Tupe chanzo tufuatilie habari hiyo wenyewe,usitulishe maneno.Rais Samia ameshauri uwepo mpango mzuri ili kutozuia maiti kwenaa kuzikwa.
Ameenda mbali na kushauri kwamba wangojwa walipe ghalama wakati wa matibabu ili kupunguza mzigo akifariki...
Hebu tusaidie walau clip tujionee kwa marefu na mapana ya alichokisema, maana kwa hapa unamaanisha mleta mada katulisha 🥒 pori.Hujamuelewa Rais alichomaanisha
Wasipo tuletea chanzo halisi cha taarifa yao,nitaendelea kuwaita wakwamia awamu yao ama wanachama wa gang yao.Hiyo kauli katoa Rais Samia huyu huyu wa TZ, ama Rais Samia wa wapi? Maana haifananii kutolewa na Rais wa Tz.
Does it make a differenceHujamuelewa Rais alichomaanisha
Ni kwamba bill zitolewe mapema na isisubiliwe hadi mgonjwa afe!
Sasa mataga,ama wanachama wa gang,mmeshajua waziri na wizards wameweka mpango gani,ili kuondokana na shida,hiyo ama mnafikiri wote,wanaachaga akili zao pale getini mwenu.
Hapo sawa, huyu reporter Kama vipi asulubishwe (mod wafanye yao), maana katudharau JF kwa kiasi kikubwa.
We lofa usimuingize huyo mama yenu ktk uislamu,Huyu mama ni kituko naona anataka kuifanya Jamhuri ya Tanzania Nchi ya kiislamu, tutegemee maboko zaidi kutoka kwake.
Kwa mtindo huu, tuwekeane mkataba wa mgonjwa na hospitali kwamba ugonjwa huo unauweza au hapana! Siwezi kutibiwa mwezi mzima bila mafanikio, halafu nikielekea kufa naletewa bili ya kulipa. Sikwenda hospitali kutalii!
Sana tu!Does it make a difference
Hapendwi mtu chapaatu tu baba kwa kwenda mbele. Tuendelee kutengeneza movie za kuhalalisha chanjo ya corona.Wagonjwa walipe bili kabla ya kufa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]