Pre GE2025 Rais Samia hawezi kushinda 2025, hawatathubutu kumpa kadi kugombea Urais

Pre GE2025 Rais Samia hawezi kushinda 2025, hawatathubutu kumpa kadi kugombea Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
1. hakuna Mwanaume wa Kiafrika anaweza mchagua Mwanamke kwenye nafasi ya Urais,
2.vilevile hata hao hao Wanawake hawapendi Mwanamke mwenzake amuongoze.
3.Hakuna Mtanzania kutoka Bara anaweza kumchagua Mtanzania Mzanzibar kumuongoza.
4.Hakuna Mkiristo anaweza mpa kura Muislam,na kwa Tanzania karibu 80% ni Wakristo.

Anayebisha na abishe but kwenye mambo ya uchaguzi hivyo ndio vitu watu huviangalia.
SAMIA hata umsimamishe na mimi,lazima nitachaguliwa MIMI kwa sababu za hapo juu.
Afya ya akili
 
Acha uwongo, mama analindwa na Kila mmoja.
Unaandika uongo mpaka akili na vidole vinashindwa kukubaliana.
Ulitaka kuandika "anapendwa", lakini vidole vimeandika "analindwa"!
 
Hii nchi kusipokuwa na wizi wa kura, ccm mapema tu ananyang'anywa nchi, kwa upinzani uwepo wa chura kiziwi ni faida. Hajawahi kutusaidia Watanganyika tofauti na kutuibia rasilimali zetu.
 
Watanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya.

Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata huko kwenu, mnajivunga kuonyesha mpo pamoja na mama ilihali mko mbali naye kwa hatua milioni.

Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi.

Lakini kwa ujumla wake, wananchi wameuchoka kabisa uongozi huu.

Laiti kungelikuwa na kinasa sauti kinachonasa mawimbi ya sauti kutoka pande zote za nchi.

Kuna wakati kwa hali ya ubinadamu, Unaweza kuchomoka ukaziacha ofis ukaenda Oman kula bata, vinginevyo, ukiwa huna huruma, unawasweka ndani wananchi wako karibu asilimia 80.

Narudia tena kwa ushauri, ili kuepuka dhahama ya CCM kudhalilishwa, wekeni mgombea mwingine.

La hamtaki, kitakachowaponya, ni ule ujasiri wenu wa kutojali maisha ya wengine, basi mjipange kisawasawa kuiba kura kwa kuchota na siyo kwa kudonoa donoa.

cc: Tlaatlaah
Tena naomba hili mama lishindwe kabisa halifai hata kidogo
 
Watanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya.

Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata huko kwenu, mnajivunga kuonyesha mpo pamoja na mama ilihali mko mbali naye kwa hatua milioni.

Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi.

Lakini kwa ujumla wake, wananchi wameuchoka kabisa uongozi huu.

Laiti kungelikuwa na kinasa sauti kinachonasa mawimbi ya sauti kutoka pande zote za nchi.

Kuna wakati kwa hali ya ubinadamu, Unaweza kuchomoka ukaziacha ofis ukaenda Oman kula bata, vinginevyo, ukiwa huna huruma, unawasweka ndani wananchi wako karibu asilimia 80.

Narudia tena kwa ushauri, ili kuepuka dhahama ya CCM kudhalilishwa, wekeni mgombea mwingine.

La hamtaki, kitakachowaponya, ni ule ujasiri wenu wa kutojali maisha ya wengine, basi mjipange kisawasawa kuiba kura kwa kuchota na siyo kwa kudonoa donoa.

cc: Tlaatlaah
Upo sahihi kabisa!!

Ukienda kule vijijini ndani kabisa ndo utashangaa namna ambavyo hata kina mama wazee wasivyotaka hata kusikia jina lake!!

