Rais Samia: Hayati Magufuli ndiyo aliuwasha moto kwenye madini

Rais Samia: Hayati Magufuli ndiyo aliuwasha moto kwenye madini

Eti anawataka wanaotorosha madini waache mara moja😆🤦🏾‍♂️

Ni sawa na kuwataka majambazi waache ujambazi mara moja kwasababu umeshindwa kuwakamata!

Kuhusu kumtaja mwendazake, hizo ni politics zake za kuogopa kundi la wale walokuwa wakimuumga mkono mwendazake.
Magufuli hakuwa na huu urojo wa kusema waacha mara moja. Madini yanatoroshwa Kwa speed ya Aina yake .wananchi tulie na Rais nae apige mayowe
 
Eti anawataka wanaotorosha madini waache mara moja😆🤦🏾‍♂️

Ni sawa na kuwataka majambazi waache ujambazi mara moja kwasababu umeshindwa kuwakamata!

Kuhusu kumtaja mwendazake, hizo ni politics zake za kuogopa kundi la wale walokuwa wakimuumga mkono mwendazake.
Hata afanye au aseme nini; lazima mtafute pa kumpondea sababu nafsi zenu zilishapigwa muhuli wa moto wa kumkataa tangu siku ya kwanza. Samia yupo mpaka sasa sababu ya uamuzi wa Mungu tu, bila yeye asingekuwepo hapo kwa visa vya maadui wa kishetani nyie. Nguvu na kudra za Mungu ni kuu sana kiasi kwamba kuna wengine waliokuwa ikulu kabisa na kufanya kila aina ya hila asiingie ikulu lakini mwishowe, kwa mshangao mkuu uliowaacha vinywa wazi, mama akachukua nchi na kuwaacha wakiwa wanatangatanga tu sasa wasijue hata wanapayuka nini au kusimamia nini.

Mama yupo na hatua aliyofikia haiondolewi kwa chuki za mashetani, bali kwa maamuzi yake Muumba tena. Ninachoweza kuwashauri tu kwa sasa ni kuwa TULIZENI MISHONO HIYO!
 
Lissu huwa anajiona umbwa akiona haya mavitu. Alitutisha sana kushitakiwa wakati tunaweka sawa haya mambo na ma MIGA yake
 
Hivi Nape anajisikiaje kila mara kuona rais Samia anataja jina la godfather wa kiroboto?

Samia kulitaja jina la Jiwe mara kwa mara ni kudhihirisha usemi wa kiroboto uwa serikali haijabdilika ni ile ile Ingawa mwendazake hayupo!!! Hivyo WAHUNI wasijipongeze!
 
MAGUFURI HAPA KWENYE MADINI ALIJITAHODI SANA
Magufuli alikuwa mtu wa propaganda tu na kuwafix watanzania hakuna chochote alichikokifanya. Nikikumbuka pale alipolidanganya taifa zima kuwa ametoa kibali Cha kuajiri walimu elfu 13 kumbe hata 1000 hawafiki wakajazwa wale ambao tayari wako kwenye ajira kuongezea idadi. Yule bwa kwa uongo alijaaliwa Sana na watanzania tinapendaga kudanganywa Kama mazuzu
 
Magufuli alikuwa mtu wa propaganda tu na kuwafix watanzania hakuna chochote alichikokifanya. Nikikumbuka pale alipolidanganya taifa zima kuwa ametoa kibali Cha kuajiri walimu elfu 13 kumbe hata 1000 hawafiki wakajazwa wale ambao tayari wako kwenye ajira kuongezea idadi. Yule bwa kwa uongo alijaaliwa Sana na watanzania tinapendaga kudanganywa Kama mazuzu
Na mzee wa tutashitakiwa MIGA alikuwa ni mtu wa aina gani
 
Unataarifa kabisa watu wanatorosha madini badala ya kuchukua hatua unasema 'Acheni', SMH
 
Kwenye MIGA ndipo nilipomuona Lissu hana maarifa.
Lissu ni mtu anayeamini kwenye utawala wa sheria. Kwani wakati mnasaini hiyo mikataba yaki_chief kimangungo mlikuwa hamjui mnachofanya!? Na hao waliosaini mikataba waswahili wenzenu mbona hamkuwafanya chochote!? Ndio yaleyale ya kuhangaika na mzungu aliyekupiga kwenye bei ya radar huku ukuwachekea waswahili akina chenge na mhuni mwenzake rashid waliokula ganji.
 
Hana madhara lakini pia hana tija.

Sijui waafrika wenzangu mtaamka lini mfahamu kuwa enzi za kutegemea viongozi wawavushe kutoka Misri kwenda Kanani zimeshapita.
 
Rais Samia akihutubia kwenye hafla ya utiaji saini mkataba wa uchimbaji madini amesema moto uliowashwa na hayati rais Magufuli kwenye sekta ya madini hautazimika na Tanzania haitarudi nyuma tena kulala usingizi wa pono kama zamani.

Rais amewaonya wote wanaotorosha madini waache mara moja.

My take:
Hivi Nape anajisikiaje kila mara kuona rais Samia anataja jina la godfather wa kiroboto?



Mbona Yeye Jiwe Alikuwa Anayatoloshea Madini Kwao Rwanda;
 
Magufuli alikuwa mtu wa propaganda tu na kuwafix watanzania hakuna chochote alichikokifanya. Nikikumbuka pale alipolidanganya taifa zima kuwa ametoa kibali Cha kuajiri walimu elfu 13 kumbe hata 1000 hawafiki wakajazwa wale ambao tayari wako kwenye ajira kuongezea idadi. Yule bwa kwa uongo alijaaliwa Sana na watanzania tinapendaga kudanganywa Kama mazuzu
Na wewe ni njinga fulani usiye jitambua! Walipata ajira walimu elfu nane wewe unaleta ngonjera hapa! Alikuwa anaajiri kwa awamu! Kama huna jaira jiongeze pumbavu!
 
Back
Top Bottom