Rais Samia, haya mambo ya kupotea watu ni doa kwenye serikali yako

Pamoja na hayo yote, Magufuli was a beast!, angeendela kuwepo tungefika point ya "wabaya" wake kuuliwa mbele ya hadhara.....anakutenda kisha anazuia wengine wasi- sympathize nawe.
 
Watu mlisema Magufuli ndio alikua anapoteza watu, Magufuli alishakufa miezi 10 iliyopita lakini bado watu wanapotea, wanauwawa, miili inaokotwa hovyo , sijuo bado Magufuli ndio anawaua kutoka huko kuzimu ama lah.
Magufuli hayupo lakini wale watekelezaji wa mauaji bado wapo kwenye mifumo, serikali inapaswa kufanya uchunguzi huru dhidi ya huu upotevu na uuaji, wahusika wachukuliwe hatua kali
 
Chadema wapo kimya siku hizi kuhusu mauaji maana wao waliusika kutengeneza uongo wa kumsingizia JPM ,kikundi cha mafisadi wa mzee wa msoga ndiyo kilichokuwa kinausika na hayo mambo ya kuua kwa kuchafua serikali ya awamu ya 5 ndani yake kuna wafanya biashara mafisadi papa ,wauza ngada ,washirikina nguli, na kila aina ya WAHUNI
 
Ulipoingizia tu"unajifanya muislam safi nikajua tu huyu mnafki
 
Ujinga ni kuamini kila mtu anayepotea eti ni serikali inahusika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwahiyo matajiri siyo watu?
 
Nilidhani Magufuli amefufuka maana mlidai ndo alikuwa mtekaji na muuaji
Watu mlisema Magufuli ndio alikua anapoteza watu, Magufuli alishakufa miezi 10 iliyopita lakini bado watu wanapotea, wanauwawa, miili inaokotwa hovyo , sijuo bado Magufuli ndio anawaua kutoka huko kuzimu ama lah.
Si mlisema ni Magufuli ndio anaua na kuteka watu?
Kuna wapumbavu humu walikuwa wanadai alikuwa anaya watu! Vipi kashafufuka? Maana kila kona ya nchi watu wanauana na sasa wameanza kupotea! Yaani kuna watu wajinga sana kazi kushabikia kisaunachuki na mtu!
Mambo vipi jamaa zangu, wafuasi wa hayati Mzilankende!
 
Unavosema extreme, utadhani una evidences zote, kumbe ni mboyoyo tu na hearsays. Woi
List ya wahanga wa Magufuli ipo na itawatesa sana walinda legacy (sukuma gang).

Yeye mwenyewe alitangaza hadharani kuwa angewapoteza robo ya wajumbe wa NEC walioimba wana imani na Lowasa.

Yeye kwa mdomo wake alitoa amri kwa vyombo vya usalama kumuua mpinzani wa kisiasa Mh. Tundu Lissu.

Kupitia wanajeshi wa JWTZ alipora korosho za wakulima mikoa ya kusini.

Kupitia lile kundi aliloliasisi la utekaji, waliteka, kuua na kupora mali za watu, kuanzia kuchukua fedha kwenye akaunti bila maelezo, kubambikia kodi, n.k.

Mtu maarufu kabisa aliyetekwa na kunusurika kuuliwa alikuwa Mo. Sote tunajua.
 
Jiangalie dogo utapigwa para soon! Naona unakosa adabu

Huyo mnae bishana nae ndio picha halisi ya wanao mtukana magu kila siku humu then pima akilizao ndio utajua niwatu wa namna gani.

Niwalopokaji tu na wanafaa kupuuzwa.
 
Kikwete hajawahi kuua mtu.
Wewe kweli ni kichaa hivi mauaji ya aldino na kipindupindu ,na kufukiwa kwa wachimbaji wadogo wa madini ,na kijiji kumwakiwa tindikali za sumu ili beberu achukue ardhi yao hayo yote wewe ulikuwa wapi ? Labda ujui kwanini wakati wa magufuli ujambazi ulipungua kwa 90% na mauaji ya aldino yakakoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…