisa nakupongeza kwa ukipofikia. 1. Kwenye chanjo
2. Kwenye Makato ya Kodi

Tanzania ilipokuwa imefikia ilikuwa ni pabaya sana. Watu waliaminishwa ujinga na wakaendelea kuishi kwenye ujinga. Tumepoteza watu wengi sana kutokana na kuaminishwa kuwa Tiba asili inatibu Corona badala ya njia za kisayansi. Mimi Pia nilipoteza rafiki yangu.

1. Kwenye Chanjo
Hapa usibadili msimamo. Aliyepita alidharau huu ugonjwa na kwa Kweli hata yeye mwenyewe ulimwondoa. Umeondoa wasaidizi wake na wananchi wengi Pia. Ni bora umeruhusu chanjo. Watu wachomwe wanaotaka na wasiotaka waachwe corona ideal nao. Mfano wa nchi zilizochukulia serious huu ugonjwa upo na sasa wameweza kuudhibiti na sasa wamerejea kwenye maisha yao na kuepusha vifo na kupoteza nguvu kazi

2. Kwenye Tozo
Hapa wala usirudi nyuma. Aliyepita hakupandisha wafanyakazi madaraja, hakuongeza mishahara. Wewe umepandisha wafanyakazi madaraja jambo lililosababisha mishahara yao kuongezeka. Aliyepita alikusanya kodi kwa nguvu na kukopa sana Hadi akawazidi maraisi wote kwa kukopa. Wewe hutaki kodi ya dhuruma na Pia unataka kupunguza kukopa sana.
Wewe unataka kufanya miradi kwa pesa za ndani kweli na sio kuwahadaa wananchi unafanya miradi kwa pesa za ndani kumbe unakopa sana na kuhatarisha uchumi kwa kuongeza deni la taifa.

Tunahitaji miradi ya kimkakati. Maji yawepo kwa wananchi wote, barabara za lami vijijini na mijini na Pia miradi mikubwa iliyoanza kukamilika.

Kwa malengo haya Mama Samia usirudi Nyuma. Zaidi naomba tu haya pia yafanyike

1. Wabunge nao waanze kutozwa kodi

2. Wale wote wasiotozwa kodi( Hasa kwenye utumishi) nao waanze kutozwa kodi.

Mama Samia, China unayoiona Leo ni kutokana na maamuzi magumu kwenye maendeleo yaliyofanywa na Mao Zedong na Deng Xiaoping.

Ulaya unayoiona Leo kuna kodi kwenye kila kitu na wananchi wanalipa Kweli.

Rais Samia namaliza kwa kukwambia, usife moyo wala usirudi nyuma. Hayo ndo maamuzi magumu.
1. Njisi ya kukabikiana na Corona sawa. Muelekeo upo na unaleta matumaini makubwa sana.
2. Njisi ya kuendesha siasa siyo sawa na haina tija kwa mstakabali wa taifa letu. Ubaguzi upo unaonekana Mungu aturehemu katika hili.
3. Ukiona polisi watumia nguvu nyingi kuzuia watu kudai haki zao na mabadiliko ujue mabadiliko ya kweli yamekaribia.
4. Mtaani sentesi kuu kwa sasa ni: "maji yamejaa kwenye mkondo na kupoteza muelekeo"
5. Nchi hii ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa, tuvumiliane.
6. Tusitungiane uongo mtakatifu na propaganda zenye nia ya kupandikiza chuki miongoni mwetu kwa kuwa mbinu hizi ni za kizamani sana.
7. Tuvumiliane tusikomaze ugomvi huu utaturudisha nyuma kiuchumi na kisiasa tena sana.
8. Tuheshimu sheria tulizojiwekea kama taifa hasa katiba ya nchi, tukifanya hivyo hii nchi itakuwa manukato ya upendo, utulivu na, mshikamano.
9. Nawatakia jumapili njema.
 
kwani kwa sasa ambapo hasikilizi kuna kitu gani kinaenda?
 
Naungana na wewe ,kucheka Cheka na wapiga Domo hakuna kitu kitaenda na hii nchi ina watu wamejaaliwa mdomo Sana.

