jkipaji JF-Expert Member Joined Sep 22, 2019 Posts 6,963 Reaction score 9,401 Jul 9, 2021 #41 The got said: Sawa ni KATIBA Click to expand... Sasa mtu kutekeleza jukumu lake kwa wakati Katiba hapo inaiingiaje!? Mbona kuna wengine ndani ya hizo hizo office za Umma wanatimiza wajibu wao na kazi zao kwa wakati!!?
The got said: Sawa ni KATIBA Click to expand... Sasa mtu kutekeleza jukumu lake kwa wakati Katiba hapo inaiingiaje!? Mbona kuna wengine ndani ya hizo hizo office za Umma wanatimiza wajibu wao na kazi zao kwa wakati!!?
Alvajumaa JF-Expert Member Joined Jul 5, 2018 Posts 5,039 Reaction score 6,253 Jul 9, 2021 #42 Saint Ivuga said: Hii style haina msaada wowote, zaidi anatusababishia foleni na kutupotezea muda. Click to expand... Ukisafiri Dar to Dom vice versa lazima ukae foleni kupisha msafara
Saint Ivuga said: Hii style haina msaada wowote, zaidi anatusababishia foleni na kutupotezea muda. Click to expand... Ukisafiri Dar to Dom vice versa lazima ukae foleni kupisha msafara
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Jul 9, 2021 #43 Ngoja tuone... Kama alisema hivyo wataendelea kumsumbua huyo mama...