Tatizo la chadema lipo hapi, yoyote anaopingana na mawazo yao wanamuona adui, hata zito alipotaka kugombea uenyekiti aluonekana aduiCCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
mpumbavu ni anayeamini eti chadema ikishika nchi shida zake zitaisha, pambana bro hizo ni biashara za wanasiasa hawawezi kubadilisha maisha yakoCCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu
Hizo ni imani potofu tu ,sasa huku na kuke kwenye mwenyekiti wa milelele ,halafu anataka tumpe dola acheni utani na maisha ya watanzaniaNi kwamba, ccm kumezaliana kizazi cha mafisadi tupu
Hakuna mwema kule chief
Mpaka picha ya mwenyekiti inachomea moto watu wamechokaWatanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya.
Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata huko kwenu, mnajivunga kuonyesha mpo pamoja na mama ilihali mko mbali naye kwa hatua milioni.
Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi.
Lakini kwa ujumla wake, wananchi wameuchoka kabisa uongozi huu.
Laiti kungelikuwa na kinasa sauti kinachonasa mawimbi ya sauti kutoka pande zote za nchi.
Kuna wakati kwa hali ya ubinadamu, Unaweza kuchomoka ukaziacha ofis ukaenda Oman kula bata, vinginevyo, ukiwa huna huruma, unawasweka ndani wananchi wako karibu asilimia 80.
Narudia tena kwa ushauri, ili kuepuka dhahama ya CCM kudhalilishwa, wekeni mgombea mwingine.
La hamtaki, kitakachowaponya, ni ule ujasiri wenu wa kutojali maisha ya wengine, basi mjipange kisawasawa kuiba kura kwa kuchota na siyo kwa kudonoa donoa.
cc: Tlaatlaah
Najua unanielewa ila hutaki kiaminiMsikimbilie huko mangi. Ujueni Ukweli ili mlio karibu na Maza mmsaidie
Kupita kubwabwaja ni haki ya raia wala sio upendeleo wa rais. Isitoshe sio cha msingi raia anapigania. Kama una uhuru kubwabwaja kuhusu dhuluma, kukosa haki na usawa kijamii na kiuchumu huo uhuru unasaidia nini?Unadhani nani anweza kumnyima mama kura.? Amefanya mazuri mengi, Leo hiii mnapita mnabwabwaja hovyo mitaani si ni huruma yake, Acha bangi dada
Kusema Dini haina influence kwa nchi kama ya Tanzania ni unafiki na kuukimbia uhalisia, Dini ina influence kubwa , niambie mkuu unadhani kipi kitatokea kama ikitokea CCM wakaweka wagombea wa dini moja awamu mfululizo??Uzi nimeandika mimi, ila kwenye hili nakupinga na ninakuona ni kama mtu uliyetekwa na udini usio na maana yoyote
Dunia ya watu wanaoshindana wajue nini maana ya maendeleo, jambo la udini huliweka mbali sana kwenye sayari isiyofahamika kabisa
Badala yake wanajikita kufanya kazi kwa lengo la kujenga nchi yao isiyo na ubaguzi
Hatumpi Juma kuongoza nchi yetu kwa kigezo cha dini yake, vilevile kwa John
Hao tunawapa kuongoza nchi yetu kama Watanzania na tunaowaamini kwamba, watatusogeza hatua moja mbele
Hayo mabango ni ishara ya yeye kutofahamika kwa wananchi, Ni rais aliyejiweka kwenye possession ya mgombea wa upinzani ilihali yeye ndiye RaisBi mkubwa tunaye mzee hujaona bodaboda na mabango nchi nzima.
We unapiga cha Ara chuga bi dadaDada yako àkiwa mvuta bangi, usichukulie sasa na dada wengine ni wavuta bangi
Haujitambui wewe2025 hatutaki madalali wanouza Mali za BARA. Kama Bandari,mbuga za wanyama, na Kufukuzwa watanzania wanaovaa shuka za draft dogdog kwenye ardhi yao ya asili na kuwapeleka UTUMWANI MSOMERA.
Ni wakati wake akapunzike KIZIMKAZI 😅 😅
Labda kama wewe ndio una chuki zako binafsi ila Mimi Niko na mama Mia Kwa mia.Watanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya.
Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata huko kwenu, mnajivunga kuonyesha mpo pamoja na mama ilihali mko mbali naye kwa hatua milioni.
Tangu nimekuwa kijana na sasa naelekea uzee, sjawahi kusikia manung'uniko ya watu wengi, si wanawake, vijana na hata wazee ingawa wapo wanaomuunga mkono Rais kwenye kada ya kilimo nao si wengi.
Lakini kwa ujumla wake, wananchi wameuchoka kabisa uongozi huu.
Laiti kungelikuwa na kinasa sauti kinachonasa mawimbi ya sauti kutoka pande zote za nchi.
Kuna wakati kwa hali ya ubinadamu, Unaweza kuchomoka ukaziacha ofis ukaenda Oman kula bata, vinginevyo, ukiwa huna huruma, unawasweka ndani wananchi wako karibu asilimia 80.
Narudia tena kwa ushauri, ili kuepuka dhahama ya CCM kudhalilishwa, wekeni mgombea mwingine.
La hamtaki, kitakachowaponya, ni ule ujasiri wenu wa kutojali maisha ya wengine, basi mjipange kisawasawa kuiba kura kwa kuchota na siyo kwa kudonoa donoa.
cc: Tlaatlaah
Kwa nini wanaopendwa wao wasigombee chama tofauti na CCM?Mwambie basi agombee chama tofauti na ccm halafu tuone huko kupendwa kwake.
Kwa sababu ukigombea kupitia ccm hata kama haupendwi bado una nafasi kubwa ya kushinda, watu wanaangalia chama zaidi. Kama Samia anaamini anapendwa agombee nje ya ccm kama Lowassa halafu tuone.Kwa nini wanaopendwa wao wasigombee chama tofauti na CCM?
Mnajaribu ku undermine Samia kisa Mzanzibari si ndio?
Rais yupi amewahi deliver kumshinda Samia au nyie mna vigezo vyenu vya Urais? Tujuze basi
Asiyejitambua ni wewe ambaye,unashindwa kuelewa ubaya wa Mnada wa naliasili zetu.Haujitambui wewe
We ni kilaza1. hakuna Mwanaume wa Kiafrika anaweza mchagua Mwanamke kwenye nafasi ya Urais,
2.vilevile hata hao hao Wanawake hawapendi Mwanamke mwenzake amuongoze.
3.Hakuna Mtanzania kutoka Bara anaweza kumchagua Mtanzania Mzanzibar kumuongoza.
4.Hakuna Mkiristo anaweza mpa kura Muislam,na kwa Tanzania karibu 80% ni Wakristo.
Anayebisha na abishe but kwenye mambo ya uchaguzi hivyo ndio vitu watu huviangalia.
SAMIA hata umsimamishe na mimi,lazima nitachaguliwa MIMI kwa sababu za hapo juu.
Kwa mjibu wa ilani ya ccm, mambo waliojiwekea kuyatekereza, na waliyowaahidi wananchi, imetekerezwa 27% tuLabda kama wewe ndio una chuki zako binafsi ila Mimi Niko na mama Mia Kwa mia.
Yaani huyo mwingine unaemtaka wewe aje Kwa lipi hasa atakaloongeza ambalo Sasa hivi limepungua?
Sasa wewe Samia vs Magufuli ungemchagua Magufuli? Kwa kipi Cha maana kwenye maisha alichoweka hasa?