Labda aliacha maagizoWatu mlisema Magufuli ndio alikua anapoteza watu, Magufuli alishakufa miezi 10 iliyopita lakini bado watu wanapotea, wanauwawa, miili inaokotwa hovyo , sijuo bado Magufuli ndio anawaua kutoka huko kuzimu ama lah.
Wakikujibu ni tag tafadhali.Sasa nyie ccm mbona mnawaua watu bila hatia?
Toeni majibu.Hili jambo halihitaji siasa zenu za CCM na CHADEMA.
Pamoja na hayo yote, Magufuli was a beast!, angeendela kuwepo tungefika point ya "wabaya" wake kuuliwa mbele ya hadhara.....anakutenda kisha anazuia wengine wasi- sympathize nawe.Acha upumbavu wako! Hata wakati wa kikwete watu walikuwa wanauliwa kama mwanahabari Mwangosi, Dr Mvungi,Mtikila pia alipata ajali ya ajabu ajabu pia Dr Ulimboka alitekwa,mauaji ya waandamanaji Arusha, Jeshi la polisi kuua wauza madini Morogoro na matukio ya ujambazi kila kona ya nchi! Wewempumbavu unakuja kuongea ujinga hapa! Huyo bibiako mbona kila siku misiba ya mauaji? Basi sema anawaua Rais Samia!
Mauaji ya kutisha sasa ni nchi nzima...Watu mlisema Magufuli ndio alikua anapoteza watu, Magufuli alishakufa miezi 10 iliyopita lakini bado watu wanapotea, wanauwawa, miili inaokotwa hovyo , sijuo bado Magufuli ndio anawaua kutoka huko kuzimu ama lah.
Magufuli hayupo lakini wale watekelezaji wa mauaji bado wapo kwenye mifumo, serikali inapaswa kufanya uchunguzi huru dhidi ya huu upotevu na uuaji, wahusika wachukuliwe hatua kaliWatu mlisema Magufuli ndio alikua anapoteza watu, Magufuli alishakufa miezi 10 iliyopita lakini bado watu wanapotea, wanauwawa, miili inaokotwa hovyo , sijuo bado Magufuli ndio anawaua kutoka huko kuzimu ama lah.
Jpm alikuwa anaua wahalifu kikwete alikuwa anaua masikiniKwani Ni uongo magufuli alikuwa haui? Extent ya jpm kuua ilikuwa extreme!!
Ujinga ni kuamini kila mtu anayepotea eti ni serikali inahusikaMheshimiwa Rais, naomba nichukue nafasi hii nikupongeze kwa mambo mengi mazuri unayoyafanya ila kwa hili la watu kuanza kupotea kwenye utawala wako tayari ni doa kwenye serikali yako. Wiki mbili zilizopita kuna habari zimetokea magazeti kuwa kuna vijana watano wamepotea wakiwa wanaenda kusherekea Krismasi kwenye fukwe hapa Dar es Salaam.
Kwa maelezo yao ni kuwa walikamatwa na Police na wakawa wanapelekwa central police, baada ya hapo hawakusikika tena hadi leo wiki ya tatu licha ya jitihada za kuwatafuta kwenye vituo vya police zote za Dar, kwenye mahospitali na mortuaries zote. Hii style tuliona wakati wa utawala wa awamu ya tano ya Magufuli na wewe ukiwa makamo wa rais, tumeona yaliyompata Azory Gwanda, Ben Saanane, Roma Mkatoliki na wengine wengi waliokuwa wakiokotwa kwenye magunia na viroba.
Mheshimiwa Samia, nikuulize swali moja. Je, bado unayaendeleza yale yale ya kupoteza watu na kuwatupa mtoni? Mbona wewe unajifanya muislamu safi? Je, dini yako inaruhusu uue na kupoteza watu?
