Rais Samia, haya mambo ya kupotea watu ni doa kwenye serikali yako

Rais Samia, haya mambo ya kupotea watu ni doa kwenye serikali yako

Acha upumbavu wako! Hata wakati wa kikwete watu walikuwa wanauliwa kama mwanahabari Mwangosi, Dr Mvungi,Mtikila pia alipata ajali ya ajabu ajabu pia Dr Ulimboka alitekwa,mauaji ya waandamanaji Arusha, Jeshi la polisi kuua wauza madini Morogoro na matukio ya ujambazi kila kona ya nchi! Wewempumbavu unakuja kuongea ujinga hapa! Huyo bibiako mbona kila siku misiba ya mauaji? Basi sema anawaua Rais Samia!
Usiwe unajibu hoja ya mtu bila kuelewa. Ulichoandika inaonekana au huwa husomi, au huna uelewa.

Nimeeleza kuwa mfumo wa kuteka na kuua watu, ni dhahiri haukuasisiwa na Magufuli, lakini bila shaka aliuimarisha, maana kipindi chake mauaji na utekaji, yaligeuka kuwa matukio ya kawaida, lakini hata huko nyuma yalikuwepo ingawa siyo kwa kiwango kikubwa kama wakati wa Magufuli.

Unakimbilia kuita watu wapumbavu. Mwendawazimu, kitu asichokiweza ni kijenga hoja. Watu wenye uwendawazimu, hata wanaopita wanaokota makopo majalalani, wanachoweza ni kutukana. Ukiona unapenda sana kutukana, ni dalili mojawapo kuwa umeanza kufikiwa na magonjwa ya akili, wahi hospitali.
 
Wewe kweli ni kichaa hivi mauaji ya aldino na kipindupindu ,na kufukiwa kwa wachimbaji wadogo wa madini ,na kijiji kumwakiwa yindikali za sumu ili beberu achukue ardhi yao hayo yote wewe ulikuwa wapi ? Labda ujui kwanini wakati wa magufuli ujambazi ulipungua kwa 90% na mauaji ya aldino yakakoma
Huyo hajui! Chacha wange,Dr Mvungi,mwandishi wa habari Mwangosi, Mauaji ya albino, Kutekwa kwa Dr ulimboka,Kifo cha Amina chifupa baada ya kutishia kutaja wauza ngada! ujambazi kila kona ya nchi,mauaji ya waandamanaji arusha n.k Huyo taahira achana nae! Ni moja ya wapumbavu kila Siku Magufuli mitandaoni hata akishindwa kumpa mimba mke wake anasingizia Magufuli!
 
Mheshimiwa Rais, naomba nichukue nafasi hii nikupongeze kwa mambo mengi mazuri unayoyafanya ila kwa hili la watu kuanza kupotea kwenye utawala wako tayari ni doa kwenye serikali yako. Wiki mbili zilizopita kuna habari zimetokea magazeti kuwa kuna vijana watano wamepotea wakiwa wanaenda kusherekea Krismasi kwenye fukwe hapa Dar es Salaam.

Kwa maelezo yao ni kuwa walikamatwa na Police na wakawa wanapelekwa central police, baada ya hapo hawakusikika tena hadi leo wiki ya tatu licha ya jitihada za kuwatafuta kwenye vituo vya police zote za Dar, kwenye mahospitali na mortuaries zote. Hii style tuliona wakati wa utawala wa awamu ya tano ya Magufuli na wewe ukiwa makamo wa rais, tumeona yaliyompata Azory Gwanda, Ben Saanane, Roma Mkatoliki na wengine wengi waliokuwa wakiokotwa kwenye magunia na viroba.

Mheshimiwa Samia, nikuulize swali moja. Je, bado unayaendeleza yale yale ya kupoteza watu na kuwatupa mtoni? Mbona wewe unajifanya muislamu safi? Je, dini yako inaruhusu uue na kupoteza watu?

Au unashindwa kuwakemea huyo Sirro na polisi wake? Haya ndiyo yale mambo yaliyofanyika miaka iliyopita ya akina Abdallah Zombe na wenzake walivyowauwa vijana wasio na makosa wafanyabiashara wa madini na kuwaibia pesa zao? Haya ndiyo yale yale ya kuwaua vijana wapatao 7 Arusha waliokamatwa na polisi kwa kushukiwa kuwa wanapanga kuvizia na kuiba kwenya gari la benki lililokuwa likipeleka pesa Kiteto?

Inasikitisha kuona wananchi wanatoka majumbani mwao lakini hawarudi. HATA KAMA NI WASHUKIWA NA WAMEKAMATWA, KUNA TARATIBU ZAKE ZA KUPELEKWA MAHAKAMA NA FAMILIA ZAO KUFAHAMISHWA. Wewe mheshimiwa Rais Samia kwenye hotuba moja ulisema ulikamatwa kwa kosa la taa ya gari kutokuwaka. Je, ungewekwa mahabusu au kuumizwa, je familia yako ingefanyaje? Haingekuwa simanzi? Usifurahie mkuki kwa nguruwe ila kwa binadamu uchungu!

Hivi rais Samia unaona raha gani raia wako wakipotezwa au wakiuawa? Kweli una roho ngumu kiasi hiki kama Adolf Hitler! Onea huruma raia wako. Usifurahie unayoyaona, kama unafurahia ujue kuna KARMA.