Na huenda analijua Hilo ndo maana wameajiriwa Machawa wengi. Bahati mbaya Machawa ndo wanakitia zaidi chumvi kidonda
 
Unadhani nani anweza kumnyima mama kura.? Amefanya mazuri mengi, Leo hiii mnapita mnabwabwaja hovyo mitaani si ni huruma yake, Acha bangi dada
2025 hatutaki madalali wanouza Mali za BARA. Kama Bandari,mbuga za wanyama, na Kufukuzwa watanzania wanaovaa shuka za draft dogdog kwenye ardhi yao ya asili na kuwapeleka UTUMWANI MSOMERA.

Ni wakati wake akapunzike KIZIMKAZI 😅 😅
 
Watanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya.

Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata huko kwenu, mnajivunga kuonyesha mpo pamoja na mama ilihali mko mbali naye kwa hatua milioni.

Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi.

Lakini kwa ujumla wake, wananchi wameuchoka kabisa uongozi huu.

Laiti kungelikuwa na kinasa sauti kinachonasa mawimbi ya sauti kutoka pande zote za nchi.

Kuna wakati kwa hali ya ubinadamu, Unaweza kuchomoka ukaziacha ofis ukaenda Oman kula bata, vinginevyo, ukiwa huna huruma, unawasweka ndani wananchi wako karibu asilimia 80.

Narudia tena kwa ushauri, ili kuepuka dhahama ya CCM kudhalilishwa, wekeni mgombea mwingine.

La hamtaki, kitakachowaponya, ni ule ujasiri wenu wa kutojali maisha ya wengine, basi mjipange kisawasawa kuiba kura kwa kuchota na siyo kwa kudonoa donoa.

cc: Tlaatlaah
Nina wafahamu wanachama wa ccm mamia ambao hawako tayari kumchagua 2025
 
Watanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya.

Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata huko kwenu, mnajivunga kuonyesha mpo pamoja na mama ilihali mko mbali naye kwa hatua milioni.

Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi.

Lakini kwa ujumla wake, wananchi wameuchoka kabisa uongozi huu.

Laiti kungelikuwa na kinasa sauti kinachonasa mawimbi ya sauti kutoka pande zote za nchi.

Kuna wakati kwa hali ya ubinadamu, Unaweza kuchomoka ukaziacha ofis ukaenda Oman kula bata, vinginevyo, ukiwa huna huruma, unawasweka ndani wananchi wako karibu asilimia 80.

Narudia tena kwa ushauri, ili kuepuka dhahama ya CCM kudhalilishwa, wekeni mgombea mwingine.

La hamtaki, kitakachowaponya, ni ule ujasiri wenu wa kutojali maisha ya wengine, basi mjipange kisawasawa kuiba kura kwa kuchota na siyo kwa kudonoa donoa.

cc: Tlaatlaah
Mkishapigwa ooh tumeibiwa wakati serikali za mitaa tu hamna mnachoambulia, akili za chadema wakati mwingine vichekesho tu
 
Watanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya.

Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata huko kwenu, mnajivunga kuonyesha mpo pamoja na mama ilihali mko mbali naye kwa hatua milioni.

Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi.

Lakini kwa ujumla wake, wananchi wameuchoka kabisa uongozi huu.

Laiti kungelikuwa na kinasa sauti kinachonasa mawimbi ya sauti kutoka pande zote za nchi.

Kuna wakati kwa hali ya ubinadamu, Unaweza kuchomoka ukaziacha ofis ukaenda Oman kula bata, vinginevyo, ukiwa huna huruma, unawasweka ndani wananchi wako karibu asilimia 80.

Narudia tena kwa ushauri, ili kuepuka dhahama ya CCM kudhalilishwa, wekeni mgombea mwingine.

La hamtaki, kitakachowaponya, ni ule ujasiri wenu wa kutojali maisha ya wengine, basi mjipange kisawasawa kuiba kura kwa kuchota na siyo kwa kudonoa donoa.

cc: Tlaatlaah
Rais wenu 2025 ni JANUARY MAKAMBA Mtake mstake, ndo hivo tena
 
Usikaliri mkuu, hata supu huungwa!

Na jana siyo leo chief
Hamna kitu ,chadema bado sana mziki upo zanzibar kwa act, ila huku ni kelele tu ila majority huwa wana imani na ccm kuliko taasisi ya familia chadema
 
Back
Top Bottom