Au unashindwa kuwakemea huyo Sirro na polisi wake? Haya ndiyo yale mambo yaliyofanyika miaka iliyopita ya akina Abdallah Zombe na wenzake walivyowauwa vijana wasio na makosa wafanyabiashara wa madini na kuwaibia pesa zao? Haya ndiyo yale yale ya kuwaua vijana wapatao 7 Arusha waliokamatwa na polisi kwa kushukiwa kuwa wanapanga kuvizia na kuiba kwenya gari la benki lililokuwa likipeleka pesa Kiteto?
Inasikitisha kuona wananchi wanatoka majumbani mwao lakini hawarudi. HATA KAMA NI WASHUKIWA NA WAMEKAMATWA, KUNA TARATIBU ZAKE ZA KUPELEKWA MAHAKAMA NA FAMILIA ZAO KUFAHAMISHWA. Wewe mheshimiwa Rais Samia kwenye hotuba moja ulisema ulikamatwa kwa kosa la taa ya gari kutokuwaka. Je, ungewekwa mahabusu au kuumizwa, je familia yako ingefanyaje? Haingekuwa simanzi? Usifurahie mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu uchungu!
Hivi rais Samia unaona raha gani raia wako wakipotezwa au wakiuawa? Kweli una roho ngumu kiasi hiki kama Adolf Hitler! Onea huruma raia wako. Usifurahie unayoyaona, kama unafurahia ujue kuna KARMA.
HADI LINI WATU WATAENDELEA KUPOTEA?
kwahiyo matajiri siyo watu?Kitu kimoja tu Ambacho nina uhakika nacho LEGACY ALIYOIACHA MAGUFULI hakuna rais anaweza fika hata nusu yake...!!! Alivyothamini watu wenye vipato vya hali ya chini ilikuwa namna ya kipekee sana.. Leo tunakatwa buku buku kila kona na bado mtu akiongelea kuhusu Kukopa anaonekana ni Adui.. Safari ni ndefu sana bado yani tutafika hoiii
Nilidhani Magufuli amefufuka maana mlidai ndo alikuwa mtekaji na muuaji
Watu mlisema Magufuli ndio alikua anapoteza watu, Magufuli alishakufa miezi 10 iliyopita lakini bado watu wanapotea, wanauwawa, miili inaokotwa hovyo , sijuo bado Magufuli ndio anawaua kutoka huko kuzimu ama lah.
Si mlisema ni Magufuli ndio anaua na kuteka watu?
Mambo vipi jamaa zangu, wafuasi wa hayati Mzilankende!Kuna wapumbavu humu walikuwa wanadai alikuwa anaya watu! Vipi kashafufuka? Maana kila kona ya nchi watu wanauana na sasa wameanza kupotea! Yaani kuna watu wajinga sana kazi kushabikia kisaunachuki na mtu!
Silly comment from stupid people no wonderJpm ameua watu wengi Sana akaamua na yeye kujiua
Hiyo sana unaipimaji Kuanzia kipindi cha nyerere mkapa na kikwetuWatu kupotezwa na kuuawa kwenye awamu ya sita hakuondoi ukweli wa kuwa Jiwe alikuwa muuaji na watu walipotezwa sana kipindi cha utawala wake.
List ya wahanga wa Magufuli ipo na itawatesa sana walinda legacy (sukuma gang).Unavosema extreme, utadhani una evidences zote, kumbe ni mboyoyo tu na hearsays. Woi
Jiangalie dogo utapigwa para soon! Naona unakosa adabu
Jpm alikuwa anaua wahalifu kikwete alikuwa anaua masikini
Kwa hiyo unaacha tajiri asilipe kodi ya Mabilion unaenda kukata buku buku kwa kapuku???kwahiyo matajiri siyo watu?
Wewe kweli ni kichaa hivi mauaji ya aldino na kipindupindu ,na kufukiwa kwa wachimbaji wadogo wa madini ,na kijiji kumwakiwa tindikali za sumu ili beberu achukue ardhi yao hayo yote wewe ulikuwa wapi ? Labda ujui kwanini wakati wa magufuli ujambazi ulipungua kwa 90% na mauaji ya aldino yakakomaKikwete hajawahi kuua mtu.