Tozo zibaki pale pale na napendekeza vyanzo vingine kama leseni za mafundi ujenzi wote,kuwe na register/ data base ya wamiliki wa nyumba,viwanja na mashamba na kuongeza udhibiti wa kuhakikisha watu wanadai risiti,hapa polisi na TRA wawe wakali kwa wanao nunua bidhaa bila risiti
Wamejà mdomo including na maaa wako shenz
 
Kwenye kongole zako na nasaha ongeza na bunge litunge sheria, wale wote wanaokula "pesa" za umma wapigwe risasi hadharani. Maana tutachangia kwenye miamala, mwakani CAG atatuambia billion 500 hazijulikani zilipo.
Atapigwa baba yako kwànza subiri
 
1. Njisi ya kukabikiana na Corona sawa. Muelekeo upo na unaleta matumaini makubwa sana.
2. Njisi ya kuendesha siasa siyo sawa na haina tija kwa mstakabali wa taifa letu. Ubaguzi upo unaonekana Mungu aturehemu katika hili.
3. Ukiona polisi watumia nguvu nyingi kuzuia watu kudai haki zao na mabadiliko ujue mabadiliko ya kweli yamekaribia.
4. Mtaani sentesi kuu kwa sasa ni: "maji yamejaa kwenye mkondo na kupoteza muelekeo"
5. Nchi hii ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa, tuvumiliane.
6. Tusitungiane uongo mtakatifu na propaganda zenye nia ya kupandikiza chuki miongoni mwetu kwa kuwa mbinu hizi ni za kizamani sana.
7. Tuvumiliane tusikomaze ugomvi huu utaturudisha nyuma kiuchumi na kisiasa tena sana.
8. Tuheshimu sheria tulizojiwekea kama taifa hasa katiba ya nchi, tukifanya hivyo hii nchi itakuwa manukato ya upendo, utulivu na, mshikamano.
9. Nawatakia jumapili njema.
Namba 4 yako ni illusion tu! Nchi inaenda vizuri na sasa tumeizidi Hadi Kenya kwa kuuza Bidhaa Uganda?? Mlikuwa mnasema ziara za mama ni za kupoteza muda, sasa Benki kuu ya uganda imewajibu.

Mama yupo vizuri
 
Kwanza kabisa nakupongeza kwa ukipofikia. 1. Kwenye chanjo
2. Kwenye Makato ya Kodi

Tanzania ilipokuwa imefikia ilikuwa ni pabaya sana. Watu waliaminishwa ujinga na wakaendelea kuishi kwenye ujinga. Tumepoteza watu wengi sana kutokana na kuaminishwa kuwa Tiba asili inatibu Corona badala ya njia za kisayansi. Mimi Pia nilipoteza rafiki yangu.

1. Kwenye Chanjo
Hapa usibadili msimamo. Aliyepita alidharau huu ugonjwa na kwa Kweli hata yeye mwenyewe ulimwondoa. Umeondoa wasaidizi wake na wananchi wengi Pia. Ni bora umeruhusu chanjo. Watu wachomwe wanaotaka na wasiotaka waachwe corona ideal nao. Mfano wa nchi zilizochukulia serious huu ugonjwa upo na sasa wameweza kuudhibiti na sasa wamerejea kwenye maisha yao na kuepusha vifo na kupoteza nguvu kazi

2. Kwenye Tozo
Hapa wala usirudi nyuma. Aliyepita hakupandisha wafanyakazi madaraja, hakuongeza mishahara. Wewe umepandisha wafanyakazi madaraja jambo lililosababisha mishahara yao kuongezeka. Aliyepita alikusanya kodi kwa nguvu na kukopa sana Hadi akawazidi maraisi wote kwa kukopa. Wewe hutaki kodi ya dhuruma na Pia unataka kupunguza kukopa sana.
Wewe unataka kufanya miradi kwa pesa za ndani kweli na sio kuwahadaa wananchi unafanya miradi kwa pesa za ndani kumbe unakopa sana na kuhatarisha uchumi kwa kuongeza deni la taifa.

Tunahitaji miradi ya kimkakati. Maji yawepo kwa wananchi wote, barabara za lami vijijini na mijini na Pia miradi mikubwa iliyoanza kukamilika.

Kwa malengo haya Mama Samia usirudi Nyuma. Zaidi naomba tu haya pia yafanyike

1. Wabunge nao waanze kutozwa kodi

2. Wale wote wasiotozwa kodi( Hasa kwenye utumishi) nao waanze kutozwa kodi.

Mama Samia, China unayoiona Leo ni kutokana na maamuzi magumu kwenye maendeleo yaliyofanywa na Mao Zedong na Deng Xiaoping.

Ulaya unayoiona Leo kuna kodi kwenye kila kitu na wananchi wanalipa Kweli.

Rais Samia namaliza kwa kukwambia, usife moyo wala usirudi nyuma. Hayo ndo maamuzi magumu.
Mmemaliza kumdanganya Magufuli sasa mmehamia kwa Samia.
 
