Rais Samia hatuhitaji tena ziara zako za barabarani, hazina msaada wowote kwetu

Watu mnamaneno.
Ushauri msimseme sana Rais,njia pekee msiejitokeze barabarani kwani Hamna uvumilivu kama ambavyo Magu hakuwa mvumilivu.
Mfano Shaka alimtumbua.
RC Makala vivyo hivyo.
Leo viongozi tena.Mama mvumilivu anafuta taratibu.

Hoja ya kusikiliza watu barabarani kwa mda mfupi nimeona hakumfai,siyo karama yake ya papo kwa papo.
 
Hiyo ni kwa sababu Mama ni muongeaji kuliko vitendo, akiongea unapata matumaini unaona sasa tunaelekea pazuri ila anafeli kwenye utekelezaji.
Kwahiyo hata mimi sijaona sababu kwa yeye kusikiliza hizo kero za watu maana zinahitaji utekelezaji na kuishia kusikiliza tu na hapo ndio penye udhaifu wake.

Zama za unanijua mimi ni nani zimerudi.
 
Asipo kuelewa hapa,basi hawezi tena kukuelewa hadi na yeye limkute la kupiga kwata kwenye office za Umma hadi soli ya kiatu inaisha lakini bado bila bila!!
 
Wengine tunazihitaji Sana
 
Uko sahihi 100%
Acha ujinga. Rais anapaswa kujibu hoja za kitaifa zaidi, ambazo haziwezi kutatuliwa na wasaidizi wake walioko chini huko.
Vinginevyo mtampelekea hata kesi zenu za ndoa!

Pia huwezi toa hukumu kwa kusikiliza upande mmoja tu!
 
Matatizo ya watu milioni 60 hayawezi kutatuliwa na mtu. Hao wanaoonewa na kunyimwa haki zao wana mwenyekiti wa kijiji, mtendaji wa kata, diwani, mbunge, mkuu wa wilaya, DED, DAS, RAS, mkuu wa mkoa, Makatibu wakuu, Mawaziri, Mahakama.
Kama huko kote hakuweza kupata haki yake au shida yake kutatuliwa basi amelaaniwa ateseke tu au mfumo ni wa hovyo sana na unapaswa ufumuliwe.
 
Ni vyema huu utaratibu ukaendelezwa kwani unampa Rais nafasi ya kusikia matatizo ya wananchi moja Kwa moja.
 
anatupotezea mda ni heri awe anatoa hotuba tu tunaangalia kwenye tv
Naongea mkono hoja kuna viongozi wenye viburi sana mama akidharau haya ,tegemea uonevu zaidi kwa wanancho
 
Na hapo ndipo tatizo hasa linapoanza kwa watanzania. Kuamini sana habari za vijiweni na udaku wa Instagram kuliko kutumia akili zetu wenyewe. Mtu yupo radhi kuamini udaku kwa vile tu unavuma zaidi hata kama hauna mantiki kuliko kutumia logic yake mwenyewe.

Endapo kulikuwa na mtu yeyote ambae alikuwa na nguvu kwa mama ilikuwa ni kabla ya kuapishwa kwake, baada ya hapo hawana tena kauli juu yake. Sawa sawa na ilivyokuwa kwa Magu, alipopewa madaraka tu hawakumuweza tena.
 
Ki binadamu, kila mtu ana karama yake. Tusiwalinganishe kiutendaji.
 
Sawa si kumwiga mtangulizi bali kurekebisha katiba yetu ili ikidhi haja ya uwajibikaji.
 
Katika utatuzi wa kero JPM aling'ara sana, he was talented, it will take us decades to see that happening again, mama hajakaa kikazi yupo kimaonyesho zaidi
KATIBA
 
Sawa ni KATIBA
 
Mkuu !!hizo Ziara mama kalazimishwa tu na hao waliompigania aapishwe kuwa namba moja!!Mama hataki kufanya kazi za watendaji na wakuu wa wilaya sema tetesi zinasema kachimbwa biti eti kaacha Legacy na Mwendazake!!!
Sawa ni KATIBA
 
Hiyo sio kazi ya Rais.Mwenye Kazi ya kutatua matatizo yako moja kwa moja ni ya balozi au mwenyekiti wako wa kijiji.
Ni vyema huu utaratibu ukaendelezwa kwani unampa Rais nafasi ya kusikia matatizo ya wananchi moja Kwa moja.
 
Asipo kuelewa hapa,basi hawezi tena kukuelewa hadi na yeye limkute la kupiga kwata kwenye office za Umma hadi soli ya kiatu inaisha lakini bado bila bila!!
Sawa ni KATIBA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…