Hatua gani unataka achukue? Kwenye nini? Au ni mradi tu uchangieMama aache matamko,
Awe mtu wa kuchukua hatua siyo maneno maneno tu.
Kwani yeye amezungumzia nini kama siyo kutoroshwa kwa madini? amewakamata wangapi na amefanya nini zaidi ya kutoa tu maneno? kama hawaibi madini sasa kwanini anaongea?Hatua gani unataka achukue? Kwenye nini? Au ni mradi tu uchangie
Tanzania ilipata bahati sana kuwa na Rais John Joseph Pombe Magufuli
Mkuu hapana!huwa namkumbuka Ben saanane!!Moja ya doa kubwa sana la utawala wa jpm!!Tanzania ilipata bahati sana kuwa na Rais John Joseph Pombe Magufuli
Mkuu hapana!huwa namkumbuka Ben saanane!!Moja ya doa kubwa sana la utawala wa jpm!!
Huyo ben saa8 mbowe ni mtuhumiwa no 1Mkuu hapana!huwa namkumbuka Ben saanane!!Moja ya doa kubwa sana la utawala wa jpm!!
SanaaaaKama kupigwa tumeshapigwa sana
Jitahidi kutumia lugha nyepesi zenye staha. Hatuko hapa kwenye vijiwe vya umbea umbea lumumba.Tumelaliwa sana
Unataka aende getini Mererani akawasachi watu mifukoni?Kwani yeye amezungumzia nini kama siyo kutoroshwa kwa madini? amewakamata wangapi na amefanya nini zaidi ya kutoa tu maneno? kama hawaibi madini sasa kwanini anaongea?
Basi kama anaona anaibiwa ni bora akayachimbe yeye mwenyewe.Unataka aende getini Mererani akawasachi watu mifukoni?