HADI LINI WATU WATAENDELEA KUPOTEA?
Anayekula nyama ya mtu haachi - JK NYERERE
 
Waliajiriwa miaka 5 tu iliyopita??? Wale waliopiga bomu likasambaratisha kabisa mwili wa mtu pale iringa wao pia waliajiriwa na jiwe sio, yule kiongozi wa Dr nae pia alikuwa jiwe?? Eti kubambikia watu kesi, kesi zimeisha sasa??
Soma vizuri. Nimesema siamini mfumo wa utekaji na kuua watu uliasisiwa na Magufuli bali wakati wa utawala wake ulihuishwa na kuimarishwa sana, ndiyo maana wakati wake utekaji na mauaji ya watu wenye mlengo fulani, vilishamiri sana.

Lakini hata kabla yake, hawa wauaji, na bila shaka mfumo wenyewe, bilikuwepo. Lakini watangulizi wake walifanya kwa woga na kwa kiwango kidogo. Magufuli alifanya kwa uwazi na kwa kiwango cha kutisha.

Ulimsikia Bashe? Anasema kuwa baada ya kulalamikia Bungeni juu ya vitisho vya 'Wasiojulikana', na kumalizia kwa kusema kuwa haogopi kufa, Magufuli alimpigia simu saa 8 usiku na kumwuliza, wewe ndiyo umesema huogopi kufa? Nadhani unanielewa. Hakuna mtawala aliyewahi kufanya hivyo kabla yake.
 
Soma vizuri. Nimesema siamini mfumo wa utekaji na kuua watu uliasisiwa na Magufuli bali wakati wa utawala wake ulihuishwa na kuimarishwa sana, ndiyo maana wakati wake utekaji na mauaji ya watu wenye mlengo fulani, vilishamiri sana.

Lakini hata kabla yake, hawa wauaji, na bila shaka mfumo wenyewe, bilikuwepo. Lakini watangulizi wake walifanya kwa woga na kwa kiwango kidogo. Magufuli alifanya kwa uwazi na kwa kiwango cha kutisha.

Ulimsikia Bashe? Anasema kuwa baada ya kulalamikia Bungeni juu ya vitisho vya 'Wasiojulikana', na kumalizia kwa kusema kuwa haogopi kufa, Magufuli alimpigia simu saa 8 usiku na kumwuliza, wewe ndiyo umesema huogopi kufa? Nadhani unanielewa. Hakuna mtawala aliyewahi kufanya hivyo kabla yake.
Taja hata watu watatu waliouliwa hadharani wakati wa Magufuli? Kama hutataja wewe ni taahira tu!
 
List ya wahanga wa Magufuli ipo na itawatesa sana walinda legacy (sukuma gang).

Yeye mwenyewe alitangaza hadharani kuwa angewapoteza robo ya wajumbe wa NEC walioimba wana imani na Lowasa.

Yeye kwa mdomo wake alitoa amri kwa vyombo vya usalama kumuua mpinzani wa kisiasa Mh. Tundu Lissu.

Kupitia wanajeshi wa JWTZ alipora korosho za wakulima mikoa ya kusini.

Kupitia lile kundi aliloliasisi la utekaji, waliteka, kuua na kupora mali za watu, kuanzia kuchukua fedha kwenye akaunti bila maelezo, kubambikia kodi, n.k.

Mtu maarufu kabisa aliyetekwa na kunusurika kuuliwa alikuwa Mo. Sote tunajua.
Hebu wasambaratishe hao sukuma gang kwa kuweka walau listi ya watu 5 waliouliwa na marahemu ukiambatanisha na ushahidi wa kuhusika kwake
 
Usiwe unajibu hoja ya mtu bila kuelewa. Ulichoandika inaonekana au huwa husomi, au huna uelewa.

Nimeeleza kuwa mfumo wa kuteka na kuua watu, ni dhahiri haukuasisiwa na Magufuli, lakini bila shaka aliuimarisha, maana kipindi chake mauaji na utekaji, yaligeuka kuwa matukio ya kawaida, lakini hata huko nyuma yalikuwepo ingawa siyo kwa kiwango kikubwa kama wakati wa Magufuli.

Unakimbilia kuita watu wapumbavu. Mwendawazimu, kitu asichokiweza ni kijenga hoja. Watu wenye uwendawazimu, hata wanaopita wanaokota makopo majalalani, wanachoweza ni kutukana. Ukiona unapenda sana kutukana, ni dalili mojawapo kuwa umeanza kufikiwa na magonjwa ya akili, wahi hospitali.
Matatia akili tu!
.
Si mnapumua nyie
 
Soma vizuri. Nimesema siamini mfumo wa utekaji na kuua watu uliasisiwa na Magufuli bali wakati wa utawala wake ulihuishwa na kuimarishwa sana, ndiyo maana wakati wake utekaji na mauaji ya watu wenye mlengo fulani, vilishamiri sana.

Lakini hata kabla yake, hawa wauaji, na bila shaka mfumo wenyewe, bilikuwepo. Lakini watangulizi wake walifanya kwa woga na kwa kiwango kidogo. Magufuli alifanya kwa uwazi na kwa kiwango cha kutisha.

Ulimsikia Bashe? Anasema kuwa baada ya kulalamikia Bungeni juu ya vitisho vya 'Wasiojulikana', na kumalizia kwa kusema kuwa haogopi kufa, Magufuli alimpigia simu saa 8 usiku na kumwuliza, wewe ndiyo umesema huogopi kufa? Nadhani unanielewa. Hakuna mtawala aliyewahi kufanya hivyo kabla yake.
Ukishamiri ukilinganisha na nani kwa takwimu zipi?
 
Back
Top Bottom