Kwanza kabisa nakupongeza kwa ukipofikia. 1. Kwenye chanjo
2. Kwenye Makato ya Kodi

Tanzania ilipokuwa imefikia ilikuwa ni pabaya sana. Watu waliaminishwa ujinga na wakaendelea kuishi kwenye ujinga. Tumepoteza watu wengi sana kutokana na kuaminishwa kuwa Tiba asili inatibu Corona badala ya njia za kisayansi. Mimi Pia nilipoteza rafiki yangu.

1. Kwenye Chanjo
Hapa usibadili msimamo. Aliyepita alidharau huu ugonjwa na kwa Kweli hata yeye mwenyewe ulimwondoa. Umeondoa wasaidizi wake na wananchi wengi Pia. Ni bora umeruhusu chanjo. Watu wachomwe wanaotaka na wasiotaka waachwe corona ideal nao. Mfano wa nchi zilizochukulia serious huu ugonjwa upo na sasa wameweza kuudhibiti na sasa wamerejea kwenye maisha yao na kuepusha vifo na kupoteza nguvu kazi

2. Kwenye Tozo
Hapa wala usirudi nyuma. Aliyepita hakupandisha wafanyakazi madaraja, hakuongeza mishahara. Wewe umepandisha wafanyakazi madaraja jambo lililosababisha mishahara yao kuongezeka. Aliyepita alikusanya kodi kwa nguvu na kukopa sana Hadi akawazidi maraisi wote kwa kukopa. Wewe hutaki kodi ya dhuruma na Pia unataka kupunguza kukopa sana.
Wewe unataka kufanya miradi kwa pesa za ndani kweli na sio kuwahadaa wananchi unafanya miradi kwa pesa za ndani kumbe unakopa sana na kuhatarisha uchumi kwa kuongeza deni la taifa.

Tunahitaji miradi ya kimkakati. Maji yawepo kwa wananchi wote, barabara za lami vijijini na mijini na Pia miradi mikubwa iliyoanza kukamilika.

Kwa malengo haya Mama Samia usirudi Nyuma. Zaidi naomba tu haya pia yafanyike

1. Wabunge nao waanze kutozwa kodi

2. Wale wote wasiotozwa kodi( Hasa kwenye utumishi) nao waanze kutozwa kodi.

Mama Samia, China unayoiona Leo ni kutokana na maamuzi magumu kwenye maendeleo yaliyofanywa na Mao Zedong na Deng Xiaoping.

Ulaya unayoiona Leo kuna kodi kwenye kila kitu na wananchi wanalipa Kweli.

Rais Samia namaliza kwa kukwambia, usife moyo wala usirudi nyuma. Hayo ndo maamuzi magumu.

1. Kwenye chanjo:

Yeye ndiye aliyekuwa right hand person wa aliyekwenda. Hapa hana jipya. Ikimpendeza azirejelee tu zama zao za nyungu.

2. Tozo na kodi:

Hizi akiongea maradufu itapendeza zaidi. Nakazia: wabunge, Mawaziri, ma RC, ma RC, makatibu wakuu na vigogo wote wasilipe hata ndururu ila waongezewe masurufu zaidi!
 
Mlimdanganya mwendazake hadi mauti yalipomkuta,bado mnaendelea kumdanganya Samia,,,,enyi wanafiki
 
Kwanza kabisa nakupongeza kwa ukipofikia. 1. Kwenye chanjo
2. Kwenye Makato ya Kodi

Tanzania ilipokuwa imefikia ilikuwa ni pabaya sana. Watu waliaminishwa ujinga na wakaendelea kuishi kwenye ujinga. Tumepoteza watu wengi sana kutokana na kuaminishwa kuwa Tiba asili inatibu Corona badala ya njia za kisayansi. Mimi Pia nilipoteza rafiki yangu.

1. Kwenye Chanjo
Hapa usibadili msimamo. Aliyepita alidharau huu ugonjwa na kwa Kweli hata yeye mwenyewe ulimwondoa. Umeondoa wasaidizi wake na wananchi wengi Pia. Ni bora umeruhusu chanjo. Watu wachomwe wanaotaka na wasiotaka waachwe corona ideal nao. Mfano wa nchi zilizochukulia serious huu ugonjwa upo na sasa wameweza kuudhibiti na sasa wamerejea kwenye maisha yao na kuepusha vifo na kupoteza nguvu kazi

2. Kwenye Tozo
Hapa wala usirudi nyuma. Aliyepita hakupandisha wafanyakazi madaraja, hakuongeza mishahara. Wewe umepandisha wafanyakazi madaraja jambo lililosababisha mishahara yao kuongezeka. Aliyepita alikusanya kodi kwa nguvu na kukopa sana Hadi akawazidi maraisi wote kwa kukopa. Wewe hutaki kodi ya dhuruma na Pia unataka kupunguza kukopa sana.
Wewe unataka kufanya miradi kwa pesa za ndani kweli na sio kuwahadaa wananchi unafanya miradi kwa pesa za ndani kumbe unakopa sana na kuhatarisha uchumi kwa kuongeza deni la taifa.

