My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,932
- 13,306
- Thread starter
-
- #41
CCM ni jini makata,lililo juu ya uso wa Tanzania,na tumeanza kulikatakataHuyu mama aliishatangazwa "Dead On Arrival" toka siku ile alipoapishwa kushika hatamu za uongozi.
Ccm wanaamini njia pekee ya kuweza kuwafanya waendelee kung'ang'ania madarakani ni kutawala kiimla kwa kutumia polisi, tume yao ya uchaguzi na usalama wa taifa.
Kuwakumbusha tu ni kwamba hata iliyokuwa USSR ilikuwa na hivyo vyombo tena vya kutisha acha hawa waganga njaa wao lakini bado utawala wao ulisambaratika vibaya.
Hapo Sawa. Nlidhani yaani ukipingana nayo unakufa. πππππSio hivyo, maana yake ni kwamba haiwezekani kuiua....utakufa wewe utaiacha Chadema ikiwa hai, βοΈβοΈβοΈ
Nazijua Ratiba za watu waovu Kama CCM,waovu hufa kabla ya muda wao kufika,umesikia wewe takataka?Jibu swali, ratiba za watu kufa wewe unazijua?
Ooo kumbe wewe ni DELUDED Kama yule aliyesema ATAMFUFUA DADA MBUNGE?!!π€£CCM ni jini makata,lililo juu ya uso wa Tanzania,na tumeanza kulikatakata
Hakuna anayedai kuwa anayeshindana na chadema anakufa, isipokuwa yule aliyeapa kufuta kwa ununuzi, kutumia DEDs, polisi, DCs n.k akaja kufutika mwenyewe. Point hapa ni kwamba CDM ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo bila kujali yoyote ile juu yake.YUPO HAI. SO AMEFANIKIWA. IKIWA MNADAI KILA ANAYESHINDANA NA CDM ANAKUFA. HUO NI UONGO.
Kumbe wewe ni DELUDED....Nazijua Ratiba za watu waovu Kama CCM,waovu hufa kabla ya muda wao kufika,umesikia wewe takataka?
Kwa hiyo kipimo cha muda wa mtu kuishi kwako wewe ni kumaliza madaraka? Yule Mbunge wa Kigoma, Dr Bilago wa Chadema naye alikuwa muovu?Nazijua Ratiba za watu waovu Kama CCM,waovu hufa kabla ya muda wao kufika,umesikia wewe takataka?
Mwigulu alikuwa rais?TUSIDANGANYANE KUWA KUIZUIA CHADEMA KUNASABABISHA MTU AFE. HUU NI UJINGA. HAKUNA ALIYEPAMBANA NA CHADEMA KAMA MWIGULU.HAKUNA. MI NAKWAMBIA.
AminaMungu awalaani hawa watu.
Chama kina mbunge mmoja (tena ameasi chama) ila kelele zake mitandaoni ni kama wana 2/3 ya wabunge bungeni, mnasubiriwa feld tar 5 kama alivyotangaza katibu wenu.
Hahitaji kuwa Rais. Kapambana sana na chadema kulijo hata rais magufuli.Mwigulu alikuwa rais?
Inaweza ikakuua vile vile kwa stress ππππHapo Sawa. Nlidhani yaani ukipingana nayo unakufa. πππππ
Hana mpango wa kugombea na hilo ndio linamfanya aamue kufanya huu unyama wake anaoufanya2025 inatakiwa mama akapumzike.Washamchoka mapema hata vijijini tozo, mafuta bei juu.Ccm bye bye.
Chadema kinajimaliza chenyewe sana mtu kama Mdude naye ni sehemu yenu mnategemea nini hapo ?
Dkt Slaa arudi kuokoa jahazi maana linakwenda kuzama
Hahitaji kuwa Rais. Kapambana sana na chadema kulijo hata rais magufuli.
Endelea kuombea upepo, Samia anatoboa hadi 2030, then anachukua MwiguluKifo kipo, ila kina muda wake, Magufuli alikufa kabla ya muda kwa sababu ya ushenzi wake, subirini muone kitakachompata Samia majuha nyie
Aliyemuweka ndie mwenye password ya kumuondoaWatapita wanachama wote walio sasa....CCM ITABAKI.....
KUMSHAMBULIA kidharau mwenyekiti wetu wa CCM ni kukishambulia CHAMA na kila mmoja wetu......
GWAJIMA AFUKUZWE CCM