Afya ya akili1. hakuna Mwanaume wa Kiafrika anaweza mchagua Mwanamke kwenye nafasi ya Urais,
2.vilevile hata hao hao Wanawake hawapendi Mwanamke mwenzake amuongoze.
3.Hakuna Mtanzania kutoka Bara anaweza kumchagua Mtanzania Mzanzibar kumuongoza.
4.Hakuna Mkiristo anaweza mpa kura Muislam,na kwa Tanzania karibu 80% ni Wakristo.
Anayebisha na abishe but kwenye mambo ya uchaguzi hivyo ndio vitu watu huviangalia.
SAMIA hata umsimamishe na mimi,lazima nitachaguliwa MIMI kwa sababu za hapo juu.
Unaandika uongo mpaka akili na vidole vinashindwa kukubaliana.Acha uwongo, mama analindwa na Kila mmoja.
Tena naomba hili mama lishindwe kabisa halifai hata kidogoWatanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya.
Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata huko kwenu, mnajivunga kuonyesha mpo pamoja na mama ilihali mko mbali naye kwa hatua milioni.
Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi.
Lakini kwa ujumla wake, wananchi wameuchoka kabisa uongozi huu.
Laiti kungelikuwa na kinasa sauti kinachonasa mawimbi ya sauti kutoka pande zote za nchi.
Kuna wakati kwa hali ya ubinadamu, Unaweza kuchomoka ukaziacha ofis ukaenda Oman kula bata, vinginevyo, ukiwa huna huruma, unawasweka ndani wananchi wako karibu asilimia 80.
Narudia tena kwa ushauri, ili kuepuka dhahama ya CCM kudhalilishwa, wekeni mgombea mwingine.
La hamtaki, kitakachowaponya, ni ule ujasiri wenu wa kutojali maisha ya wengine, basi mjipange kisawasawa kuiba kura kwa kuchota na siyo kwa kudonoa donoa.
cc: Tlaatlaah
Upo sahihi kabisa!!Watanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya.
Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata huko kwenu, mnajivunga kuonyesha mpo pamoja na mama ilihali mko mbali naye kwa hatua milioni.
Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi.
Lakini kwa ujumla wake, wananchi wameuchoka kabisa uongozi huu.
Laiti kungelikuwa na kinasa sauti kinachonasa mawimbi ya sauti kutoka pande zote za nchi.
Kuna wakati kwa hali ya ubinadamu, Unaweza kuchomoka ukaziacha ofis ukaenda Oman kula bata, vinginevyo, ukiwa huna huruma, unawasweka ndani wananchi wako karibu asilimia 80.
Narudia tena kwa ushauri, ili kuepuka dhahama ya CCM kudhalilishwa, wekeni mgombea mwingine.
La hamtaki, kitakachowaponya, ni ule ujasiri wenu wa kutojali maisha ya wengine, basi mjipange kisawasawa kuiba kura kwa kuchota na siyo kwa kudonoa donoa.
cc: Tlaatlaah
Msikimbilie huko mangi. Ujueni Ukweli ili mlio karibu na Maza mmsaidieAfya ya akili
2025 hatutaki madalali wanouza Mali za BARA. Kama Bandari,mbuga za wanyama, na Kufukuzwa watanzania wanaovaa shuka za draft dogdog kwenye ardhi yao ya asili na kuwapeleka UTUMWANI MSOMERA.Unadhani nani anweza kumnyima mama kura.? Amefanya mazuri mengi, Leo hiii mnapita mnabwabwaja hovyo mitaani si ni huruma yake, Acha bangi dada
mmoja yupi mkuuAcha uwongo, mama analindwa na Kila mmoja.
Nina wafahamu wanachama wa ccm mamia ambao hawako tayari kumchagua 2025Watanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya.
Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata huko kwenu, mnajivunga kuonyesha mpo pamoja na mama ilihali mko mbali naye kwa hatua milioni.
Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi.
Lakini kwa ujumla wake, wananchi wameuchoka kabisa uongozi huu.
Laiti kungelikuwa na kinasa sauti kinachonasa mawimbi ya sauti kutoka pande zote za nchi.
Kuna wakati kwa hali ya ubinadamu, Unaweza kuchomoka ukaziacha ofis ukaenda Oman kula bata, vinginevyo, ukiwa huna huruma, unawasweka ndani wananchi wako karibu asilimia 80.
Narudia tena kwa ushauri, ili kuepuka dhahama ya CCM kudhalilishwa, wekeni mgombea mwingine.
La hamtaki, kitakachowaponya, ni ule ujasiri wenu wa kutojali maisha ya wengine, basi mjipange kisawasawa kuiba kura kwa kuchota na siyo kwa kudonoa donoa.
cc: Tlaatlaah
Njaa yako tu ndiyo inakufikirisha hivyoAcha uwongo, mama analindwa na Kila mmoja.
Mkishapigwa ooh tumeibiwa wakati serikali za mitaa tu hamna mnachoambulia, akili za chadema wakati mwingine vichekesho tuWatanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya.
Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata huko kwenu, mnajivunga kuonyesha mpo pamoja na mama ilihali mko mbali naye kwa hatua milioni.
Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi.
Lakini kwa ujumla wake, wananchi wameuchoka kabisa uongozi huu.
Laiti kungelikuwa na kinasa sauti kinachonasa mawimbi ya sauti kutoka pande zote za nchi.
Kuna wakati kwa hali ya ubinadamu, Unaweza kuchomoka ukaziacha ofis ukaenda Oman kula bata, vinginevyo, ukiwa huna huruma, unawasweka ndani wananchi wako karibu asilimia 80.
Narudia tena kwa ushauri, ili kuepuka dhahama ya CCM kudhalilishwa, wekeni mgombea mwingine.
La hamtaki, kitakachowaponya, ni ule ujasiri wenu wa kutojali maisha ya wengine, basi mjipange kisawasawa kuiba kura kwa kuchota na siyo kwa kudonoa donoa.
cc: Tlaatlaah
Umekuwa Daudi😅😅Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavuMkishapigwa ooh tumeibiwa wakati serikali za mitaa tu hamna mnachoambulia, akili za chadema wakati mwingine vichekesho tu
Rais wenu 2025 ni JANUARY MAKAMBA Mtake mstake, ndo hivo tenaWatanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya.
Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata huko kwenu, mnajivunga kuonyesha mpo pamoja na mama ilihali mko mbali naye kwa hatua milioni.
Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi.
Lakini kwa ujumla wake, wananchi wameuchoka kabisa uongozi huu.
Laiti kungelikuwa na kinasa sauti kinachonasa mawimbi ya sauti kutoka pande zote za nchi.
Kuna wakati kwa hali ya ubinadamu, Unaweza kuchomoka ukaziacha ofis ukaenda Oman kula bata, vinginevyo, ukiwa huna huruma, unawasweka ndani wananchi wako karibu asilimia 80.
Narudia tena kwa ushauri, ili kuepuka dhahama ya CCM kudhalilishwa, wekeni mgombea mwingine.
La hamtaki, kitakachowaponya, ni ule ujasiri wenu wa kutojali maisha ya wengine, basi mjipange kisawasawa kuiba kura kwa kuchota na siyo kwa kudonoa donoa.
cc: Tlaatlaah
Hamna kitu ,chadema bado sana mziki upo zanzibar kwa act, ila huku ni kelele tu ila majority huwa wana imani na ccm kuliko taasisi ya familia chademaUsikaliri mkuu, hata supu huungwa!
Na jana siyo leo chief