Pre GE2025 Rais Samia: Hakuna Uhuru wa Habari usio mipaka yake

Pre GE2025 Rais Samia: Hakuna Uhuru wa Habari usio mipaka yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu. Hakuna uhuru wa habari usio mipaka yake "Uhuru wa Habari with mipaka ya uhuru huo".

Amemtaka Waziri wa Habari, Jerry Silaa kwenda kushirikiana na wadau wa sekta ya habari, ameongeza kuwa watu wa sekta ni muhimu sana kwa taifa hili.



Pia soma
 
Ni kweli, hata Nape alikosa mipaka.
#Kaziiendelee.
 
Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu. Hakuna uhuru wa habari usio mipaka yake "Uhuru wa Habari with mipaka ya uhuru huo".

Amemtaka Waziri wa Habari, Jerry Silaa kwenda kushirikiana na wadau wa sekta ya habari, ameongeza kuwa watu wa sekta ni muhimu sana kwa taifa hili.

View attachment 3052834
Jiwe alileta porojo kama hizi matokeo yake akawekewa mipaka yeye
 
Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu. Hakuna uhuru wa habari usio mipaka yake "Uhuru wa Habari with mipaka ya uhuru huo".

Amemtaka Waziri wa Habari, Jerry Silaa kwenda kushirikiana na wadau wa sekta ya habari, ameongeza kuwa watu wa sekta ni muhimu sana kwa taifa hili.

View attachment 3052834
Mipaka inapatikanaje?
 
1722000680887.png

Rais Samia akitoa neno baada ya uapisho wa viongozi amesema;

"Nianze na Waziri wa Habari, umefanya kazi nzuri ndani ya Wizara ya Ardhi Jerry Silaa pamoja na mawimbi ya hapa na pale, lakini umeonesha kwa vitendo kwamba kero za ardhi zinatatulika, Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa falsafa yetu ya 4R, na uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu hakuna uhuru usiokuwa na mipaka yake,"
 
Hiyo mipaka ni ipi, na nani a ayeamua kuwa kwa habari hii, mpaka wake ni huu?

Vyombo vya habari vikumbushwe kutoandika uwongo. Uwongo kama ule wa kusema kuwa Rais Samia ametoa bilioni kadhaa kwaajili ya hiki na kile, wakati ukweli ni kuwa Samia hajawahi kutoa hata shilingi moja kwaajili ya mradi wowote, sana sana, yeye ni mtumiaji wa kodi za wananchi.
 
Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu. Hakuna uhuru wa habari usio mipaka yake "Uhuru wa Habari with mipaka ya uhuru huo".

Amemtaka Waziri wa Habari, Jerry Silaa kwenda kushirikiana na wadau wa sekta ya habari, ameongeza kuwa watu wa sekta ni muhimu sana kwa taifa hili.
View attachment 3052850
Mama kafurugwa , na sasa ameamua kuwavumisha , sio mda nami nitateuliwa , kwenye wizira flani ili niwapige shoo mpaka wajute, DC wa kimataifa naomba baraka zako
 
Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu. Hakuna uhuru wa habari usio mipaka yake "Uhuru wa Habari with mipaka ya uhuru huo".

Amemtaka Waziri wa Habari, Jerry Silaa kwenda kushirikiana na wadau wa sekta ya habari, ameongeza kuwa watu wa sekta ni muhimu sana kwa taifa hili.
View attachment 3052850
Yan anaongeaga vitu vya kawaidaaaa
 
Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu. Hakuna uhuru wa habari usio mipaka yake "Uhuru wa Habari with mipaka ya uhuru huo".

Amemtaka Waziri wa Habari, Jerry Silaa kwenda kushirikiana na wadau wa sekta ya habari, ameongeza kuwa watu wa sekta ni muhimu sana kwa taifa hili.
View attachment 3052850
Kwa hiyo Nape uhuru ulizidi
 
you are living in a managerial oligarchy! wenzetu waandishi wa habari wakivuka mipaka wanabanwa na sheria za defamation, huku tunatuma polisi 20 nyumbani kwako ili wakutoe korod*ni zako usizae tena 'wauliza maswali'
 
you are living in a managerial oligarchy! wenzetu waandishi wa habari wakivuka mipaka wanabanwa na sheria za defamation, huku tunatuma polisi 20 nyumbani kwako ili wakutoe korod*ni zako usizae tena 'wauliza maswali'
Vipi wandishi wa habari wa kike tunatoa nini ndugu yangu??
 
Wali kuchukulia for granted wasi kuzoee mama, wawekee speed limit, wanadhani hi nchi nia kwao peke.
Kama hao ndio walimweka pale, basi hana ujanja, ipo siku watamtoa tu akizingua tu. Mama awe mpole tu.
 
Back
Top Bottom