Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Nchi yetu sijui kwa nini huwa ina deal na vitu ordinary sana...
Leo hii Mh. Rais akiulizwa kwambaaliyekuwa Waziri wa Ardhi Bw Jerry Slaa kaacha msingi/mfumo gani ambao utaendelea kutumiwa na Wizara ya Ardhi kuepuka migogoro ya ardhi ambayo Waziri alipambana kuitatua, sidhani kama Mh Rais atakuwa na majibu...
Leo hii Mh. Rais akiulizwa kwambaaliyekuwa Waziri wa Ardhi Bw Jerry Slaa kaacha msingi/mfumo gani ambao utaendelea kutumiwa na Wizara ya Ardhi kuepuka migogoro ya ardhi ambayo Waziri alipambana kuitatua, sidhani kama Mh Rais atakuwa na majibu...