Pre GE2025 Rais Samia: Hakuna Uhuru wa Habari usio mipaka yake

Pre GE2025 Rais Samia: Hakuna Uhuru wa Habari usio mipaka yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vp Dodoma Ikulu Haitoishi Idadi Hiyo Kuapishiwa Kule
 
Uhuru wenye mipaka ni utumwa-MwanaHalisi
 
Unakumbuka shuka asubuhi, wakati usiku mbu washafanya yao, hiyo malaria ni yako utajua utakavyoitibu.

Unaambiwa hakuna njia nyingine baki barabara hiyo hiyo uliyopokea unaleta ujuaji, kama kuongoza nchi rahisi si kila mtu angekuwa na hizo ndoto.

Hatua mbili mbele, moja nyuma ndio uongozi wetu. Kazi ya kubadili watu tabia walizozea sio rahisi bila ya maamuzi magumu kwa wakaidi uwezi songa mbele; utazinguka tu kubembelezana.
 
Matusi na uchawi ndio nguzo ya Masikini, sasa shida ni unamtukana nani?

Utafiti unaonyesha kwamba vijana wengi wanaotukana hapa JF, huwa wanatukana Wazazi wao
Kamwambie mumeo Mbowe haya maneno. Au naye anamuwaza Jiwe 24/7 kama wewe mkewe?
 
Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu. Hakuna uhuru wa habari usio mipaka yake "Uhuru wa Habari with mipaka ya uhuru huo".

Amemtaka Waziri wa Habari, Jerry Silaa kwenda kushirikiana na wadau wa sekta ya habari, ameongeza kuwa watu wa sekta ni muhimu sana kwa taifa hili.
View attachment 3052850


Pia soma
Mipaka ya uhuru wa habari ni ipi???

Inaanzia wapi na inaishia wapi??

Nani anaweka hiyo mipaka?? Vigezo vya hiyo mipaka ni vipi??

Nani alichagua criteria za hiyo mipaka??

Aliteuliwa na nani kutengeneza criteria za hiyo mipaka???
 
Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu. Hakuna uhuru wa habari usio mipaka yake "Uhuru wa Habari with mipaka ya uhuru huo".

Amemtaka Waziri wa Habari, Jerry Silaa kwenda kushirikiana na wadau wa sekta ya habari, ameongeza kuwa watu wa sekta ni muhimu sana kwa taifa hili.
View attachment 3052850


Pia soma
Ila yeye ana uhuru wa kubwabwaja bila mipaka!
 
Back
Top Bottom