Asipo kuelewa hapa,basi hawezi tena kukuelewa hadi na yeye limkute la kupiga kwata kwenye office za Umma hadi soli ya kiatu inaisha lakini bado bila bila!!Ujinga gani? Jamni kwanini huwa hatuwezi kuvumiliana? Mtu anatoa maoni yake wewe unamtusi kweli hii ni sawa?
Anyway, ni kweli kwamba tunapaswa kuheshimu mamlaka ikiwa na pamoja na majukumu yake lakini ukweli ni kwamba kuna uonevu mkubwa mno wananchi maskini wanakumbana nao, kesi nyingi tu za kubambikizwa na viongozi wasaidizi wanakura rushwa, wengi sana wameteseka kesi zao hazitatuliwi ni kupigwa chenga tu je mnataka wananchi wafanye nini?
Mwananchi anapoenda kwa Rais ujue ameteseka sana na hakuna msaada wowote, kwa nature ya viongozi wetu hawa usishangae huyo mama hatapewa msaada wowote kumbuka mama alikataa mabango na shida za barabarani inamaana kusimama kwake ni sawa na kuwachoma wale viongozi then kesi imerudishwa kwa subordinate nini kitatukia?
Ukweli utabaki pale pale, kero za wananchi ni nyingi mno na hazitatuliwi!
Wengine tunazihitaji SanaKwanza kabisa napenda kukupa pole na majukumu ya kitaifa.
Vile vile tunakuombea wewe na Serikali yetu katika utekelezaji mwema wa majukumu ya nchi ili kuinua uchumi.
Mweshmiwa Rais katika muda mchache huu umeonuesha matumaini ya watanzania kupata maisha bora, Ajira na uchumi kuinuka tena hongera sana na Mungu akubariki kwa hilo.
Niende kwenye lengo husika, katika siku za hivi karibuni umekuwa ukifanya ziara na kusimama barabarani kuongea na wananchi, lakini wananchi wanapopewa maiki kusema kero zao hakuna solution yoyote zaidi ya kusema unawaachia maofisa wako.
Mbaya zaidi kuna watu wanashida za muda mrefu mfano yule mama mjane juzi anakueleza shida yake, wewe kama Rais ilibidi uitatue pale pale kwa kuwahita wahusika wajibu, matokeo yake unamwambia awaone sijui wakuu wa mkoa sijui nani, kwani unafikiri ye alikuaga hawaoni?
Hii nchi ina watu wenye viburi kesi zinafichwa hata na ma OCD lakini mtu anapokuona wewe Rais anaona kama amepata mkombozi utatue swala lake.
Kama umeamua kuendeleza style ya mtangulizi wako ya kuongea na wananchi njiani basi endeleza na kutatua kero, JPM alikua kama imetokea kero anawaita wahusika kiwahoji pale pale na anatoa maamuzi pale pale.
Sasa Rais wangu wewe hufanyi hvyo, sisi wananchi tunakutegemea ww huku Uraiani kuna uonevu mwingi sana.
Mimi nafikiri kama utaendelea na style yako hii basi ziara za barabarani achana nazo hazina tija kwetu.
Acha ujinga. Rais anapaswa kujibu hoja za kitaifa zaidi, ambazo haziwezi kutatuliwa na wasaidizi wake walioko chini huko.
Vinginevyo mtampelekea hata kesi zenu za ndoa!
Pia huwezi toa hukumu kwa kusikiliza upande mmoja tu!
Ujinga gani? Jamni kwanini huwa hatuwezi kuvumiliana? Mtu anatoa maoni yake wewe unamtusi kweli hii ni sawa?
Anyway, ni kweli kwamba tunapaswa kuheshimu mamlaka ikiwa na pamoja na majukumu yake lakini ukweli ni kwamba kuna uonevu mkubwa mno wananchi maskini wanakumbana nao, kesi nyingi tu za kubambikizwa na viongozi wasaidizi wanakura rushwa, wengi sana wameteseka kesi zao hazitatuliwi ni kupigwa chenga tu je mnataka wananchi wafanye nini?
Mwananchi anapoenda kwa Rais ujue ameteseka sana na hakuna msaada wowote, kwa nature ya viongozi wetu hawa usishangae huyo mama hatapewa msaada wowote kumbuka mama alikataa mabango na shida za barabarani inamaana kusimama kwake ni sawa na kuwachoma wale viongozi then kesi imerudishwa kwa subordinate nini kitatukia?
Ukweli utabaki pale pale, kero za wananchi ni nyingi mno na hazitatuliwi!
Naongea mkono hoja kuna viongozi wenye viburi sana mama akidharau haya ,tegemea uonevu zaidi kwa wananchoanatupotezea mda ni heri awe anatoa hotuba tu tunaangalia kwenye tv
Na hapo ndipo tatizo hasa linapoanza kwa watanzania. Kuamini sana habari za vijiweni na udaku wa Instagram kuliko kutumia akili zetu wenyewe. Mtu yupo radhi kuamini udaku kwa vile tu unavuma zaidi hata kama hauna mantiki kuliko kutumia logic yake mwenyewe.Hivi Logically tu inakuingia Akilini kwa Mtu ambaye Kiserikali ni Commander In Chief na pia ndani ya Chama ndiyo Mwenyekiti Taifa halafu akatokea Mpumbavu wa Kumtisha na Kumshurutisha?
Acheni Kudanganyana huko Vijiweni Kwenu mnakoshinda na jifunzeni kuwa na Fikra pana zaidi.
KATIBAKatika utatuzi wa kero JPM aling'ara sana, he was talented, it will take us decades to see that happening again, mama hajakaa kikazi yupo kimaonyesho zaidi
Sawa ni KATIBAUjinga gani? Jamni kwanini huwa hatuwezi kuvumiliana? Mtu anatoa maoni yake wewe unamtusi kweli hii ni sawa?
Anyway, ni kweli kwamba tunapaswa kuheshimu mamlaka ikiwa na pamoja na majukumu yake lakini ukweli ni kwamba kuna uonevu mkubwa mno wananchi maskini wanakumbana nao, kesi nyingi tu za kubambikizwa na viongozi wasaidizi wanakura rushwa, wengi sana wameteseka kesi zao hazitatuliwi ni kupigwa chenga tu je mnataka wananchi wafanye nini?
Mwananchi anapoenda kwa Rais ujue ameteseka sana na hakuna msaada wowote, kwa nature ya viongozi wetu hawa usishangae huyo mama hatapewa msaada wowote kumbuka mama alikataa mabango na shida za barabarani inamaana kusimama kwake ni sawa na kuwachoma wale viongozi then kesi imerudishwa kwa subordinate nini kitatukia?
Ukweli utabaki pale pale, kero za wananchi ni nyingi mno na hazitatuliwi!
Sawa ni KATIBAMkuu !!hizo Ziara mama kalazimishwa tu na hao waliompigania aapishwe kuwa namba moja!!Mama hataki kufanya kazi za watendaji na wakuu wa wilaya sema tetesi zinasema kachimbwa biti eti kaacha Legacy na Mwendazake!!!
Ni vyema huu utaratibu ukaendelezwa kwani unampa Rais nafasi ya kusikia matatizo ya wananchi moja Kwa moja.
Sawa ni KATIBAAsipo kuelewa hapa,basi hawezi tena kukuelewa hadi na yeye limkute la kupiga kwata kwenye office za Umma hadi soli ya kiatu inaisha lakini bado bila bila!!