KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
waume zao watatolewa kwa niaba yaoVipi wandishi wa habari wa kike tunatoa nini ndugu yangu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waume zao watatolewa kwa niaba yaoVipi wandishi wa habari wa kike tunatoa nini ndugu yangu??
NakaziaR.i.p JPM.
Kamwambie mumeo Mbowe haya maneno. Au naye anamuwaza Jiwe 24/7 kama wewe mkewe?Matusi na uchawi ndio nguzo ya Masikini, sasa shida ni unamtukana nani?
Utafiti unaonyesha kwamba vijana wengi wanaotukana hapa JF, huwa wanatukana Wazazi wao
Mnatoa mipaka in english you remove those pussyVipi wandishi wa habari wa kike tunatoa nini ndugu yangu??
Upo wenye minyau tuNAKAZIA: HAKUNA UHURU USIO NA MIPAKA.
😆😆😆😆 Usilie Jiwe kishageuka Jiwe tayariKamwambie mumeo Mbowe haya maneno. Au naye anamuwaza Jiwe 24/7 kama wewe mkewe?
Nyauloso au bonge la nyau?Upo wenye minyau tu
Mipaka ya uhuru wa habari ni ipi???Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu. Hakuna uhuru wa habari usio mipaka yake "Uhuru wa Habari with mipaka ya uhuru huo".
Amemtaka Waziri wa Habari, Jerry Silaa kwenda kushirikiana na wadau wa sekta ya habari, ameongeza kuwa watu wa sekta ni muhimu sana kwa taifa hili.
View attachment 3052850
Pia soma
Ila yeye ana uhuru wa kubwabwaja bila mipaka!Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu. Hakuna uhuru wa habari usio mipaka yake "Uhuru wa Habari with mipaka ya uhuru huo".
Amemtaka Waziri wa Habari, Jerry Silaa kwenda kushirikiana na wadau wa sekta ya habari, ameongeza kuwa watu wa sekta ni muhimu sana kwa taifa hili.
View attachment 3052850
Pia soma
Wewe na mumeo Mbowe mtaishi milele. Boya!😆😆😆😆 Usilie Jiwe kishageuka Jiwe tayari