Street Hawker
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 239
- 438
Ndugu zangu tumechezewa mnooo.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ID yako vipi mjomba kwenu hamna wakubwa nini?😂Baba kiroboto anazidi kutajwa kila siku
Anataka pyuu pyuuu pyuuuHatua gani unataka achukue? Kwenye nini? Au ni mradi tu uchangie
Sukuma GANG mnatia hadi huruma dah.. kifo cha nyani kila mti mnaoshika unateleza. ..My take:
Hivi Nape anajisikiaje kila mara kuona rais Samia anataja jina la godfather wa kiroboto?
Kwa hiyo tunapotaja madhaifu yake mjue tuna haki sawa na wanaotaja sifa zake.Hata tunapomsifia Mwalimu Nyerere wapo wanaokumbuka walivyoporwa kwny Azimio la Arusha, wapo wanaokumbuka unyama wa operation Vijiji vya Ujamaa, wapo wanaokumbuka ya April,7 1972, wapo wanaokumbuka ya April, 14 1984
Hatuwezi kuacha kumsifia mtu kwa Mema yake kwa kuwa pia ana madhaifu yake
John Magufuli kalifanyia mengi makubwa na mazuri Taifa hili hilo halitegemei comments za Viroboto wala za wahuni
Rais Samia akihutubia kwenye hafla ya utiaji saini mkataba wa uchimbaji madini amesema moto uliowashwa na hayati rais Magufuli kwenye sekta ya madini hautazimika na Tanzania haitarudi nyuma tena kulala usingizi wa pono kama zamani.
Rais amewaonya wote wanaotorosha madini waache mara moja.
My take:
Hivi Nape anajisikiaje kila mara kuona rais Samia anataja jina la godfather wa kiroboto?
Hadi uje uzae hiyo mimba ya lissu utatema sana mate.na bado hadi uteme koozi.Amkamate Lisu kwa nini alikuwa anatudanganya tutashitakiwa MIGA?
Mama kasema wanaotorosha madini waache mara moja, hatua za kuchukua ni kuwakamata siyo kuwataka waache kwa maneno tuHatua gani unataka achukue? Kwenye nini? Au ni mradi tu uchangie
Kwa hiyo tunapotaja madhaifu yake mjue tuna haki sawa na wanaotaja sifa zake.
una faidika vipi na hayo madini?Lisu alikomaa tutashitakiwa MIGA
AvatarImefanyaje
Huo mstari wa mwisho.Eti anawataka wanaotorosha madini waache mara moja😆🤦🏾♂️
Ni sawa na kuwataka majambazi waache ujambazi mara moja kwasababu umeshindwa kuwakamata!
Kuhusu kumtaja mwendazake, hizo ni politics zake za kuogopa kundi la wale walokuwa wakimuumga mkono mwendazake.
Rais Samia akihutubia kwenye hafla ya utiaji saini mkataba wa uchimbaji madini amesema moto uliowashwa na hayati rais Magufuli kwenye sekta ya madini hautazimika na Tanzania haitarudi nyuma tena kulala usingizi wa pono kama zamani.
Rais amewaonya wote wanaotorosha madini waache mara moja.
My take:
Hivi Nape anajisikiaje kila mara kuona rais Samia anataja jina la godfather wa kiroboto?
Sorry nikajua wewe ndo SamiaMuulize Samia
Acha upuuziBasi kama anaona anaibiwa ni bora akayachimbe yeye mwenyewe.
Umefuatilia hotuba yote?Mama kasema wanaotorosha madini waache mara moja, hatua za kuchukua ni kuwakamata siyo kuwataka waache kwa maneno tu
JF yote kwa ujumla wamenuna maana kamtaja JPM.MAGUFURI HAPA KWENYE MADINI ALIJITAHODI SANA