Rais Samia hakuna kurudi nyuma. Simamia hapo hapo, Hii nchi ukiwasikiliza watu haitaenda

Unataka Akamue beberu ana maziwa??
Hataacha kupiga kelele na hata ukamueje maziwa hutapata!
 
Hakuna maamuzi muhimu sikuzote kama maamuzi magumu.. Kwenye Tozo arekebishe kidogo na kwenye chanjo hoja yako ina mashiko.. ila ishu za ubadhilifu, ufisadi , rushwa na Katiba Mpya pia azishughulikie maana tunataka kodi zetu zitumike kihalali, sio kunufaisha watu wachache wenye mlengo flani wa kisiasa.. NB: Punguza kisebengo na kiherehere
 
Sukuma peoplr leo wanalala na viatu
 
Mh Samia alikuwa Makamu wa Rais - nisehemu yamaendeleo ya utawala ulee ..unaanzaje kumuona mpya .. Magreat thinker tunakalia akili !?
 
Binafsi napenda ishindikane kabisa ukitumiwa Elfu 10.Unaingalia tu kwenye simu,haitoki na zaidi uinunulie muda wa mongezi.
Mafuta hapo yalipo yaende mpaka 3,000/= hapa tutapata barabara kwa haraka sana.
 
Hujui China wamefanikiwa kuicontrol baada ya kuchanja watu wengi??

hujui Taiwan, Singapore, Israel nao wamefanikiwa baada ya kuchanja watu wao wengi sana??? Sasa hivi wana cases chache sana ambazo zote zinahimilika!
Safi kabisa. China wamechanja watu kibao.....nilipenda chanjo yao pia.
 
Hujui China wamefanikiwa kuicontrol baada ya kuchanja watu wengi??

hujui Taiwan, Singapore, Israel nao wamefanikiwa baada ya kuchanja watu wao wengi sana??? Sasa hivi wana cases chache sana ambazo zote zinahimilika!
Hahaha unawaamini wachina wewe? Seychelles si ndo ilikuwa inaongoza kwa kuchanjwa ulisikia mlipuko uliotokea?
 
Hoja yako ya pili unasema mama hataki mikopo wakati amewaapisha watu na amewahimiza waombe mikopo huko wanakoenda????
 
Hoja yako ya pili unasema mama hataki mikopo wakati amewaapisha watu na amewahimiza waombe mikopo huko wanakoenda????
Wapi alisema mikopo? Alisema misaada inayohusiana na corona
 
Ujuaji umekuwa mwingi mno. Naunga mkono Tozo mpya binafsi sioni hizi tozo zinaathiri vipi hayo maendeleo ya mtu ambayo wajuaji humu wamekuwa wakitukana kila mara. Unajiuliza wanataka tuchukuliwe pesa zetu Benki kwa nguvu au tuongezewe kodi kwenye mapato yetu ili wajue kwamba serikali ipo serious inahitaji pesa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…