Pre GE2025 Rais Samia hawezi kushinda 2025, hawatathubutu kumpa kadi kugombea Urais

Pre GE2025 Rais Samia hawezi kushinda 2025, hawatathubutu kumpa kadi kugombea Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa mjibu wa ilani ya ccm, mambo waliojiwekea kuyatekereza, na waliyowaahidi wananchi, imetekerezwa 27% tu

Tunaanza vipi kumpa kura tena huyo maza wako mkuu?
Huu ni uongo,Wana ccm ndio wanakiri kwamba Samia ndio Rais wa kwanza kutekeleza ilani Kwa Ukubwa zaidi.

Hayo ya 27% wewe umeyatoa wapi? Acha uzushi basi,chuki,fitina na majungu hata kama hupendi Kwa sababu binafsi.

Anaanza ziara Nyanda za Juu Kusini stay tuned uone utiti wa miradi atakayozindua na kuwekaawe ya msingi.
 
Huu ni uongo,Wana ccm ndio wanakiri kwamba Samia ndio Rais wa kwanza kutekeleza ilani Kwa Ukubwa zaidi.

Hayo ya 27% wewe umeyatoa wapi? Acha uzushi basi,chuki,fitina na majungu hata kama hupendi Kwa sababu binafsi.

Anaanza ziara Nyanda za Juu Kusini stay tuned uone utiti wa miradi atakayozindua na kuwekaawe ya msingi.
Mkuu, rejea Ilani ya maccm ya mwaka 2020 ya miaka mitano hadi 2025 kipengele kidogo tu cha miundombinu

Mliahidi mtajenga flyover 7 kwa jiji la Dar, mwanza flyover 2 Dodoma mtajenga sjui barabara za kuzunguka mji wote,

Mpaka sasa kwa Dar, mmejenga mbili pekee, mwanza hakuna hata upembuzi yakinifu, Dodoma ho laa na sasa mna miezi kadhaa tu kuwepo uongozini, mtaweza sasa kutimiza ahadi zenu hizo?

Na kwa mantiki hii ndogo, jipe sasa ni asilimia ngapi mliotekereza maana 27 unakataa
 
Mkuu, rejea Ilani ya maccm ya mwaka 2020 ya miaka mitano hadi 2025 kipengele kidogo tu cha miundombinu

Mliahidi mtajenga flyover 7 kwa jiji la Dar, mwanza flyover 2 Dodoma mtajenga sjui barabara za kuzunguka mji wote,

Mpaka sasa kwa Dar, mmejenga mbili pekee, mwanza hakuna hata upembuzi yakinifu, Dodoma ho laa na sasa mna miezi kadhaa tu kuwepo uongozini, mtaweza sasa kutimiza ahadi zenu hizo?

Na kwa mantiki hii ndogo, jipe sasa ni asilimia ngapi mliotekereza maana 27 unakataa
Sasa kwani ilani imejaa Barabara pekee? Pili Je Barabara zilizotengwa na hazipo kwenye ilani unaziweka wapi? Au ni bonus?

Mwisho ilani inaweza badilika kutokana na mahitaji ya wakati huo na vipaombele vya serikali.mfano Afcon haikuwepo Wala AFC lakini hizo zote zimekula mabilioni ya hela ambazo pengine zingeenda huko,so sio hoja ya msingi unaweza sema tuu kwamba badala ya hiki tumefanya kile.
 
Sasa kwani ilani imejaa Barabara pekee? Pili Je Barabara zilizotengwa na hazipo kwenye ilani unaziweka wapi? Au ni bonus?

Mwisho ilani inaweza badilika kutokana na mahitaji ya wakati huo na vipaombele vya serikali.mfano Afcon haikuwepo Wala AFC lakini hizo zote zimekula mabilioni ya hela ambazo pengine zingeenda huko,so sio hoja ya msingi unaweza sema tuu kwamba badala ya hiki tumefanya kile.
Unatumia logic ya kiongozi bora ni yule anayeweza kujitetea siyo? 😏
 
Back
Top Bottom