JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,914
- 10,793
Rais Samia ameshauri uwepo mpango mzuri ili kutozuia maiti kwenda kuzikwa.
Ameenda mbali na kushauri kwamba wagojwa walipe gharama wakati wa matibabu ili kupunguza mzigo akifariki.
Naomba nimshauri Rais wetu:
1. Wagonjwa watibiwe tu ili wapone. Ukiaamrishwa walipe wakati wakitibiwa kutawafanya wafe wengi maana pesa ya kulipa papo kwa papo haipo.
2. Mtu akifa mara nyingi ndugu hushirikiana kwa pamoja kulipa gharama zote, na ndio maana malalamiko ya kuchukua miili ni machache. Chonde chonde Matibabu yafanyike bila kuangalia ghalama za badae.
3. Serikali ilete BIMA kwa watu wote.
Karibuni kwa ushauri.
Ameenda mbali na kushauri kwamba wagojwa walipe gharama wakati wa matibabu ili kupunguza mzigo akifariki.
Naomba nimshauri Rais wetu:
1. Wagonjwa watibiwe tu ili wapone. Ukiaamrishwa walipe wakati wakitibiwa kutawafanya wafe wengi maana pesa ya kulipa papo kwa papo haipo.
2. Mtu akifa mara nyingi ndugu hushirikiana kwa pamoja kulipa gharama zote, na ndio maana malalamiko ya kuchukua miili ni machache. Chonde chonde Matibabu yafanyike bila kuangalia ghalama za badae.
3. Serikali ilete BIMA kwa watu wote.
Karibuni kwa ushauri.