Tunahitaji miradi ya kimkakati. Maji yawepo kwa wananchi wote, barabara za lami vijijini na mijini na Pia miradi mikubwa iliyoanza kukamilika.

Kwa malengo haya Mama Samia usirudi Nyuma. Zaidi naomba tu haya pia yafanyike

1. Wabunge nao waanze kutozwa kodi

2. Wale wote wasiotozwa kodi( Hasa kwenye utumishi) nao waanze kutozwa kodi.

Mama Samia, China unayoiona Leo ni kutokana na maamuzi magumu kwenye maendeleo yaliyofanywa na Mao Zedong na Deng Xiaoping.

Ulaya unayoiona Leo kuna kodi kwenye kila kitu na wananchi wanalipa Kweli.

Rais Samia namaliza kwa kukwambia, usife moyo wala usirudi nyuma. Hayo ndo maamuzi magumu.
nyie wapiga filimbi na waimba mapambio sio nyie mlimfanya hadi kayafa mkuu akajiona yupo juu ya kila kitu hapa duniani mwishowe mkamkacha kwa kumuita mfalme jua..
 
Kwanza kabisa nakupongeza kwa ukipofikia. 1. Kwenye chanjo
2. Kwenye Makato ya Kodi

Tanzania ilipokuwa imefikia ilikuwa ni pabaya sana. Watu waliaminishwa ujinga na wakaendelea kuishi kwenye ujinga. Tumepoteza watu wengi sana kutokana na kuaminishwa kuwa Tiba asili inatibu Corona badala ya njia za kisayansi. Mimi Pia nilipoteza rafiki yangu.

1. Kwenye Chanjo
Hapa usibadili msimamo. Aliyepita alidharau huu ugonjwa na kwa Kweli hata yeye mwenyewe ulimwondoa. Umeondoa wasaidizi wake na wananchi wengi Pia. Ni bora umeruhusu chanjo. Watu wachomwe wanaotaka na wasiotaka waachwe corona ideal nao. Mfano wa nchi zilizochukulia serious huu ugonjwa upo na sasa wameweza kuudhibiti na sasa wamerejea kwenye maisha yao na kuepusha vifo na kupoteza nguvu kazi

2. Kwenye Tozo
Hapa wala usirudi nyuma. Aliyepita hakupandisha wafanyakazi madaraja, hakuongeza mishahara. Wewe umepandisha wafanyakazi madaraja jambo lililosababisha mishahara yao kuongezeka. Aliyepita alikusanya kodi kwa nguvu na kukopa sana Hadi akawazidi maraisi wote kwa kukopa. Wewe hutaki kodi ya dhuruma na Pia unataka kupunguza kukopa sana.
Wewe unataka kufanya miradi kwa pesa za ndani kweli na sio kuwahadaa wananchi unafanya miradi kwa pesa za ndani kumbe unakopa sana na kuhatarisha uchumi kwa kuongeza deni la taifa.

Tunahitaji miradi ya kimkakati. Maji yawepo kwa wananchi wote, barabara za lami vijijini na mijini na Pia miradi mikubwa iliyoanza kukamilika.

Kwa malengo haya Mama Samia usirudi Nyuma. Zaidi naomba tu haya pia yafanyike

1. Wabunge nao waanze kutozwa kodi

2. Wale wote wasiotozwa kodi( Hasa kwenye utumishi) nao waanze kutozwa kodi.

Mama Samia, China unayoiona Leo ni kutokana na maamuzi magumu kwenye maendeleo yaliyofanywa na Mao Zedong na Deng Xiaoping.

Ulaya unayoiona Leo kuna kodi kwenye kila kitu na wananchi wanalipa Kweli.

Rais Samia namaliza kwa kukwambia, usife moyo wala usirudi nyuma. Hayo ndo maamuzi magumu.
Ulikuwa choooni labda
 
Acha
Namba 4 yako ni illusion tu! Nchi inaenda vizuri na sasa tumeizidi Hadi Kenya kwa kuuza Bidhaa Uganda?? Mlikuwa mnasema ziara za mama ni za kupoteza muda, sasa Benki kuu ya uganda imewajibu.

Mama yupo vizuri
Acha kushtuka soma tena
 
Back
Top Bottom