Rais Samia hana interest na kilimo, wakulima tujifungeni mkanda

Rais Samia hana interest na kilimo, wakulima tujifungeni mkanda

Mtondoli

Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
70
Reaction score
174
Duniani kote utawala wowote unawekeza nguvu kubwa kwenye kilimo na hata wananchi karibia 78% ni wakulima wanategemea kilimo tu kuendesha maisha yao.

Rais wetu nimefuatilia hotuba zake zote kilimo kwake yeye sio kipaumbele kabisa.

Anazungumzia ujenzi wa miundombinu kama madaraja, reli ununuzi wa ndege. Yuko tayari kukopa kwa ajili ya miundo mbinu sio kilimo.

Mama sisi wakulima huwa tunaamua kuzima tv na redio tunapoona hotuba inaisha haizungumzii Hali ya kilimo nchini.

Kuna siku utauona umuhimu wa kilimo endeleeni kufanya mzaha tutakutana mbeleni.
 
Kwahiyo rais anatakiwa awe na Inerest kwenye nini?
SSH jaman anachanganywa
 
Kwa hiyo wakulima Mnamtishia Rais sio?
IMG_20211213_133701.jpg
 
duniani kote utawala wowote unawekeza nguvu kubwa kwenye kilimo .na hata wananchi karibia 78% ni wakulima .wanategemea kilimo tu kuendesha maisha yao.rais wetu nimefuatilia hotuba zake zote kilimo kwake yeye sio kipaumbele kabisa.anazungumzia ujenzi wa miundombinu Kama madaraja ,reli ununuzi wa ndege .Yuko tayari kukopa kwa ajili ya miundo mbinu sio kilimo ,mama sisi wakulima huwa tunaamua kuzima tv na redio tunapoona hotuba inaisha haizungumzii Hali ya kilimo nchini ,Kuna siku utauona umuhimu wa kilimo endeleeni kufanya mzaha tutakutana mbeleni

Ccm Na Kilimo Wapi Na Wapi?
 
Duniani kote utawala wowote unawekeza nguvu kubwa kwenye kilimo na hata wananchi karibia 78% ni wakulima, wanategemea kilimo tu kuendesha maisha yao.

Rais wetu nimefuatilia hotuba zake zote kilimo kwake yeye sio kipaumbele kabisa, anazungumzia ujenzi wa miundombinu Kama madaraja, reli ununuzi wa ndege. Yuko tayari kukopa kwa ajili ya miundo mbinu sio kilimo

Mama sisi wakulima huwa tunaamua kuzima tv na redio tunapoona hotuba inaisha haizungumzii Hali ya kilimo nchini. Kuna siku utauona umuhimu wa kilimo endeleeni kufanya mzaha tutakutana mbeleni
.... Samia, kama anavyojitambulisha mwenyewe, ni muendelezo wa awamu iliyopita hata kaul mbiu ya KAZI IENDELEE inasadifu hilo. Utawala uliopita ilikuwa SERIKALI YA VIWANDA na sio kilimo.
 
.... Samia, kama anavyojitambulisha mwenyewe, ni muendelezo wa awamu iliyopita hata kaul mbiu ya KAZI IENDELEE inasadifu hilo. Utawala uliopita ilikuwa SERIKALI YA VIWANDA na sio kilimo.
Chama cha wakulima na wafanyakazi !
Nyundo na jembe!
 
Duniani kote utawala wowote unawekeza nguvu kubwa kwenye kilimo na hata wananchi karibia 78% ni wakulima wanategemea kilimo tu kuendesha maisha yao...
Miundombinu bora inawezesha kilimo
 
.... Samia, kama anavyojitambulisha mwenyewe, ni muendelezo wa awamu iliyopita hata kaul mbiu ya KAZI IENDELEE inasadifu hilo. Utawala uliopita ilikuwa SERIKALI YA VIWANDA na sio kilimo.
Magufuli aliharibu hii nchi sana!
 
Jf kejeli kwa Rais hazina nafasi! Namtakia afya njema atimize majukumu yake, na asikatishwe tamaa na maneno ya ovyo, ila azingatie yote yenye hekima!
 
Nimesikia hotuba yake jana kazungumzia kuwa serikali imeongeza fedha TADB ila ukienda huko TADB kuna ukata. Sasa sijui ukweli ni upi??
 
Mzenji ajali kilimo!! Ukimwona amewahi kulima au kuchunga? Unakuwa na kiongozi mkuu ambaye hajui kazi zilizoajiri sehemu kubwa ya watuwake...
Kyle kwao elimu sio ishu ndomana madarasa yanajengwa lkn mfumo wa elimu na walimu hakuna kitachoboreshwa!!
Tunahali ngumu saaana
 
Duniani kote utawala wowote unawekeza nguvu kubwa kwenye kilimo na hata wananchi karibia 78% ni wakulima wanategemea kilimo tu kuendesha maisha yao.

Rais wetu nimefuatilia hotuba zake zote kilimo kwake yeye sio kipaumbele kabisa.

Anazungumzia ujenzi wa miundombinu kama madaraja, reli ununuzi wa ndege. Yuko tayari kukopa kwa ajili ya miundo mbinu sio kilimo.

Mama sisi wakulima huwa tunaamua kuzima tv na redio tunapoona hotuba inaisha haizungumzii Hali ya kilimo nchini.

Kuna siku utauona umuhimu wa kilimo endeleeni kufanya mzaha tutakutana mbeleni.
Ivi ule uchumi wa buluu uliishia wapi?
 
Back
Top Bottom