Mipaka inapatikana kama Mtu kuingia nyumbani kwako kama Mulewa atajuwa hapa mimi sitakiwi kufika na Mingine kama Unaakili timamu utapima wewe mwenyeweMipaka inapatikanaje?
Kama chadema walivyowekewa mipaka kwa nguvu ya umma?Jiwe alileta porojo kama hizi matokeo yake akawekewa mipaka yeye
Mipaka inatakiwa ieleweke, siyo inapatikana kama unavyopiga ramli hapa.Mipaka inapatikana kama Mtu kuingia nyumbani kwako kama Mulewa atajuwa hapa mimi sitakiwi kufika na Mingine kama Unaakili timamu utapima wewe mwenyewe
Na mipaka haiwezi kuwa ya kuwapamba wanao dhani wao ndio wapima mipaka ya uhuru stahiki.NAKAZIA: HAKUNA UHURU USIO NA MIPAKA.
EEEeeeenHEEEeeeee!Hiyo mipaka ni ipi, na nani a ayeamua kuwa kwa habari hii, mpaka wake ni huu?
Vyombo vya habari vikumbushwe kutoandika uwongo. Uwongo kama ule wa kusema kuwa Rais Samia ametoa bilioni kadhaa kwaajili ya hiki na kile, wakati ukweli ni kuwa Samia hajawahi kutoa hata shilingi moja kwaajili ya mradi wowote, sana sana, yeye ni mtumiaji wa kodi za wananchi.
Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu. Hakuna uhuru wa habari usio mipaka yake "Uhuru wa Habari with mipaka ya uhuru huo".
Amemtaka Waziri wa Habari, Jerry Silaa kwenda kushirikiana na wadau wa sekta ya habari, ameongeza kuwa watu wa sekta ni muhimu sana kwa taifa hili.
View attachment 3052850
Pia soma
JK upo Baba. Lunch njema
wale wale , sishangaiPole sana
nipe mfanohakuna uhuru usio na mipaka , kusema / kukosoa
Na pia naongezea stress za matatizo ya kiuchumiUkichunguza sana wanaotukana utakuta wana shida fulani kisaikolojia. Kuanzia makuzi yao na maisha wanayoyapitia.
Afya ya akili inapokua na mushkeli ndio tatizo linaanza.