Rais Samia: Hayati Magufuli ndiyo aliuwasha moto kwenye madini

Rais Samia: Hayati Magufuli ndiyo aliuwasha moto kwenye madini

Kiturilo

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
708
Reaction score
2,859
Rais Samia akihutubia kwenye hafla ya utiaji saini mkataba wa uchimbaji madini amesema moto uliowashwa na hayati rais Magufuli kwenye sekta ya madini hautazimika na Tanzania haitarudi nyuma tena kulala usingizi wa pono kama zamani.

Rais amewaonya wote wanaotorosha madini waache mara moja.

My take:
Hivi Nape anajisikiaje kila mara kuona rais Samia anataja jina la godfather wa kiroboto?

 
Eti anawataka wanaotorosha madini waache mara moja😆🤦🏾‍♂️

Ni sawa na kuwataka majambazi waache ujambazi mara moja kwasababu umeshindwa kuwakamata!

Kuhusu kumtaja mwendazake, hizo ni politics zake za kuogopa kundi la wale walokuwa wakimuumga mkono mwendazake.
 
Hata tunapomsifia Mwalimu Nyerere wapo wanaokumbuka walivyoporwa kwny Azimio la Arusha, wapo wanaokumbuka unyama wa operation Vijiji vya Ujamaa, wapo wanaokumbuka ya April,7 1972, wapo wanaokumbuka ya April, 14 1984

Hatuwezi kuacha kumsifia mtu kwa Mema yake kwa kuwa pia ana madhaifu yake

John Magufuli kalifanyia mengi makubwa na mazuri Taifa hili hilo halitegemei comments za Viroboto wala za wahuni
Mkuu hapana!huwa namkumbuka Ben saanane!!Moja ya doa kubwa sana la utawala wa jpm!!
 
Kwani yeye amezungumzia nini kama siyo kutoroshwa kwa madini? amewakamata wangapi na amefanya nini zaidi ya kutoa tu maneno? kama hawaibi madini sasa kwanini anaongea?
Unataka aende getini Mererani akawasachi watu mifukoni?
 
Back
Top Bottom